Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Wewe ni mjinga huna akiliwahindi waliopo hapa ukiwachukua na kwenda kuwadondosha india hawana hata pa kwenda. kama wanapo basi wamenunua tu siku hizi. hao walikuja karne nyingi sana kabla ya wangoni hawajaja. wangoni hawajaja zamani sana, miaka ya 1800 juzi tu hapa wakati wahindi karne za nyuma kabisa. katiba ya Tanzania inamtambua mtu kuwa mtanzania (hata kama angekuwa mzungu) kama alikuwepo kabla ya uhuru kutangazwa 1961, na wengine waliozaliwa hapo baadaye au walioupata utanzania kisheria.
Ndio nimekwambia wachaga hawa jamaa wanajua kunyanyuana kudadadek wachaga, kuna jamaa alivutwa Dar akaja kushika duka ili na yeye ajikusanye afungue duka ndani ya mwaka tu na yeye akafungua duka pale alipofungua akaita kijana mwingine akaja nae ndani ya mwaka akafungua duka la kwake, rotation inaendelea hivyo yaani
Makabila mengine yamekalia Ubinafsi tu pumbavu
Ndio hivyo yaanNa huu ndio ukweli kuna jamaa mchaga anaenda kijijini kwao kuchukua ndugu kwa makubaliano ya miaka 3 plus kua Na ww nitakufungulia duka na kiwanja. Yupo Kkoo mtaa wa Agrey. Sio poa mpk ss katoa vijana 3 kwa style Hii. Nao Kama kawa anawambia mfanye kama nilivyo fanya mm kwenu. Kwa kipindi cha kusubilia ghalama za maisha ni kwa Kaka mkubwa. Kwa vijana wapya.
shida ni kwamba hauna akili. ngoja nikuache kama ulivyo. kwasababu ukiona mwanaume anamwita mwanaume mwenzie mke wangu, jua akili yake ni ya ajabu na ana matendo machafu na ya ajabuajabu sana. what you have written describes well the type of a person you are.Mke wangu umeamka na hasira sana,
Usihofu ni changamoto za mimba changa utakuwa sawa.
Jinga wewe!
Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app