Nimekutana na skin walker usiku wa kuamkia leo. Alikuwa binadamu, akageuka kuwa mbwa

Pole sana, itakuwa ndiyo mara yako ya kwanza? By the way havizoeleki hivyo, dunia hii haikaliwi na binadamu tu, ina Kila aina ya viumbe ambavyo hutokuja hata kufikiri kuwa wapo, hutokuja kuamini Hadi uwaone mwenyewe. Wako viumbe wako kwenye dimensions na frequencies mbalimbali tunaishi nao tu mitaani. Wengine ni shapeshifters unakutana nao baa, sokoni, stendi nk..haya mambo daima huwezi kuamini Hadi uyaone na pia, ni kama mazingaombwe vile. Usipende kupigapiga hovyo wanyama na watu usiowajua...Poleni itakuwa mmeogopa sana, ubaya ni kuwa We are not capable of comprehend or accept the truth of existence.
 
Viumbe wa hivyo wapo na kwenye cctv unaweza kuwaona. So poleni sana. Najua itamchukua mda kutoka akilini
 
...Yaani Walinzi washuhudie wenyewe Kisha wakunyime copy ya clip hiyo inayoonyesha Nini ?? Sababu Yao Nini ? Wanamlinda Jini ???...Au story nzima ni Uongo TU ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…