Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Uongo, chinga hawezi andika vizuri hivi, wewe mtunzi, naona DSJ wanajitahidi kufundisha.
 
mkuu huo ni wimbo wa temba, unaitwa side mnyamwezi
 
Relax..na atakufanya marafiki wote wakukimbie, time will tell..na hata ukimblock atatumia namba nyingine..mungu akulinde, amenisababishia at this age 28 sitaki mwanamke yeyote nahisi kama nae atakua wale wale tu
Pole sana mkuu vipi lakini mlikuwa kwenye relationship kabisa? Na unamgonga fresh?
 
Hii comment ilinifanya nijute kuusoma huu uzi saa nane usiku
Iliwahi kunitokea saa nane usiku nimelala usingizi mzito Pazia la dirisha sikulishusha ila vioo Nimefunga sasa nikazinduka ghafla usiku nikakuta jamaa ananiangalia kwa utulivu na hata alipojua nimemuona hakuondoka nilipopiga kelele hakuondoka nikaduwaa siamini baada ya dk tatu akaondoka mwenyewe
 
Mungu baba niepushe mie!
Mimi sijui ningefanyaje

Unahisi alikua mwizi ama?
 
Haya hii iwe fundisho kwenu wanaume mnaokurupukia wasichana wazuri
 
Labda alikuwa mwizi huyo [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar za muda wanajamvi. Soon nawawekea Nini kilichojiri. Ila naomba kutoa angalizo na Rai, kwa baadhi ya wachangiaji humu. Mimi sio mtunzi Kama wengi mnavyodhani, hiki ninachokileta mbele yenu, Ni wakat ambao napitia Sasa...nipo wakat mgumu sana. Hv ninavyoandika, nimetawaliwa na hofu na wasiwasi mkubwa, nahitaj msaada wenu. Niombeeni tafadhali mtihani niupitiao Ni mzito sana. Na mnaokuja PM, Kama Huna lengo la kunishauri ni vyema ukaacha kuliko kuendelea kunitisha kwamba nitakuwa pamoja na kunidhiahak, ama Kweli binadamu hatufanani, sikutegemea Kuna watu watanibeza na kuniogopesha kiasi hiki badala ya kunisaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Isanga lina vywasi...
POLE sana Mkuu, katika yote MOLA ndio mlinzi na mpiganaji wetu, vita hii ni ya Kiroho zaidi, wengine wataona movie ila ugumu unaopitia ni changamoto tuu, hakuna marefu yasiyo na mapana yasiyo na mwisho.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukija kuweka full story yako naomba unitag

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usisikilize ya wanadamu kwa situation uliyonayo .kua karibu na Mungu sali sana

Nasubir muendelezo
 
Teeeh..hakurud tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…