Nimekuwa mtanashati mno hadi kuwa kero kwa wengine

Nimekuwa mtanashati mno hadi kuwa kero kwa wengine

Bila shaka hata ukijamba mpenzi wako anakupa pole, tena hukuuliza kama hujachubuka!,
 
Ndio wife wangu anavyoniambia kuwa watu wananiona mimi ninamajivuno,lakini nasema ukweli kabisa kutoka moyoni mwangu sipo hivo ila uwa najiona nimechafuka sana tena sana.
Na siku utakapo fukiwa na udongo kaburini itakubidi utoke nje unawe ndo urudi ulale vizuri
 
vip ukitaka kujamba unavua nguo kwanza au ???
 
Hawakulii 0713 kwel?
Kwahiyo wewe zamani ulikuwa msafi ukajikuta unaliwa 0713 ukaamua kurudi kwenye uchafu na unadhani na wenzako watakuwa na tabia kama ulizokuwa nazo wewe ??
 
Wewe ni mjinga tena nikigundua uko hivo sikupi mkono wangu.
 
Ukisikia Scorpion unazama uvunguni ndio utanashati wa Dar huo..
 
wewe utakua punga unatafufa biashara humu, work hard hii ni awamu ya tano hakuna hela za mkato mkato , kweli wanaume tumebaki wachache, unakosa cha kufanya unakuja kujisifu mtandaoni wewe ni mtanashati ??? then after ? unachokitafuta utakipata

Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo kazi sijawahi kuifanya,huwa namuita House girl haraka mno kama nimeng'atwa na ng'e na ndio marumbano na wife yanapoanzia hapo kwamba eti nawanyanyapaa hadi watoto wangu.
Kumbe una mke na watoto? DNA inawahusu hao watoto
 
Back
Top Bottom