Traviana Tray
JF-Expert Member
- Jul 8, 2017
- 546
- 457
hahaha ule wimbo wa "una ringa una nini KIJUSO"una kuhusu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unashikana mikono na m2 unanawa na wakati umebeba mavi tumboni?Ndio wife wangu anavyoniambia kuwa watu wananiona mimi ninamajivuno,lakini nasema ukweli kabisa kutoka moyoni mwangu sipo hivo ila uwa najiona nimechafuka sana tena sana.
Wewe ni jinsia gani?Huwa sivui nguo,ila nashukuru Mungu nguo huwa nabadili kama x 4 - 5 kwa siku.
Kwani utanashati ni usafi?Kwahiyo urijali ni kuwa mchafu,si ndio ????
Michaga ukiwa hauna hela ina madharau...!! [emoji2] Cheeee!!!!Itakuwa una hela..
Kama hauna hela halafu ukutane na mkwe wa kichaga ungeomba poo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ur sick, uko na OCD, see the drWakuu nadhani mko poa,kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nimekuwa mtanashati mno hadi naonekana kero kwa watu wangu wa karibu nini nifanye ili nijiepushe na hali hii ???
Kama ujanipata hebu ngoja nikupe mfano wa ninachokieleza,nikisalimiana na mtu kwa kushikana mikono,basi siwezi kuvumilia bila kujifuta na kitambaa au kwa kunawa maji tena wakati mwingine hata mbele za wale nilioshikana nao mikono kiasi cha kwamba wananiona na wanamaindi na wale wanaonijua huwa hawanipi mikono kwa kuniona kama naringa hivi.
Una mapepo njoo nikuombeeePoa,japo kuna kipindi nilijaribu kama wiki hivi nikachemka nikajikuta nimerudia bila ya kujijua.