Nimekuwa mpweke sana, sina rafiki wa karibu. Je, kuna madhara kuishi hivi?

Nimekuwa mpweke sana, sina rafiki wa karibu. Je, kuna madhara kuishi hivi?

Habari?

Mimi ni baba wa watoto 2 na mke mmoja.

Jumla home kwangu sasa tuko watu 7, wakubwa hasa ni Mimi na wife tu wengine ni watoto wadogo wa primary na kindergarten na wengine ni wadogo zaidi.

Ratiba yangu ni kazini- nyumbani, nyumbani- kazini. Ila muda mwingi niko nyumbani. Napiga stori na watu tukikutana kazini basi nikiondoka kazini mchezo umeisha.

Sina rafiki wa ku share naye mambo ya maisha au hata kufanya naye tour za hapa na pale.

Nilipokuwa na usafiri kidogo nilikuwa napata muda kuzunguka na watoto sehemu za karibu na nyumbani, nikiwanunulia chips na vikorokoro vingine tunarudi home. Sasa hivi sina usafiri. Mimi muda wote naishia ndani.
Siku nyingine naishia kutoka nje ya geti na kuchungulia nje mara Moja basi.

Au nitatoka kulishia kuku na kuangalia mayai bandani naingia ndani siku itapita.
Muda mwingine natoka nje na kuzunguka nyumba ili kuhakikisha usalama wa nyumba na familia, asije mtu akatupia maiti nyumbani kwangu kisha kunitia mtegoni.

According to my work kwa wiki kazini nakwenda mara 3 au 4 tu na nikienda naingia masaa 12. Hivyo muda mwingi niko nyumbani.

Sina rafiki kazini wala mtaani.

Ninapofanya kazi kwenda Kariakoo hata kwa mguu ukiamua unaweza kwenda lakini ni mwaka sasa sijakanyaga Kariakoo.

Wanangu na wanafamilia yangu ndo hugeuka kuwa marafiki zangu.

Naweza kuchangia hharusi ila siwezi kwenda ukumbini. Nilikwenda hharusi moja tu kwakuwa nilikuwa best man wa bwana hharusi.

Hata mke wangu tulifunga ndoa kwa DC Ilala mashahidi tuliwapata hukohuko.

Kwa ufupi Mimi sipendi sherehe, naona kama zinanitilia makelele tu.

Wengine wanataka kuwa karibu na Mimi lakini Mimi nakuwa mzito kuwa karibu nao.

Nawaza hapa sasa nina 36, hii hali ya kukaa nyumba haitaniathiri?

Maana napenda kulalia mgongo muda wote, hii tabia ya kupenda kulalia mgongo nimeianza nikiwa school miaka zaidi ya 10 imepita.

Hata kazini kiti lazima nikilalie ndo nasikia mdadi.

Au nikipata pesa tabadilika?

Maana kujifungia sometimes nahisi ni ukata labda.
Stay away from friends in Nigeria friends killed mohbad kukaa hivyo sidhani kama kuna hasara kwasababu wengi wameangamia kwasababu ya marafiki.
 
Tafuta sehemu nzuri kwaajili ya mazoezi
Uwe unatoka baada ya kurudi kazini unafanya mazoez itakusaidia kiafya pia utakuwa unabadili mazingira pia
😊. Asante kwa kuongezea. But sometimes ukiona mtu unajikuta kwenye situation ambayo hauelewi Mimi huwa nafumba macho, nahesabu moja mpaka tano halafu navuta pumzi kwa sekunde 5 mpaka 10 halafu naanza kuitoa kidogo kidogo. Huwa narudia rudia mara nyingi huwa inanisaidia sana.
 
Rafiki wa karibu na mtu ni mwenyezi Mungu. Hawa wengine ni nyogeza tu, sio basic need
 
Jitahidi kutembea kidogo ukutane na watu, porojo kidogo, hata kama unapata kinywaji, jaribu kuongea na watu. Kukaa tu ndani mwisho utapata msongo wa mawazo. Muombe Mungu akuonyeshe binadamu ambao watakupa company. Nasema binadamu kwani dunia ya leo ina watu, na binadamu.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Habari?

Mimi ni baba wa watoto 2 na mke mmoja.

Jumla home kwangu sasa tuko watu 7, wakubwa hasa ni Mimi na wife tu wengine ni watoto wadogo wa primary na kindergarten na wengine ni wadogo zaidi.

Ratiba yangu ni kazini- nyumbani, nyumbani- kazini. Ila muda mwingi niko nyumbani. Napiga stori na watu tukikutana kazini basi nikiondoka kazini mchezo umeisha.

Sina rafiki wa ku share naye mambo ya maisha au hata kufanya naye tour za hapa na pale.

Nilipokuwa na usafiri kidogo nilikuwa napata muda kuzunguka na watoto sehemu za karibu na nyumbani, nikiwanunulia chips na vikorokoro vingine tunarudi home. Sasa hivi sina usafiri. Mimi muda wote naishia ndani.
Siku nyingine naishia kutoka nje ya geti na kuchungulia nje mara Moja basi.

Au nitatoka kulishia kuku na kuangalia mayai bandani naingia ndani siku itapita.
Muda mwingine natoka nje na kuzunguka nyumba ili kuhakikisha usalama wa nyumba na familia, asije mtu akatupia maiti nyumbani kwangu kisha kunitia mtegoni.

According to my work kwa wiki kazini nakwenda mara 3 au 4 tu na nikienda naingia masaa 12. Hivyo muda mwingi niko nyumbani.

Sina rafiki kazini wala mtaani.

Ninapofanya kazi kwenda Kariakoo hata kwa mguu ukiamua unaweza kwenda lakini ni mwaka sasa sijakanyaga Kariakoo.

Wanangu na wanafamilia yangu ndo hugeuka kuwa marafiki zangu.

Naweza kuchangia hharusi ila siwezi kwenda ukumbini. Nilikwenda hharusi moja tu kwakuwa nilikuwa best man wa bwana hharusi.

Hata mke wangu tulifunga ndoa kwa DC Ilala mashahidi tuliwapata hukohuko.

Kwa ufupi Mimi sipendi sherehe, naona kama zinanitilia makelele tu.

Wengine wanataka kuwa karibu na Mimi lakini Mimi nakuwa mzito kuwa karibu nao.

Nawaza hapa sasa nina 36, hii hali ya kukaa nyumba haitaniathiri?

Maana napenda kulalia mgongo muda wote, hii tabia ya kupenda kulalia mgongo nimeianza nikiwa school miaka zaidi ya 10 imepita.

Hata kazini kiti lazima nikilalie ndo nasikia mdadi.

Au nikipata pesa tabadilika?

Maana kujifungia sometimes nahisi ni ukata labda.
Kuna namna kama tunalingana hivi, I hate mikusanyiko, sijawahi hudhuria sherehe hata ya ndugu wa karibu[emoji23][emoji23][emoji23]....always nitatafuta excuse nisiende, ila misiba naenda...

I have few friends hawazidi watatu, mmoja wa kike amekua ni zaidi ya rafiki , amekua ndugu, anajua jinsi nilivyo na hana shida na hilo, wawili ni wa kiume, that's final...
Outing nilizotoka zinahesabika sana, hazizidi hata tatu kwa huu umri nilionao, yaani sipendi tu mikusanyiko...

Am happy, nafurahia utulivu zaidi na kua mwenyewe, I think hauko na shida, it's normal....marafiki sometimes jau sana...

Live yo life and enjoy it to the fullest...
 
Anza kujog kila jioni.

Wiki ya kwanza jog umbali wa saa moja kwenda na saa moja kurudi

Kila ukimaliza iquote hii comment yangu andika "Done"
 
GO LOCAL GYM

GO LOCAL GYM

hakuna mwengine atakaekupa ushauri huu tena maranyingi Introvert mida ya jioni ndio wanaanza kuwa bored kukaa home muda huo tafuta gym ya kufanya mazoezi usiende professional gym local gym nzuri zaidi utapata marafiki wa kutosha na kupiga stori sana hakuna njia nyengine unaweza pata consistency ya marafiki, company na kupiga stori

Usiwe introvert total unapata msongo
 
Back
Top Bottom