Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Be serious unapokuwa kazini, ujinga ujinga wetu wa kiafrika I dare say so unatuponza, mwafrika chakula kingi anawaza ngono all the time, ukiona mrembo tu unadinda damn it.
 
Wakati tuko high school kuna dada alishakutana na hao viumbe. Aliishi kwa shida sana shule. Alikua akipandisha maruhani yake utamuonea huruma. Sijui kama aliponaga maana mpaka tunamaliza form six alikua bado anazunguka kwa wachungaji amfukuze mume wake wa ujinini.
Kilichomponza alipewa Pete na huyu dada wa jini akajua Pete kweli kumbe ilikua Pete yake ya ndoa na huyo jini. Na mtoto walikua nae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa hapo tatizo liko wapi?,au ushamba unakusumbua?,usikute huyo ni malaika katumwa kukuonya,au hata kama ni kiumbe tofauti,kwani nini,akijipendekeza kula mzigo maisha yaendelee
 
Embu sema handsome tuone kama yatakutokea kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app

Unamfuata yule dogo wa kigoma chenga sana anazingua, jamaa yangu alivamia demu tripple 7, kumbe jini kampenda wakaenda kulala vizuri, jini kamuelewa akawa anampa fedha na kumuelekeza vitu vya kununua na wapi akanunue na masharti aache umalaya lasivyo atamkomesha jamaa, jamaa alikuwa na mademu wake wengine sa kila mshkaji akiwa na demu yule jini atajitokeza na kupita hilo eneo au kama ni hotel wakiingia wanamkuta amekaa ila hawaangalii, alipata tabu sana mengi alisema hawezi kuyaongea ya huko chumbani na vitu vyote alivyonunua kwa hela ya yule jini vilipotea kimoja baada ya kingine
 
Unamfuata yule dogo wa kigoma chenga sana anazingua, jamaa yangu alivamia demu tripple 7, kumbe jini kampenda wakaenda kulala vizuri, jini kamuelewa akawa anampa fedha na kumuelekeza vitu vya kununua na wapi akanunue na masharti aache umalaya lasivyo atamkomesha jamaa, jamaa alikuwa na mademu wake wengine sa kila mshkaji akiwa na demu yule jini atajitokeza na kupita hilo eneo au kama ni hotel wakiingia wanamkuta amekaa ila hawaangalii, alipata tabu sana mengi alisema hawezi kuyaongea ya huko chumbani na vitu vyote alivyonunua kwa hela ya yule jini vilipotea kimoja baada ya kingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Dogo kasema wewe handsome sisi watazamaji lazima tukubali ujue sio rahisi wanaume kusifiana.
Hadi 777 wapo majini? Basi itakua alimuokota siku ya Karaoke maana ndo kunajaaga watu kila sampuli.
Hao viumbe sio wazuri kabisa. Ukikataa asikuendeshe anakutia umaskini au ugonjwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jini mahaba la kike (I guess) lilikuwa linapenda kunifuata ndotoni (usiku nikiwa nimelala) ili niligegede, siku moja nililiomba tigo huko huko ndotoni, mwaka wa pili huu, sijaliona tena mpaka leo Mzigua90
Siku likirudi litarudi kama mwanaume utaelewa sasa ulichokiomba kama ni kizuri au kibaya kumfanyia mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom