Nimekutana na “my soulmate” nikiwa nimeshaoa

Nimekutana na “my soulmate” nikiwa nimeshaoa

Sawa

Mimi kudanganya kuhusu maisha yangu kunahusiana nini na hii mada inayohusu jamii kwa ujumla hebu jibu hayo maswali acha kukwepa hoja, endelea kushusha hayo magazeti yako ili nikudhalilishe ijulikane nani mweupe kichwani, mbona umekimbia mada umejificha kwenye kichaka cha hiyo comment yangu kama kweli unajiamini una hoja si urudi kwenye mada au vipi

Oohh kwahiyo hiyo kwa mujibu wa hiyo kanuni yako ni kwamba siku baba akitetereka kiuchumi, na mama akalazimika kusukuma gurudumu mpaka baba atakapokaa sawa, maana yake kwa kipindi hicho baba atatakiwa kumtii mama si ndio

By the way unasahau kwamba huko kwa wenzetu mke hawajibiki kumtii mume na hakuna mgawanyo wa majukumu yeyote ana wajibu wa kufanya jukumu lolote, kwahiyo huko 50/50 haipo kwenye kulipa bills tu bali ipo hadi kwenye kazi za nyumbani na malezi ya watoto, na kama mnaweka housemaid yeye ndio atafanya majukumu yote ya nyumbani ili mume na mke wasaidiane majukumu ya kiuchumi tu

Na hutasikia mwanaume akilalamika kuwa eti mke wake kajisahau kazi zote kamuachia dada na wala hawafikii hatua ya kutembea na hao wadada kwa sababu hiyo, lakini huku afrika ambako hadi leo wanaume wanapenda kunyenyekewa, kupikiwa na kufuliwa na wake zao na wanaona kwamba kazi za nyumbani haziwahusu kabisa

Msitegemee wanawake wataikubali hiyo 50/50 ya kwenye kulipa bills kwa sababu hata ninyi hamuwasaidii majukumu yao, kwahiyo msiwalaumu kwamba hawawezi kuwasaidia yenu siku mtakapokubali kuacha kupenda kunyenyekewa, na mtakapokubali kuyachukulia majukumu ya nyumbani na malezi ya watoto kama wajibu wenu

Basi nawahakikishia hata wanawake nao wataanza kulichukulia serious hilo suala la kulipa bills 50/50, yani kwa kifupi hiyo 50/50 isiwe applicable kwenye majukumu ya mwanaume tu bali hata ya mwanamke pia kama huko kwa wazungu, ila tatizo linakuja wanaume ndio hamko tayari kufanya majukumu ya wanawake yani unataka wewe ufanye majukumu yako tu ila mwanamke afanye majukumu yako pamoja na yake hapo ndipo wanawake wanapogoma
Mimi nipo na mjerumani namuhudumia kila kitu anapika na kunifulia nguo na mashine kwenye Keller na ana masters ya Industrial Engineering. Mpaka kesho na mpaka kufa kwangu nitazidi kusisitiza kwa kila mwanaume. Ukimhudumia mwanamke anatakiwa akuheshimu kama baba yake. Tena ni mwelewa ninamwambia tu katika tamaduni zetu mwanaume anatakiwa awe hivi na mwanamke anatakiwa aweje. Nashukuru Mungu anaelewa. Kamwe siwezi kutetereka kifedha na kuja kumnyenyekea mke wangu. Wewe baba yako ashawahi kuja kwako ukiwa mdogo na kukuomba hela au kukulilia shida ? Mke ni mtoto wa kwanza wa baba mwenye nyumba. Kuna watu wanafikisha mpaka miaka 50 wakiwa wavulana. Nina watu wangu wa karibu wanaume wenzangu wa kusaidiana nao. Anika wangu namhudumia kila kitu na bado ananinunulia mashati mara moja moja.Tatizo una date na wavulana halafu unakuja kukandia wanaume. Rudi nyumbani mwombe mama yako akufundishe kutofautisha wanaume na wavulana.
 
maneno mengine ni kufikirika kwenye akili tu si halisi.. Eti SOUL MATE au CELL MATE ?
 
Kuna mjinga mmoja alinisumbua sana nimtafutie mke,nikamtafutia,tukamsafirisha binti wa watu,kafika kule baada ya mwez jamaa ananiambia kapigiwa simu na mwanamke aliekuwa anampenda sana,sasa anashindwa afanyeje

Nilichoka,niliapa kwasasa siwez waanganisha watu katika ndoa,binti wa watu aloteseka mno mpaka nikataman nimrudishe nimuoe mimi
Aisee 🤔
 
Soul mate wa nyokweee..sema tu umeamua kuwa MALAYAAA
 
We dogo tulia na mkeo acha kuendekeza tamaa za kijinga.
Madhara ya kuoa na miaka 22 ndo Kama haya Sasa.
 
Mimi nipo na mjerumani namuhudumia kila kitu anapika na kunifulia nguo na mashine kwenye Keller na ana masters ya Industrial Engineering. Mpaka kesho na mpaka kufa kwangu nitazidi kusisitiza kwa kila mwanaume. Ukimhudumia mwanamke anatakiwa akuheshimu kama baba yake. Tena ni mwelewa ninamwambia tu katika tamaduni zetu mwanaume anatakiwa awe hivi na mwanamke anatakiwa aweje. Nashukuru Mungu anaelewa. Kamwe siwezi kutetereka kifedha na kuja kumnyenyekea mke wangu. Wewe baba yako ashawahi kuja kwako ukiwa mdogo na kukuomba hela au kukulilia shida ? Mke ni mtoto wa kwanza wa baba mwenye nyumba. Kuna watu wanafikisha mpaka miaka 50 wakiwa wavulana. Nina watu wangu wa karibu wanaume wenzangu wa kusaidiana nao. Anika wangu namhudumia kila kitu na bado ananinunulia mashati mara moja moja.Tatizo una date na wavulana halafu unakuja kukandia wanaume. Rudi nyumbani mwombe mama yako akufundishe kutofautisha wanaume na wavulana.
Sasa mbona umerudi kule kule kwenye point yangu mimi si nimetoka kusema kwamba mwanamke anatakiwa akuheshimu na atimize majukumu yake ikiwa unamhudumia tu, halafu unajiongelea wewe wakati mimi naongelea mitazamo ya wanaume wengi wa kiafrika huko vijiweni na huku mitandaoni wengi wanataka wanawake wa kusaidiana nao maisha, kwanza aliyekuambia kwamba ili mtu ajue tabia fulani za wanaume ni lazima awe amedate na wanaume wenye tabia hizo tu ni nani hebu kuwa serious rudi darasani kijana yani nimsumbue mama yangu kwa vitu vya kijinga kama hivo
 
Soulmate akiwa nje muweke ndani ndio utajua ni soulmate au trouble mate.
Cha msingi tulia na peleka machine ila usimsahau life mate wako (mkeo)
 
Wanasema “ usifunge ndoa asubuhi mana hujui nani utakutana nae jioni” hatimae kwangu jioni imefika na nimekutana na mrembo alieumbwa kwa ajiri yangu.

She is beautiful, hot, real hot. Ni anaendana na mimi yani ile couple ambayo baba na mama wote ni super handsome and beauty.

My current wife is hot but not as my soulmate, i feel sorry for my wife but, I discovered the purpose of life. Time will tell.
Mrejesho
 
Back
Top Bottom