Nimekutana na Wanandoa wenye tarehe ya kuzaliwa inayofanana

Hata kufa watakufa pamoja
 
Hii huwa inatokea kwa mambo mengi sana. Binafsi imenitokea kwa mazingira matukio na matamshi

Nimewahi kuokota hela (sh mia) sehemu ileile kiasi kilekile mkao wake ardhini uleule safari ni ileile nilikuwa nikienda shule asubuhi asubuhi sana

Kwenye mazungumzo si mara moja unakuta tunazungumza jambo na washkaji lakini kuna vipande vya mazungumzo vinajirudia kwa namna ileile ya siku nyingine kabla

Nafikaga baadhi ya sehemu halafu nashangaa kukuta eneo fulani linafanana kila kitu na eneo lingine la nyumbani mfano nimewahi kwenda sehemu fulani nikakuta barabara fulani kama ya kwetu mbaya zaidi mpaka kwenye kona kulikuwa na kibanda cha mangi na penyewe nikakuta mtu kama yule yule japo walitofautiana kiasi fulani
 
Deja vu
 
Una tabia mbaya, nitachukua hatua dhidi yako.
 
Mbona ni kawaida tu, nilishakutana na dada mmoja tumeshare tarehe moja 26 Decmber, tukaishia kuitana pacha...tulvyomalizana kila mmoja akashika njia yake

Na ukimkuta wa hvyo ni kugusa tu unakula mzigo, manzi anahisi kuna cha tofauti au ajabu kumbe ni coincidence tu ya kawaida..
 
Mimi na wife pia tunafanana tarehe na mwezi wa kuzaliwa tofauti ni mwaka tu.

Wote tumezaliwa tarehe 7/04
Na kingine tunafanana alama za mikono yote
Kihusu alama za mokono, je mko group moja la damu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…