Nimekutana na “my soulmate” nikiwa nimeshaoa

Nimekutana na “my soulmate” nikiwa nimeshaoa

Bro acha mihemko! Bro punguza nyege zitakuuwa.

Unamkosea Sana heshima Mkeo, Aiseeh!! I can't Imagine Shemeji Yangu alione hili bandiko lako sijui atakuwaje.😔

Mtu umeishi nae miaka yote iyo Leo hii unasema umekutana na soulmate wako? Uyo Malaya mwenye sura nzuri na tako ndo Soulmate? Aiseeh kuwa serious basi.

Thamini Ata iko kidogo ulichopewa na Mungu. Mtu anakuvumilia pamoja na madhaifu yako Leo unakuja kumshusha thamani sababu ya uyo Malaya wako mwenye tako ila kichwa kimejaa kamasi.

Wanaume hatupo Ivo Mkuu, Kama Ni kuchepuka chepuka Kimya kimya, Endelea kumuheshimu mkeo. Kumsemasema mkeo haipendezi Mkuu.

Be a real Man.
 
Wanasema “ usifunge ndoa asubuhi mana hujui nani utakutana nae jioni” hatimae kwangu jioni imefika na nimekutana na mrembo alieumbwa kwa ajiri yangu.

She is beautiful, hot, real hot. Ni anaendana na mimi yani ile couple ambayo baba na mama wote ni super handsome and beauty.

My current wife is hot but not as my soulmate, i feel sorry for my wife but, I discovered the purpose of life. Time will tell.
Bila picha ni Siasa tu.
 
Bro acha mihemko! Bro punguza nyege zitakuuwa.

Unamkosea Sana heshima Mkeo, Aiseeh!! I can't Imagine Shemeji Yangu alione hili bandiko lako sijui atakuwaje.😔

Mtu umeishi nae miaka yote iyo Leo hii unasema umekutana na soulmate wako? Uyo Malaya mwenye sura nzuri na tako ndo Soulmate? Aiseeh kuwa serious basi.

Thamini Ata iko kidogo ulichopewa na Mungu. Mtu anakuvumilia pamoja na madhaifu yako Leo unakuja kumshusha thamani sababu ya uyo Malaya wako mwenye tako ila kichwa kimejaa kamasi.

Wanaume hatupo Ivo Mkuu, Kama Ni kuchepuka chepuka Kimya kimya, Endelea kumuheshimu mkeo. Kumsemasema mkeo haipendezi Mkuu.

Be a real Man.
Ulishawahi pata deep, real deep feelings unaookua na mtu? Kama hunawahi hutaelewa nnachosema
 
Hivi kweli Jf ni “home of great thinkers”
Najiuliza sana hili swali tangu huu mwaka uanze,,,, nahisi humu sio kama vile ilivyokuwa lengo la mwanzilishi,,,, kuna ujinga na upuuzi mwingi sana humu,,,,🥹🥹🥹🥹

( Kama huuu, mtu a Nakuja kusimulia ujinga na ngenye zake,)
 
Wanasema “ usifunge ndoa asubuhi mana hujui nani utakutana nae jioni” hatimae kwangu jioni imefika na nimekutana na mrembo alieumbwa kwa ajiri yangu.

She is beautiful, hot, real hot. Ni anaendana na mimi yani ile couple ambayo baba na mama wote ni super handsome and beauty.

My current wife is hot but not as my soulmate, i feel sorry for my wife but, I discovered the purpose of life. Time will tell.
Hatari... kuna mtu aliwahi kuniambia usioe kabla hujasafiri safari kwanza ili ujiridhishe.
 
Wanasema “ usifunge ndoa asubuhi mana hujui nani utakutana nae jioni” hatimae kwangu jioni imefika na nimekutana na mrembo alieumbwa kwa ajiri yangu.

She is beautiful, hot, real hot. Ni anaendana na mimi yani ile couple ambayo baba na mama wote ni super handsome and beauty.

My current wife is hot but not as my soulmate, i feel sorry for my wife but, I discovered the purpose of life. Time will tell.
Nyuki na kipepeo kamwe hawatengenezi asali.
 
Wanasema “ usifunge ndoa asubuhi mana hujui nani utakutana nae jioni” hatimae kwangu jioni imefika na nimekutana na mrembo alieumbwa kwa ajiri yangu.

She is beautiful, hot, real hot. Ni anaendana na mimi yani ile couple ambayo baba na mama wote ni super handsome and beauty.

My current wife is hot but not as my soulmate, i feel sorry for my wife but, I discovered the purpose of life. Time will tell.
Daaaa!
 
Wanasema “ usifunge ndoa asubuhi mana hujui nani utakutana nae jioni” hatimae kwangu jioni imefika na nimekutana na mrembo alieumbwa kwa ajiri yangu.

She is beautiful, hot, real hot. Ni anaendana na mimi yani ile couple ambayo baba na mama wote ni super handsome and beauty.

My current wife is hot but not as my soulmate, i feel sorry for my wife but, I discovered the purpose of life. Time will tell.
Kwa hiyo sasa?
 
Hivi kweli Jf ni “home of great thinkers”
Najiuliza sana hili swali tangu huu mwaka uanze,,,, nahisi humu sio kama vile ilivyokuwa lengo la mwanzilishi,,,, kuna ujinga na upuuzi mwingi sana humu,,,,🥹🥹🥹🥹

( Kama huuu, mtu a Nakuja kusimulia ujinga na ngenye zake,)
Huu mtandao mimi niliufahamu baada ya kumaliza form four ikaniwia vigumu kufungua account kwasababu ya mada ambazo zilikua zinajadiliwa humu zilikua ni kubwa kuliko uwezo wangu kwa kipindi kile na watu ambao walikua wanachangia kwenye mada hizo walikua na hoja ambazo sikuwa najua walikua wanazitoa wapi, ikanibidi niwe zangu mpole tu na nikawa mpenzi msomaji na kutoka.

Mwaka 2015 mwezi wa 8/10 ndio siku ambayo nilifungua account yangu humu na hii ni baada ya kuchaguliwa kujiunga na chuo fulani hapa nchini na nilijiunga kwasababu niliona threads za vyuo zikiwa zinafunguliwa na hapo ndio nikajipa uhakika kumbe hata watu wa level yangu wapo humu 😆😆😆😆.

Nowadays jf imetoka kwenye hiyo kauli mbiu yao ya mwanzo na sasa wapo kwenye kusimamia kitu kinachoitwa uhuru wa habari na kujieleza so anyone can write anything as long as havunji sheria za nchi au za platform yenyewe yaani kumkwaza mtu yeyote.

So my brother, vitu vinabadilika kulingana na matakwa ya nyakati husika.
 
Wanasema “ usifunge ndoa asubuhi mana hujui nani utakutana nae jioni” hatimae kwangu jioni imefika na nimekutana na mrembo alieumbwa kwa ajiri yangu.

She is beautiful, hot, real hot. Ni anaendana na mimi yani ile couple ambayo baba na mama wote ni super handsome and beauty.

My current wife is hot but not as my soulmate, i feel sorry for my wife but, I discovered the purpose of life. Time will tell.
acha umalaya wewe, HIV-AIDS kills!

YESU NI BWANA&MWOKOZI
 
Wanasema “ usifunge ndoa asubuhi mana hujui nani utakutana nae jioni” hatimae kwangu jioni imefika na nimekutana na mrembo alieumbwa kwa ajiri yangu.

She is beautiful, hot, real hot. Ni anaendana na mimi yani ile couple ambayo baba na mama wote ni super handsome and beauty.

My current wife is hot but not as my soulmate, i feel sorry for my wife but, I discovered the purpose of life. Time will tell.
Uliruka stage kwenye ukuaji wako.Mtu anayejitambua asingeweza kuandika upuuzi huu.
 
Back
Top Bottom