The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
😄soulmate ya nyoko 😂
It will end in tears 😄Eti soulmate🤣🤣🤣🤣🤣🤣utalia vibaya wewe
Premium tears🤣It will end in tears 😄
Bila picha ni Siasa tu.Wanasema “ usifunge ndoa asubuhi mana hujui nani utakutana nae jioni” hatimae kwangu jioni imefika na nimekutana na mrembo alieumbwa kwa ajiri yangu.
She is beautiful, hot, real hot. Ni anaendana na mimi yani ile couple ambayo baba na mama wote ni super handsome and beauty.
My current wife is hot but not as my soulmate, i feel sorry for my wife but, I discovered the purpose of life. Time will tell.
Ulishawahi pata deep, real deep feelings unaookua na mtu? Kama hunawahi hutaelewa nnachosemaBro acha mihemko! Bro punguza nyege zitakuuwa.
Unamkosea Sana heshima Mkeo, Aiseeh!! I can't Imagine Shemeji Yangu alione hili bandiko lako sijui atakuwaje.😔
Mtu umeishi nae miaka yote iyo Leo hii unasema umekutana na soulmate wako? Uyo Malaya mwenye sura nzuri na tako ndo Soulmate? Aiseeh kuwa serious basi.
Thamini Ata iko kidogo ulichopewa na Mungu. Mtu anakuvumilia pamoja na madhaifu yako Leo unakuja kumshusha thamani sababu ya uyo Malaya wako mwenye tako ila kichwa kimejaa kamasi.
Wanaume hatupo Ivo Mkuu, Kama Ni kuchepuka chepuka Kimya kimya, Endelea kumuheshimu mkeo. Kumsemasema mkeo haipendezi Mkuu.
Be a real Man.
Hatari... kuna mtu aliwahi kuniambia usioe kabla hujasafiri safari kwanza ili ujiridhishe.Wanasema “ usifunge ndoa asubuhi mana hujui nani utakutana nae jioni” hatimae kwangu jioni imefika na nimekutana na mrembo alieumbwa kwa ajiri yangu.
She is beautiful, hot, real hot. Ni anaendana na mimi yani ile couple ambayo baba na mama wote ni super handsome and beauty.
My current wife is hot but not as my soulmate, i feel sorry for my wife but, I discovered the purpose of life. Time will tell.
Nyuki na kipepeo kamwe hawatengenezi asali.Wanasema “ usifunge ndoa asubuhi mana hujui nani utakutana nae jioni” hatimae kwangu jioni imefika na nimekutana na mrembo alieumbwa kwa ajiri yangu.
She is beautiful, hot, real hot. Ni anaendana na mimi yani ile couple ambayo baba na mama wote ni super handsome and beauty.
My current wife is hot but not as my soulmate, i feel sorry for my wife but, I discovered the purpose of life. Time will tell.
Daaaa!Wanasema “ usifunge ndoa asubuhi mana hujui nani utakutana nae jioni” hatimae kwangu jioni imefika na nimekutana na mrembo alieumbwa kwa ajiri yangu.
She is beautiful, hot, real hot. Ni anaendana na mimi yani ile couple ambayo baba na mama wote ni super handsome and beauty.
My current wife is hot but not as my soulmate, i feel sorry for my wife but, I discovered the purpose of life. Time will tell.
Kwa hiyo sasa?Wanasema “ usifunge ndoa asubuhi mana hujui nani utakutana nae jioni” hatimae kwangu jioni imefika na nimekutana na mrembo alieumbwa kwa ajiri yangu.
She is beautiful, hot, real hot. Ni anaendana na mimi yani ile couple ambayo baba na mama wote ni super handsome and beauty.
My current wife is hot but not as my soulmate, i feel sorry for my wife but, I discovered the purpose of life. Time will tell.
Huu mtandao mimi niliufahamu baada ya kumaliza form four ikaniwia vigumu kufungua account kwasababu ya mada ambazo zilikua zinajadiliwa humu zilikua ni kubwa kuliko uwezo wangu kwa kipindi kile na watu ambao walikua wanachangia kwenye mada hizo walikua na hoja ambazo sikuwa najua walikua wanazitoa wapi, ikanibidi niwe zangu mpole tu na nikawa mpenzi msomaji na kutoka.Hivi kweli Jf ni “home of great thinkers”
Najiuliza sana hili swali tangu huu mwaka uanze,,,, nahisi humu sio kama vile ilivyokuwa lengo la mwanzilishi,,,, kuna ujinga na upuuzi mwingi sana humu,,,,🥹🥹🥹🥹
( Kama huuu, mtu a Nakuja kusimulia ujinga na ngenye zake,)
Hapa kazi ipo, aisee 😯"baba na mama wote ni super handsome and beauty"
acha umalaya wewe, HIV-AIDS kills!Wanasema “ usifunge ndoa asubuhi mana hujui nani utakutana nae jioni” hatimae kwangu jioni imefika na nimekutana na mrembo alieumbwa kwa ajiri yangu.
She is beautiful, hot, real hot. Ni anaendana na mimi yani ile couple ambayo baba na mama wote ni super handsome and beauty.
My current wife is hot but not as my soulmate, i feel sorry for my wife but, I discovered the purpose of life. Time will tell.
Uliruka stage kwenye ukuaji wako.Mtu anayejitambua asingeweza kuandika upuuzi huu.Wanasema “ usifunge ndoa asubuhi mana hujui nani utakutana nae jioni” hatimae kwangu jioni imefika na nimekutana na mrembo alieumbwa kwa ajiri yangu.
She is beautiful, hot, real hot. Ni anaendana na mimi yani ile couple ambayo baba na mama wote ni super handsome and beauty.
My current wife is hot but not as my soulmate, i feel sorry for my wife but, I discovered the purpose of life. Time will tell.