Embu sema handsome tuone kama yatakutokea kweli.Haya mambo yasikie kwa jirani, yasikutokee, utakuwa mwenyewe na utakwepa kila mtu maana kila ukitaka kusema yanakukuta makubwa zaidi
Big up kwenu😀Vipi sisi wengine ambao tunakurupukia wasichana wabaya?
Ni rahisi Sana kutamka ukiwa nyuma ya keyboardsasa hapo tatizo liko wapi?,au ushamba unakusumbua?,usikute huyo ni malaika katumwa kukuonya,au hata kama ni kiumbe tofauti,kwani nini,akijipendekeza kula mzigo maisha yaendelee
ukiwa na matatizo ya kiakili tigopesa inasoma ?pole sana ulikua hujijui ulikua una matatizo yakiakili mkuu, sivyo ulivyokua unadhani
Naomba nisije kuona hayo mambo aseeMwizi angekimbia kwa kukurupuka kwa kuogopa kaonekana Yule hakuwa mwizi
Lakin hii tamu sana inashawishi kuendelea kuinywa ata vikombe 6
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Dogo kasema wewe handsome sisi watazamaji lazima tukubali ujue sio rahisi wanaume kusifiana.Unamfuata yule dogo wa kigoma chenga sana anazingua, jamaa yangu alivamia demu tripple 7, kumbe jini kampenda wakaenda kulala vizuri, jini kamuelewa akawa anampa fedha na kumuelekeza vitu vya kununua na wapi akanunue na masharti aache umalaya lasivyo atamkomesha jamaa, jamaa alikuwa na mademu wake wengine sa kila mshkaji akiwa na demu yule jini atajitokeza na kupita hilo eneo au kama ni hotel wakiingia wanamkuta amekaa ila hawaangalii, alipata tabu sana mengi alisema hawezi kuyaongea ya huko chumbani na vitu vyote alivyonunua kwa hela ya yule jini vilipotea kimoja baada ya kingine
Siku likirudi litarudi kama mwanaume utaelewa sasa ulichokiomba kama ni kizuri au kibaya kumfanyia mwingineKuna jini mahaba la kike (I guess) lilikuwa linapenda kunifuata ndotoni (usiku nikiwa nimelala) ili niligegede, siku moja nililiomba tigo huko huko ndotoni, mwaka wa pili huu, sijaliona tena mpaka leo Mzigua90
ila zina utofauti mkubwa hii ni chai ya maziwa sasa