Nimekuwa mtanashati mno hadi kuwa kero kwa wengine

Nimekuwa mtanashati mno hadi kuwa kero kwa wengine

Wakuu nadhani mko poa,kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nimekuwa mtanashati mno hadi naonekana kero kwa watu wangu wa karibu nini nifanye ili nijiepushe na hali hii ???

Kama ujanipata hebu ngoja nikupe mfano wa ninachokieleza,nikisalimiana na mtu kwa kushikana mikono,basi siwezi kuvumilia bila kujifuta na kitambaa au kwa kunawa maji tena wakati mwingine hata mbele za wale nilioshikana nao mikono kiasi cha kwamba wananiona na wanamaindi na wale wanaonijua huwa hawanipi mikono kwa kuniona kama naringa hivi.

dalili za mwanzo za kuwa shoga, siu utanashati hu, tafuta maana ya utanashati... huo ni ulimbukeni
 
Hapana mwanaume wa kweli pesa
Mi nadhani hili ndio la msingi,na nilichogundua ni kuwa wanaume wenzangu wengi ni wachafu tena wengi wao inaonyesha ni wachafu wa kupindukia,kisha wanasingizia sababu za kuogopa kuwa wataonekana mashoga kitu ambacho si kweli.
 
Wakuu nadhani mko poa,kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nimekuwa mtanashati mno hadi naonekana kero kwa watu wangu wa karibu nini nifanye ili nijiepushe na hali hii ???

Kama ujanipata hebu ngoja nikupe mfano wa ninachokieleza,nikisalimiana na mtu kwa kushikana mikono,basi siwezi kuvumilia bila kujifuta na kitambaa au kwa kunawa maji tena wakati mwingine hata mbele za wale nilioshikana nao mikono kiasi cha kwamba wananiona na wanamaindi na wale wanaonijua huwa hawanipi mikono kwa kuniona kama naringa hivi.
Wewe kitaalam umehadhirika na ugonjwa wa kisaikolojia unaoitwa uoga wa vijidudu au Germophobia. Unaitaji counseling uachane na uoga
 
Back
Top Bottom