Nimekutana na Z.Anton Ubungo, aiseee inasikitisha Sana

Aiseee
 
Mbona jamaa yupo poa na mishe zake za kawaida, au mleta mada ulikua unataka aweje. Jamani Tambueni kunamda mtu anakua bize na utafutaji hadi anashindwa kwenda kufanya make up masaluni.
aisee
 
Au pengine mwandishi amefanya hivi ili kujua alipo na anachofanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…