Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanyantuzu wengi wanaroho za sheteni sipingiNje ya Mada.
Jamii ya kisukuma ni jamii ambayo Kipindi niko chuo niliaminishwa kua ndio watu wakarimu na wenye upendo sana tanzania... na kweli sikusita kuamini kwa reference ya rafiki zangu wawili chuo.
Huu ni moja ya uongo mkubwa zaidi kushuhudia maishani mwangu, otherwise niambiwe kua kua Kuna ukanda na ukanda.
Wale watu wanaroho mbaya, Wachawi, Wezi, na Wasiopenda wageni kufanya lolote, Jamii ambayo ukifika kwao usipomsalimia kisukuma anakuchukia,
Jamii ambayo wanataka mgeni umnyenyekee...,
Otherwise mni prove wrong kua kuna wa maeneo na maeneo lakini nilishuhudia hayo, Bariadi kwa wanaowaita sijui wanyantuzu.
Suala la Ushamba Hilo siwezi lizungumzia as long halikunikera katika interactions nao zaidi ya kua fursa...
Potelea kote, lawama hapewi mbuzi, nirogeni na humu.
Ni sketi kabisa au ni lishuka jeusi maarufu kwa jina la kaniki?Mbona kuvaa sketi wasukuma vijijini ni kawaida? Nenda Ruvuma kwenye minada vijijini utawaona
Mmmmmh kwa ushahidi upi?Wanyantuzu wengi wanaroho za sheteni sipingi
Vilevile ninyi ni wachafu, wazandiki, roho mbay na hatuwapendiNje ya Mada.
Jamii ya kisukuma ni jamii ambayo Kipindi niko chuo niliaminishwa kua ndio watu wakarimu na wenye upendo sana tanzania... na kweli sikusita kuamini kwa reference ya rafiki zangu wawili chuo.
Huu ni moja ya uongo mkubwa zaidi kushuhudia maishani mwangu, otherwise niambiwe kua kua Kuna ukanda na ukanda.
Wale watu wanaroho mbaya, Wachawi, Wezi, na Wasiopenda wageni kufanya lolote, Jamii ambayo ukifika kwao usipomsalimia kisukuma anakuchukia,
Jamii ambayo wanataka mgeni umnyenyekee...,
Otherwise mni prove wrong kua kuna wa maeneo na maeneo lakini nilishuhudia hayo, Bariadi kwa wanaowaita sijui wanyantuzu.
Suala la Ushamba Hilo siwezi lizungumzia as long halikunikera katika interactions nao zaidi ya kua fursa...
Potelea kote, lawama hapewi mbuzi, nirogeni na humu.
Yes wasukuma wamevaa heleni na bangili enzi na enzi kabla ya wazunguKama utamaduni ni utajiri, Tanzania inao mwingi sana.
Nilikuwa nafahamu kuwa ni sehemu ya utamaduni wa Kimasai wanaume kutoboa masikio. Ndiyo maana nilishangaa nilipokutana na vijana wa Kisukuma wanaovaa hereni.
Hata mahali nilikokutana nao ni mshangao pia. Ni mkoa ambao unaojulikana kuwa wenyeji wake ni Waha. Namaanisha Kigoma.
Hao vijana wa Kisukuma, ambao kwa makadirio ya umri walionekana kuwa walizaliwa miaka ya elfu mbili hivi, walikuwa wamevaa hereni na mibangili mingi.
Nulipowauliza watu wanaoishi karibu nao (majirani zao ni Waha na Wasumbwa, wote wapo Kakonko Kigoma), nilielimishwa kuwa kwa Wasukuma kuvaa hereni na mibangili mkononi, ni ishara ya utajiri wa ng'ombe.
Si kila kijana wa Kisukuma anaruhusiwa kuvaa hivyo. Ni yule tu ambaye kwao kuna utajiri wa ng'ombe. Namna ya uvaaji wa mibangili mkononi na miguuni huonesha kiwango cha utajiri wao. Kwa uvaaji tu wa mibangili, unaweza ukajua idadi ya ng'ombe waliyo nayo kama ni maelfu ya ng'ombe n.k.
Labda, wakati mwingine, wasanii wa Tanzania wanaovaa hereni hawajaiga Wazungu bali wanadumisha utamaduni wao wa asili.
Kwani kuna mtu aliyekuwa anajua kuwa kuna vijana wa kabila la Wasukuma wanaovaa hereni masikioni?
Yana roho mbaya mnoNje ya Mada.
Jamii ya kisukuma ni jamii ambayo Kipindi niko chuo niliaminishwa kua ndio watu wakarimu na wenye upendo sana tanzania... na kweli sikusita kuamini kwa reference ya rafiki zangu wawili chuo.
Huu ni moja ya uongo mkubwa zaidi kushuhudia maishani mwangu, otherwise niambiwe kua kua Kuna ukanda na ukanda.
Wale watu wanaroho mbaya, Wachawi, Wezi, na Wasiopenda wageni kufanya lolote, Jamii ambayo ukifika kwao usipomsalimia kisukuma anakuchukia,
Jamii ambayo wanataka mgeni umnyenyekee...,
Otherwise mni prove wrong kua kuna wa maeneo na maeneo lakini nilishuhudia hayo, Bariadi kwa wanaowaita sijui wanyantuzu.
Suala la Ushamba Hilo siwezi lizungumzia as long halikunikera katika interactions nao zaidi ya kua fursa...
Potelea kote, lawama hapewi mbuzi, nirogeni na humu.
Ushahidi ni kwa wale nnliokaribu nao na wasemavyo walimwenguMmmmmh kwa ushahidi upi?
Hapana. Wamasai mabinti hunyoa nywele zao zote kabisa.Nafikiri hao ni mabinti wa Kimasai.
Hapo majimoto wanaume wa kisukuma wanavaa sketi za kushonesha kabisaa...wanavaa hereni kubwa kama za Miriam Odemba na wanavaa rain buti asubuhi moka asubuhiUkienda Wilaya ya Mpimbwe mkoa wa Katavi kuna sehemu inaitwa majimoto huko wasukuma wa kiume wanavaa sketi kabisa
Sagaluga ni kitu gani mkuu?Nenda kwenye sagulaga ndio utaona vijana wa kiume wa kisukuma wanevaa skirt, midomo imepakwa rangi , magauni n.k
AiseeHao wamejaa sana Maeneo ya Malinyi Morogoro mpaka liwale Lindi....Wanavaa hadi Shanga muda mwingine. Ni wakorofi na riho ngumu kupindukia nimeshuhudia zaidi ya mara moja wanaua wenyeji wanaowazingua kulisha mifugo yao kwenye mashamba ya wakulima
sketi, tena ya kitambaa cha jeans ya kijivuNi sketi kabisa au ni lishuka jeusi maarufu kwa jina la kaniki?