Zambotti
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,973
- 3,643
[emoji2] [emoji2] [emoji3]Labda alipigwa chini na jini, akachukua Mali zake,maana wabongo Kwa usaliti ni noma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2] [emoji3]Labda alipigwa chini na jini, akachukua Mali zake,maana wabongo Kwa usaliti ni noma
Watu wakifail maisha wanatafuta wa kumtwisha lawama. Mtu alifail mwenyewe mziki wake kwasasa haulipi na watu hata aimbe nini hawamwelewi ila lawama wapewe mawingu.Mbona mawingu tena jamani ...hatima ya maisha yetu ipo mikononi mwetu wenyewe na si kwa mwingine
[emoji2] [emoji1] [emoji1]Wakumshangaa Chidi Benz sasa amekuwa Chidi kibajaji.
umeandika nini sasa hapa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aliimba binti kiziwi, ila nadhani viziwi hawakuusikia huo wimbo.
Aiseeekafanya nini? sasa inawezekana vipi akawa vilevile kama wa binti kiziwi?wanyama na mimea hupitia mabadiliko kila leo...sasa nakushangaa unaposhangaa mabadiliko ya mnyama...
Halafu wewe ndiye yule producer? Kila mara ni kuanzisha thread....lakini utazoea tuu
aiseeMbona jamaa yupo poa na mishe zake za kawaida, au mleta mada ulikua unataka aweje. Jamani Tambueni kunamda mtu anakua bize na utafutaji hadi anashindwa kwenda kufanya make up masaluni.
inawezekana aiseeLabda hakupaka poda.
Yaani ni shidaMbona mawingu tena jamani ...hatima ya maisha yetu ipo mikononi mwetu wenyewe na si kwa mwingine
kasema 110, ala!Unazijua fremu 1000 ama unatamka tu Mkuu?
Hahahahahahahahahakasema 110, ala!
Nimemuona Z. Anton Ubungo, sio yule tena superstar wa binti kiziwi ama kweli mawingu sio watu wazuri, sijui mwenzake MB Dogg yupo wapi
Fremu chache sana izo sijui anashangaa ninikasema 110, ala!