Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na vipi ukiliwa ndogo huwa unaoga masaa mangapiPapuchi nakula,ila "kule chini" sipeleki mdomo wala vidole vyangu,na nikimaliza hiyo kazi nitaoga hata masaa mawili maana najihisi nimechafuka mno.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]We lazma ni mwanaume mweupe, kama ni mweusi basi weusi umekuja bahati mbaya
Hance mtanashati, na we utanashati wako umefikia hiki kiwango cha lami???[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wakuu nadhani mko poa,kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nimekuwa mtanashati mno hadi naonekana kero kwa watu wangu wa karibu nini nifanye ili nijiepushe na hali hii ???
Kama ujanipata hebu ngoja nikupe mfano wa ninachokieleza,nikisalimiana na mtu kwa kushikana mikono,basi siwezi kuvumilia bila kujifuta na kitambaa au kwa kunawa maji tena wakati mwingine hata mbele za wale nilioshikana nao mikono kiasi cha kwamba wananiona na wanamaindi na wale wanaonijua huwa hawanipi mikono kwa kuniona kama naringa hivi.
Hapana mwanaume wa kweli pesaVipi, na wewe unaamini kuwa mwanaume wa kweli ni yule anayeufurahia uchafu ???
Mi nadhani hili ndio la msingi,na nilichogundua ni kuwa wanaume wenzangu wengi ni wachafu tena wengi wao inaonyesha ni wachafu wa kupindukia,kisha wanasingizia sababu za kuogopa kuwa wataonekana mashoga kitu ambacho si kweli.Hapana mwanaume wa kweli pesa
Wewe kitaalam umehadhirika na ugonjwa wa kisaikolojia unaoitwa uoga wa vijidudu au Germophobia. Unaitaji counseling uachane na uogaWakuu nadhani mko poa,kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nimekuwa mtanashati mno hadi naonekana kero kwa watu wangu wa karibu nini nifanye ili nijiepushe na hali hii ???
Kama ujanipata hebu ngoja nikupe mfano wa ninachokieleza,nikisalimiana na mtu kwa kushikana mikono,basi siwezi kuvumilia bila kujifuta na kitambaa au kwa kunawa maji tena wakati mwingine hata mbele za wale nilioshikana nao mikono kiasi cha kwamba wananiona na wanamaindi na wale wanaonijua huwa hawanipi mikono kwa kuniona kama naringa hivi.