Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekusamehe. Haidhuru, Zimwi lenyewe nitakuwa mimi mwenyewe. Hapo vipi?
Utaendeleaje wakati zimwi litakuwa na wewe muda wote? Au limeacha kukutumia msg wakati unaandika?
Ngoja nilielekeze zimwi maeneo ya Goba. Labda ndo tutaheshimiana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] likuye likuye. Kwanza ya kiume yanatoaga utajiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuletea la kike likusage
Ndo nachokitaka. Linakusaga mpk kinaniliu kinaota sugu ya kumwaga maji. Unakuwa hela huna na wanaume huwataki. Gadeim!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Roho mbaya hiyo babu. Unataka mjukuu nikale wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio unitake radhi sasa.
Nikuletee file lake?Hivi nyie wawili mna nini??
Nikuletee file lake?
Basi ya CAG yakiisha unifuate huku Mtwara. Nahakiki wakulima wa Koroshohapana. huyo asubiri kwanza. niko na la CAG kwanza
Uyo ni Tapeli tuuuuu sema Chai yake Imekuwa haina sukariMe nimeghairi....naona kuna usanii tu hapa...unaombwa useme sehemu ulipo husemi, koment inayokupa support mapema unaijibu...wacha ni_unsabusraibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio comment inayonipa support ndio najibu, no...ila naangalia comment yenye tija, nyie mnaobeza nawaacha muendelee, maana najua hata shamba haliwez kosa magugu lkn sio sababu ya mazao kutokundelea kuota. Ukija na adabu zako nitakujibu ila ukija na maswali yako yasiyokuwa na kichwa wala kiwiliwili hutuona jibu langu.Me nimeghairi....naona kuna usanii tu hapa...unaombwa useme sehemu ulipo husemi, koment inayokupa support mapema unaijibu...wacha ni_unsabusraibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekutapeli nini kwa mfano?Uyo ni Tapeli tuuuuu sema Chai yake Imekuwa haina sukari
Hujatiwekea screenshot za chattings zako na huyo jini ili tujue kama si Chai isiyo na sukari hii story yako.. Ndo ulichonitapeli
Unaona sasa jinsi ulivyo naakili za funza....akili zako zinatosha kuvukia barabara tu ...upo hapa kwa ajili ya umbea na ushakunaku nothing else, that's why watu wa aina yako...sinaga muda mchafu wa kuwajibu chochote. Jifunze kuwa na positive thinking itakusaidia...jambo ambalo halina athari kwako haina haja ya kupoteza muda nalo.. unless otherwise huna cha kufanya muda wote unashinda mtandaoni kwa ajili ya udaku.Hujatiwekea screenshot za chattings zako na huyo jini ili tujue kama si Chai isiyo na sukari hii story yako.. Ndo ulichonitapeli
Unaona sasa jinsi ulivyo naakili za funza....akili zako zinatosha kuvukia barabara tu ...upo hapa kwa ajili ya umbea na ushakunaku nothing else, that's why watu wa aina yako...sinaga muda mchafu wa kuwajibu chochote. Jifunze kuwa na positive thinking itakusaidia...jambo ambalo halina athari kwako haina haja ya kupoteza muda nalo.. unless otherwise huna cha kufanya muda wote unashinda mtandaoni kwa ajili ya udaku.
Sent using Jamii Forums mobile app
teh teh teh teh MAJINI YAMESHAKUTOKA??Unaona sasa jinsi ulivyo naakili za funza....akili zako zinatosha kuvukia barabara tu ...upo hapa kwa ajili ya umbea na ushakunaku nothing else, that's why watu wa aina yako...sinaga muda mchafu wa kuwajibu chochote. Jifunze kuwa na positive thinking itakusaidia...jambo ambalo halina athari kwako haina haja ya kupoteza muda nalo.. unless otherwise huna cha kufanya muda wote unashinda mtandaoni kwa ajili ya udaku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio manake aisee tena kama ndio usiku nazima na taa nisikuone unavyobadilika mbona lazima ajute[emoji2][emoji2]Hahaha mkuu nimecheka sana eti hata ubadilike chatu mradi papuchi ipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ni majini wa bongo movie labdaNa Wewe!!! Si wanajigeuzaga watu? Mbona alienda Dukani.Nasikia wanajigeuza na kufanya ya binadamu kama kuvuka pantoni au kuvuka mto
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahahahaaa...! Kama papuchi bado haijabadirika inaendelea kugegedwa tu,mpaka atakiri mwenyewe ana sura gani rasmi
Sent using Jamii Forums mobile app