Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Daah pole sana mkubwa wangu jambo usilo lijua sikuzote nilazima likutatize ila kabla hujafikilia mbali sana hadi ukawaza kuwa kilicho tokea ni mkosi au Nuksi ......Waza hili kwanza "Wewe ni mfanya biashara na ukweli unafahamika na watu wengi sana kuliko unao wafahamu wewe huyo binti huenda akawa anakufahamu vizuri kuliko unavyo fikili kwakua ukiwa unapenda au kuitaji kitu ambacho kinaitaji mbinu kukipata nilazima utakifuatilia sana ili pengine ujue mazaifu yake au mapungufu ...............Mtazamo wangu huwenda binti anajalibu kutafuta namna ya kufanya uwe nae.!!!!!
Wewe umewaza mbali kabla ya kuambiwa yaliyojiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom