Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hujafikia kiwango cha kuvaa gloves.Hilo neno "utanashati" nimelitumia kama vile ninavyoambiwa na watu,sio kwamba nimejipa mimi.
Mi natembea na mkongojo, ukitoa mkono nakupa jifimbo,Wakuu nadhani mko poa,kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nimekuwa mtanashati mno hadi naonekana kero kwa watu wangu wa karibu nini nifanye ili nijiepushe na hali hii ???
Kama ujanipata hebu ngoja nikupe mfano wa ninachokieleza,nikisalimiana na mtu kwa kushikana mikono,basi siwezi kuvumilia bila kujifuta na kitambaa au kwa kunawa maji tena wakati mwingine hata mbele za wale nilioshikana nao mikono kiasi cha kwamba wananiona na wanamaindi na wale wanaonijua huwa hawanipi mikono kwa kuniona kama naringa hivi.
Kujihisi umepakwa kinyesi si utanashati.Mwanzoni sikuwa natoa mkono wangu,ila nilionywa na mzee ndio hivo nikawa natoa lakini huwa najihisi kama nimepakwa kinyesi vile.
Hii too much kamuone dokta wa saikolojia aliye specialize kwenye maswala ya crossgender.Hiyo kazi sijawahi kuifanya,huwa namuita House girl haraka mno kama nimeng'atwa na ng'e na ndio marumbano na wife yanapoanzia hapo kwamba eti nawanyanyapaa hadi watoto wangu.
This is a mental illness, tafuta mtaalamu akusaidieWakuu nadhani mko poa,kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nimekuwa mtanashati mno hadi naonekana kero kwa watu wangu wa karibu nini nifanye ili nijiepushe na hali hii ???
Kama ujanipata hebu ngoja nikupe mfano wa ninachokieleza,nikisalimiana na mtu kwa kushikana mikono,basi siwezi kuvumilia bila kujifuta na kitambaa au kwa kunawa maji tena wakati mwingine hata mbele za wale nilioshikana nao mikono kiasi cha kwamba wananiona na wanamaindi na wale wanaonijua huwa hawanipi mikono kwa kuniona kama naringa hivi.
jitahidi tu kuwa mvumilivuSijui nifanyaje ili niiache hii tabia,maana huwa najihisi kama nimeubeba uchafu mikononi mwangu miaka 10 ?? Na huu wa mikono ni moja kati ya mambo mengi ya ninayoambiwa kuwa nimekuwa "mtanashati mno" wakati mimi mwenyewe najiona niko poa tu.
jitahidi tu kuwa mvumilivuSijui nifanyaje ili niiache hii tabia,maana huwa najihisi kama nimeubeba uchafu mikononi mwangu miaka 10 ?? Na huu wa mikono ni moja kati ya mambo mengi ya ninayoambiwa kuwa nimekuwa "mtanashati mno" wakati mimi mwenyewe najiona niko poa tu.
ni mbaya sana. muhusika anapokushuhudia.Hilo la kupangusa mikono tena kwa kuibia ni kawaida na majority wanafanya!! Lakini kunawa mikono kabisa ni total embarrassment kwa muhusika kama anakuona!
Sure... sema dah, watu hapa hawawezi kabisa kumwelewa lakini binafsi, namuelewa sana! Wala hajifanyishi na wala hakusudii kufanya hivyo; hili lake ni tatizo... some kind of mental problem!! My mom ana same problem ingawaje ukimwambia anakataa!! Yeye nadhani ndo mbaya zaidi kuliko mdau!! Yeye hata nguo yake, haiguswi na mtu... asije "akaichafua"!ni mbaya sana. muhusika anapokushuhudia.