Nimekutana na “my soulmate” nikiwa nimeshaoa

Nimekutana na “my soulmate” nikiwa nimeshaoa

Denying the concept of soulmate is an excuse for those who have never found love in their lives, they don’t know it feels to meet someone special, i feel sorry for you.
Limbwata is really.. 😂
 
Hebu kurupua hizo threads sasa hivi nione hayo uliyokuwa unanielekeza hadi nikawa najikanyaga, ila naomba tu usije ukakwepa hoja ukakimbia mada au kuniita mbishi na wala usije ukaanza kuleta personal attacks, naomba unapoleta hizo threads tujadili mada husika tu na siyo maisha yangu binafsi au chochote kisichohusiana na mada

Na kama ni ile thread kuhusu 50 50 basi afadhali umejileta mwenyewe maana nakumbuka vizuri mwisho wa siku ni wewe ndio ulikimbia ile mada ukaanza kuniita mimi mbishi, na naomba kabla hujaileta hakikisha umeisoma yote na siyo kichwa cha habari tu ili kuepuka kunipotezea muda kwa kunifanya nirudierudie kuandika ambayo nilishayaandika kwenye thread, narudia usije tu ukatafuta kichaka cha kujifichia

Zilete hizo threads uzuri mie sijawahi kukwepa hoja wala kukimbia mada
Sijakukimbia bali nimekuacha na ujinga wako, kwani mimi sio mjinga.......... mimi nilicho shangaa kuona kuna post ulisema una miaka 25 ya ndoa....... sasa nikirecall nyuma ulicho andika na hii post ndipo ninapo gundua kipindi kile nilikuwa sahihi kutokubushana na wewe.

Nimekuuliza ulicho post mwenyewe ila hujibu mbona simple tuu,kwa hiyo 2029,unatimiza miaka 30 ya ndoa?

ILA WW SIO MZIMA.
 
Sijakukimbia bali nimekuacha na ujinga wako, kwani mimi sio mjinga.......... mimi nilicho shangaa kuona kuna post ulisema una miaka 25 ya ndoa....... sasa nikirecall nyuma ulicho andika na hii post ndipo ninapo gundua kipindi kile nilikuwa sahihi kutokubushana na wewe.

Nimekuuliza ulicho post mwenyewe ila hujibu mbona simple tuu,kwa hiyo 2029,unatimiza miaka 30 ya ndoa?

ILA WW SIO MZIMA.
Siku nyingine usirudie kuvamia mada kama huna hoja za msingi, ona sasa unaishia kuaibika, mimi kujibu au kutokujibu hilo swali lako ambalo ni personal inahusiana nini na mada inayohusu jamii kwa ujumla
 
Siku nyingine usirudie kuvamia mada kama huna hoja za msingi, ona sasa unaishia kuaibika, mimi kujibu au kutokujibu hilo swali lako ambalo ni personal inahusiana nini na mada inayohusu jamii kwa ujumla
Nivamie kitu gani ? Najua huna majibu juu ya uongo wako ulioandika mwenyewe, ukidanganya uwe na kumbukumbu ,tatizo lako kumbukumbu huna na JF haisahau.
 
Nivamie kitu gani ? Najua huna majibu juu ya uongo wako ulioandika mwenyewe, ukidanganya uwe na kumbukumbu ,tatizo lako kumbukumbu huna na JF haisahau.
Jibu swali nimekuuliza hivi umri wa ndoa yangu unahusiana nini na hii mada, na nioneshe ni kauli gani niliyokanusha kwamba ndoa yangu ina umri huo, nasisitiza tena hebu nioneshe sasa hivi hiyo kauli iliyokufanya useme mimi ni muongo
 
Jibu swali nimekuuliza hivi umri wa ndoa yangu unahusiana nini na hii mada, na nioneshe ni kauli gani niliyokanusha kwamba ndoa yangu ina umri huo, nasisitiza tena hebu nioneshe sasa hivi hiyo kauli iliyokufanya useme mimi ni muongo
Uonyeshwe mara ngapi?
 
Uonyeshwe mara ngapi?
Nimesema hivi nioneshe uongo wa hiyo comment yangu, wewe si umesisitiza kwa kujiamini kabisa kwamba mimi ni muongo nioneshe basi huo uongo, na usisahau kuniambia uhusiano uliopo kati ya ndoa yangu na mada iliyoko mezani..nasubiri!!
 
Nimesema hivi nioneshe uongo wa hiyo comment yangu, wewe si umesisitiza kwa kujiamini kabisa kwamba mimi ni muongo nioneshe basi huo uongo, na usisahau kuniambia uhusiano uliopo kati ya ndoa yangu na mada iliyoko mezani..nasubiri!!
Uhusiano upi wakati muongo.
 
Sasa si ndio uoneshe huo uongo, weka hapa kauli ambayo imekanusha hiyo comment yangu, ukishindwa kuweka maana yake wewe ndio muongo
Sasa nioneshe uongo wako wakati nakujua au kipindi kile na bishana ww si ulipayuka na kujitapa huna mpango wa ndoa,sasa hiyo ndoa ya miaka 25 umeitoa wapi? Ukiongopa uwe na kumbukumbu.

Na ulijatambaga huna mpango wa ndoa au sio Jadda yule? Uzi nimeusahau ila maneno na yakumbuka. WEWE NI WAKUONEWA HURUMA.
 
Sasa nioneshe uongo wako wakati nakujua au kipindi kile na bishana ww si ulipayuka na kujitapa huna mpango wa ndoa,sasa hiyo ndia ya miaka 25 umeitoa wapi?
Kama unanijua niambie naitwa nani na kama unajua hizo statements zote nilizitoa mimi, ni kipi kilichokufanya uone hiyo ya kuwa na ndoa ni ya uongo na hiyo ya kutotaka ndoa ndio ya ukweli na si vice versa, je kuna statement yoyote kati ya hizo ambayo niliitolea uthibitisho usio na shaka hadi wewe kuhitimisha kuwa ndio ya ukweli
 
Kama unanijua niambie naitwa nani na kama unajua hizo statements zote nilizitoa mimi, ni kipi kilichokufanya uone hiyo ya kuwa na ndoa ni ya uongo na hiyo ya kutotaka ndoa ndio ya ukweli na si vice versa, je kuna statement yoyote kati ya hizo ambayo niliitolea uthibitisho usio na shaka hadi wewe kuhitimisha kuwa ndio ya ukweli
Wewe sio mzima.
 
Wewe sio mzima.
Jibu swali unajua watu kama ninyi ndio mnakuja kufungwa mnajiona kwa kuongea vitu msivyovijua kuhusu watu msiowajua, hapo nikikuambia unioneshe ushahidi kuwa hiyo statement ya kwamba nina ndoa ni ya uongo na hiyo ya kwamba sina mpango wa ndoa ndio ya ukweli una uhakika unaweza kunipa ushahidi, ukivamia mada bila kuwa na hoja za msingi lazima uishie kuaibika kama hivi nilikuambia ukiendelea kubishana na mimi kuhusu hili suala nitakudhalilisha
 
Jibu swali unajua watu kama ninyi ndio mnakuja kufungwa mnajiona kwa kuongea vitu msivyovijua kuhusu watu msiowajua, hapo nikikuambia unioneshe ushahidi kuwa hiyo statement ya kwamba nina ndoa ni ya uongo na hiyo ya kwamba sina mpango wa ndoa ndio ya ukweli una uhakika unaweza kunipa ushahidi, ukivamia mada bila kuwa na hoja za msingi lazima uishie kuaibika kama hivi nilikuambia ukiendelea kubishana na mimi kuhusu hili suala nitakudhalilisha
Endelea kuchangamsha kijiwe, comments zako hazina tofauti na wale wazee wa vijiwe vya kahawa.
 
Endelea kuchangamsha kijiwe, comments zako hazina tofauti na wale wazee wa vijiwe vya kahawa.
Ndio uwezo wako wa kujadili hoja ulipoishia wala usisingizie nachangamsha kijiwe kati ya mimi na wewe nani anachangamsha kijiwe hapa, yani mimi nihangaike kushusha magazeti kwa lengo la kuchangamsha kijiwe tu unahisi sina kazi za kufanya au, endelea na zile mbwembwe zako za kufukua past comments uendelee kuumbuka na kuishia kusema mimi mbishi na unanionea huruma
 
Unadham laana zinafika kirahisi hivyo? Wengi wangeshakufa. Take it easy.
Sijatamka laana, nimesema kuhusu mtoto wa Dhambi ni Nini. Alichokifanya mdau ni Usaliti na mwisho wake ni kuu ndoa na kuuawa Kwa Mahusiano mapya. Mahusiano yaliojengwa katika Usaliti hua hayadumu
 
Back
Top Bottom