Una changanya, hapo ni jamii moja inapambana mgeni adui. Wamishionary walitazamwa kama maadui na wahafidhina katika makabila mengi, sababu ukristo ulitishia mila za jamii za asili. Mfano, wamisionary walihamasisha watu wasiende kwa waganga, walipiga vita majina ya asili, walipinga kuoa wake wengi, yote haya yalitishia misingi ya jamii hizo. Kusini kule kuna mmisionary alichinjwa.Kule Geita eneo linaitwa Nyarubere kama sijakosea waliwawekea sumu kwenye maziwa wamisionari enzi zile za kueneza ukristo wale jamaa walikufa kama kuku wa mdondo .
So naunga mkono hoja yako kwa tukio lile .
Wabariadi ni wanyantuzu hao. Wengi wao ni watata, wabinafsi, wajivuni na wana dharau sana.Wasukuma ukitaka uwachote jifanye nawe Msukuma. Kwa kuwa kabila ni kubwa we ukienda Sumve kule waambie ni Msukuma wa asili ya Chato hawapajui kabisa.
Nilikutana nao wilaya ya Malinyi kule Morogoro ndani ndani uko wako wengi nikajifanya mwenzao, bila hivyo sikuwa na competitive advantage. Na ukienda kwao jua maneno mawili matatu ya Kisukuma huku unamlaumu baba yako Msukuma (mama kabila lingine) kutokukufundisha kilugha vizuri.
Nilisoma nao shule wanapenda kilugha na undugu kuna dorms walihodhi wao, dorm #26 ni la Wasukuma wanarithishana ukienda kabila lingine utahama tu, kwanza wanaongea kilugha alafu kelele kibao hadi usiku. Ugomvi wa chakula, kuongeza msosi "round two", kulilia matunda na nyama, na kuwa mess movers ni wao.
Hata hivyo huwa hawafanani tabia na haa wao wenyewe wanakwepana, wale wa Bariadi naona Wasukuma wenzao wanawakwepa.
Uongo uongo uongoNje ya Mada.
Jamii ya kisukuma ni jamii ambayo Kipindi niko chuo niliaminishwa kua ndio watu wakarimu na wenye upendo sana tanzania...
Huu ni moja ya uongo mkubwa zaidi kushuhudia maishani mwangu,
Wale watu wanaroho mbaya, Wachawi, Wezi, na Wasiopenda wageni kufanya lolote, Jamii ambayo ukifika kwao usipomsalimia kisukuma anakuchukia,
Jamii ambayo wanataka mgeni umnyenyekee...,
Otherwise mni prove wrong kua kuna wa maeneo na maeneo.
Suala la Ushamba Hilo siwezi lizungumzia as long halikunikera katika interactions nao zaidi ya kua fursa.
Sio kweliNje ya Mada.
Jamii ya kisukuma ni jamii ambayo Kipindi niko chuo niliaminishwa kua ndio watu wakarimu na wenye upendo sana tanzania...
Huu ni moja ya uongo mkubwa zaidi kushuhudia maishani mwangu,
Wale watu wanaroho mbaya, Wachawi, Wezi, na Wasiopenda wageni kufanya lolote, Jamii ambayo ukifika kwao usipomsalimia kisukuma anakuchukia,
Jamii ambayo wanataka mgeni umnyenyekee...,
Otherwise mni prove wrong kua kuna wa maeneo na maeneo.
Suala la Ushamba Hilo siwezi lizungumzia as long halikunikera katika interactions nao zaidi ya kua fursa.
hadi sketi wanaovaaπππSiyo hereni tu hadi sketi wanavaa kabisa hao wasukuma ni hatari wakiwa porini ni kama Simba ukiingia anga zao wamekumaliza wanaoga maziwa na mkojo wa ng'ombe wana shombo la hatari.
Kuna wale niliwaona Sikonge wanavaa visket na gunboats za rangu ya njano, kijani au nyekundu, wanavaa na urembo unaitwa mfode sijui mpode π€£π€£ Aiiii wasukuma nyie!
Siyo issue kabisaKama utamaduni ni utajiri, Tanzania inao mwingi sana.
Nilikuwa nafahamu kuwa ni sehemu ya utamaduni wa Kimasai wanaume kutoboa masikio. Ndiyo maana nilishangaa nilipokutana na vijana wa Kisukuma wanaovaa hereni.
Hata mahali nilikokutana nao ni mshangao pia. Ni mkoa ambao unaojulikana kuwa wenyeji wake ni Waha. Namaanisha Kigoma.
Hao vijana wa Kisukuma, ambao kwa makadirio ya umri walionekana kuwa walizaliwa miaka ya elfu mbili hivi, walikuwa wamevaa hereni na mibangili mingi.
Nulipowauliza watu wanaoishi karibu nao (majirani zao ni Waha na Wasumbwa, wote wapo Kakonko Kigoma), nilielimishwa kuwa kwa Wasukuma kuvaa hereni na mibangili mkononi, ni ishara ya utajiri wa ng'ombe.
Si kila kijana wa Kisukuma anaruhusiwa kuvaa hivyo. Ni yule tu ambaye kwao kuna utajiri wa ng'ombe. Namna ya uvaaji wa mibangili mkononi na miguuni huonesha kiwango cha utajiri wao. Kwa uvaaji tu wa mibangili, unaweza ukajua idadi ya ng'ombe waliyo nayo kama ni maelfu ya ng'ombe n.k.
Labda, wakati mwingine, wasanii wa Tanzania wanaovaa hereni hawajaiga Wazungu bali wanadumisha utamaduni wao wa asili.
Kwani kuna mtu aliyekuwa anajua kuwa kuna vijana wa kabila la Wasukuma wanaovaa hereni masikioni?
sio kihomoka kweli hapoKama utamaduni ni utajiri, Tanzania inao mwingi sana.
Nilikuwa nafahamu kuwa ni sehemu ya utamaduni wa Kimasai wanaume kutoboa masikio. Ndiyo maana nilishangaa nilipokutana na vijana wa Kisukuma wanaovaa hereni.
Hata mahali nilikokutana nao ni mshangao pia. Ni mkoa ambao unaojulikana kuwa wenyeji wake ni Waha. Namaanisha Kigoma.
Hao vijana wa Kisukuma, ambao kwa makadirio ya umri walionekana kuwa walizaliwa miaka ya elfu mbili hivi, walikuwa wamevaa hereni na mibangili mingi.
Nulipowauliza watu wanaoishi karibu nao (majirani zao ni Waha na Wasumbwa, wote wapo Kakonko Kigoma), nilielimishwa kuwa kwa Wasukuma kuvaa hereni na mibangili mkononi, ni ishara ya utajiri wa ng'ombe.
Si kila kijana wa Kisukuma anaruhusiwa kuvaa hivyo. Ni yule tu ambaye kwao kuna utajiri wa ng'ombe. Namna ya uvaaji wa mibangili mkononi na miguuni huonesha kiwango cha utajiri wao. Kwa uvaaji tu wa mibangili, unaweza ukajua idadi ya ng'ombe waliyo nayo kama ni maelfu ya ng'ombe n.k.
Labda, wakati mwingine, wasanii wa Tanzania wanaovaa hereni hawajaiga Wazungu bali wanadumisha utamaduni wao wa asili.
Kwani kuna mtu aliyekuwa anajua kuwa kuna vijana wa kabila la Wasukuma wanaovaa hereni masikioni?
Wasukuma wa kiume wanavaa hereni, sketi, khanga, bangiri na shanga na yale makaniki yao.
Sijui kama ni penyewe! Ukishavuka mto unaotenganisha Biharamulo na Kakonko ukitokea Biharamulo, unakata kushoto kabla ya Beria. Kijiji chao kipo ndani ndani maeneo hayo.sio kihomoka kweli hapo
Nafikiri hao ni mabinti wa Kimasai.πππ
hawa?
Bariadi mjini na Itilima, jamii wanaita wanyantuzu, Sio mimi tuu mgeni, hata baadhi ya Wasukuma wenzanao wanawasema.ulishafika maeneo yapi ya usukumani? Fafanua hapo kwenye kunyenyekewa? Wasukuma uchawi na imani hizo ni kwa watu wote wa vijijini ila msukuma halogi kwa kuonea. Mengine ni hulka ila sio ubaya, msukuma ni mtu cautious sana hasa kwa asiye msukuma, ndio huwa na amani pale stranger akizungumza lugha yake. Uchoyo msukuma hana, sababu ni mzalishaji na mambo ya bajeti hana.
Hao wamejaa sana Maeneo ya Malinyi Morogoro mpaka liwale Lindi....Wanavaa hadi Shanga muda mwingine. Ni wakorofi na riho ngumu kupindukia nimeshuhudia zaidi ya mara moja wanaua wenyeji wanaowazingua kulisha mifugo yao kwenye mashamba ya wakulimaKama utamaduni ni utajiri, Tanzania inao mwingi sana.
Nilikuwa nafahamu kuwa ni sehemu ya utamaduni wa Kimasai wanaume kutoboa masikio. Ndiyo maana nilishangaa nilipokutana na vijana wa Kisukuma wanaovaa hereni.
Hata mahali nilikokutana nao ni mshangao pia. Ni mkoa ambao unaojulikana kuwa wenyeji wake ni Waha. Namaanisha Kigoma.
Hao vijana wa Kisukuma, ambao kwa makadirio ya umri walionekana kuwa walizaliwa miaka ya elfu mbili hivi, walikuwa wamevaa hereni na mibangili mingi.
Nulipowauliza watu wanaoishi karibu nao (majirani zao ni Waha na Wasumbwa, wote wapo Kakonko Kigoma), nilielimishwa kuwa kwa Wasukuma kuvaa hereni na mibangili mkononi, ni ishara ya utajiri wa ng'ombe.
Si kila kijana wa Kisukuma anaruhusiwa kuvaa hivyo. Ni yule tu ambaye kwao kuna utajiri wa ng'ombe. Namna ya uvaaji wa mibangili mkononi na miguuni huonesha kiwango cha utajiri wao. Kwa uvaaji tu wa mibangili, unaweza ukajua idadi ya ng'ombe waliyo nayo kama ni maelfu ya ng'ombe n.k.
Labda, wakati mwingine, wasanii wa Tanzania wanaovaa hereni hawajaiga Wazungu bali wanadumisha utamaduni wao wa asili.
Kwani kuna mtu aliyekuwa anajua kuwa kuna vijana wa kabila la Wasukuma wanaovaa hereni masikioni?