Nimekuwa mpweke sana, sina rafiki wa karibu. Je, kuna madhara kuishi hivi?

Aiseee.
Inauma sana.
Kwa upweke huu sijui tatoboa miaka 70!!
1. Uliwahi kuwa na marafiki au rafiki hapo zamani wa mtaani, shuleni, chuoni, n.k ? kama ndio, ni kipi kilichangia kufifisha urafiki ?

2. Hapo kazini ulianza ukiwa na miaka mingapi ? Hukukutana na watu wa rika lako unapoanza ? au mazingira ya kazi yanazuia urafiki ?

3. Umewahi kusikia wakikuongelea vibaya ? (anaringa, anajisikia, n.k)
 
Mf mimi siridhiki.

Aina ya washkaji wa job hawaendagi bar kabisa. So hao tu ni tuende AiM mall tukacheze game, ama tukale mahali.

Sasa siku nikimiss bar! Nateseka kutafuta anaza kampani 🤣
tafuta sasa, jichanganye viwanjani😂

watu wa viwanja wako social sana mi naona
 
Mitaa ya nyumbani tu easy and peaceful.
Hubadilishi? Naelewa kuna sometimes mtu hufeel kutoka nje ya nyumba.

Lakini kuna wakati pia unachoka kukaa ndani.. unaenda kibandani kuangalia mpira 🤪 unaEnjoy vp ur own company mara zote?
 
kwa kuku haliwezi kuwa zizi ni Banda.

Ng,ombe,Nguruwe ndio Zizi.
 
I tried, vikanishinda.
Ubaya nalinganisha na ile friendships ya kazini.. nakuta ya mtaa iko down, haina sharing cost. Naitema 😄
haya mambo nayo hayanaga formula mi naona sio kila mtu anayawezea
 
Nilipomaliza school O level nilipoteana na wenzangu maana ilikuwa boarding.
Advance nahisi ni wawili tu kati ya mia mbili hivi ndio hatukwenda university.
Mwenzangu alipata four ya 18.
Mimi nilipass ila mazingira yaligoma.
Sasa nikajikuta najitenga na wale classmates wenzangu kwa niliyopitia.
Leo hii nina namba za washikaji wa o level, advance na university lakini nakuwa mzito hata kuwatafuta. University nimemaliza hivi karibuni.
Kazini vijana wenzangu wapo, tena wengine Mimi ndio nimewaleta ila sio marafiki kivile. Ni mawasiliano ya kawaida tu
 
Bro mfumo wa maisha Yako kiukweli ndiyo mfumo ambao hata Mimi nauelewa sana, Lakini ongezea kidogo vitu viwili Muda wa Ibada uheshimu Pia Tenga kamuda Kako safi ka kufanya mazoezi Kwa Afya Njema zaidi.
 
Ukubwani huwa kuna upweke wa hali ya juu sana kama huku chini ulishindwa kupata marafiki,
Mkewe na watoto wake wawili ni marafiki zake wakubwa wa ukubwani ambao umuondolea upweke
Sina rafiki wa ku share naye mambo ya maisha au hata kufanya naye tour za hapa na pale.
Lakini pia akasema kwamba
Sina rafiki kazini wala mtaani.
Hapana rafiki unae huyu hapa
Wanangu na wanafamilia yangu ndo hugeuka kuwa marafiki zangu.
Baasi hao ndio marafiki zako wa kweli especially wanao wengine wanafiki tu, achana na kujikombakomba sana kwa watu ishi Maisha yako nobody cares

Hivi Ndizi mbivu hua zinaoza au hua zinaharibika?
 
mawasiliano ya kawaida hapo labda ungefunguka zaidi,

mnataniana, kupiga story, kwenda kula pamoja, au ni ile tu mnasalimiana basi
 
Good life mwamba enjoy maisha ya privacy ni mazur sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…