Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
- Thread starter
- #41
Mavidavi duu!!!! Ndo mavi ya wapi hayoMzee wa mavidavi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mavidavi duu!!!! Ndo mavi ya wapi hayoMzee wa mavidavi
Ni mawingu au Tale wasanii wote waliotoka tip top Tale alikuwa anaenda kuwazibia kusikikika nackia etNimemuona Z. Anton Ubungo, sio yule tena superstar wa binti kiziwi ama kweli mawingu sio watu wazuri, sijui mwenzake MB Dogg yupo wapi
Yule jamaa zinga la mwimbajiMb Dog namuonaga maeneo ya Makuburi,naye yuko yuko kijiweni.
Mbona yuko powah tu ana fremu zake zaidi ya 110 kigamboni
Hahahahahhaah...jf mna maneno jamaniAliimba binti kiziwi, ila nadhani viziwi hawakuusikia huo wimbo.
Umbea hauna posho, fanya yakoNimemuona Z. Anto Ubungo, sio yule tena superstar wa binti kiziwi ama kweli mawingu sio watu wazuri, sijui mwenzake MB Dogg yupo wapi
Alishawahi kukugegedaUmbea hauna posho, fanya yako
Frame mia moja kumi au typing error?Mbona yuko powah tu ana fremu zake zaidi ya 110 kigamboni
Mh hili sasa anamiliki SokoMbona yuko powah tu ana fremu zake zaidi ya 110 kigamboni
Walioana baadae Anto alivyofulia wakamwagana demu akawa punda amedakwa kwa wavimba macho akiwa na ngadaKale kademu kalikokuwa kwenye video ya Binti Kiziwi ni katamu aisee.