Nimekuwa mtanashati mno hadi kuwa kero kwa wengine

Nimekuwa mtanashati mno hadi kuwa kero kwa wengine

Uko sawa kabisa mkuu, afya inataka hivyo maana kuna watu wana tabia mbaya utakuta anajikuna halafu ukimusalimia anakuwa na kihelehere cha kuleta mikono.

Ikiwezekana tembea na sayona yako ya lita 1.5.
 
Uko sawa kabisa mkuu, afya inataka hivyo maana kuna watu wana tabia mbaya utakuta anajikuna halafu ukimusalimia anakuwa na kihelehere cha kuleta mikono.

Ikiwezekana tembea na sayona yako ya lita 1.5.
Tena si kujikuna tu, anajikuna sehemu nyeti.
 
Ni kawaida. You are compulsively germophobic. It's a kind of disorder flani hivi that only a few people have.
 
Hivi mtoa mada ni mwanaume au mwanamke???
 
Unakoelekea inaonyesha hadi unapokua chooni unamwita beki tatu aje akuchambe...!! Kama wanao huwezi kuwabadili nepi, mavi yako mwenyewe unayashika kweli..??
 
Hata ufute kwa spirit. Kufa utakufa tu na utaoza na utanuka.
 
kapime akili ... wewe umesema wanakushangaa, mtu akiwa msafi watu wanamshangaa?
Labda nikusaidie tu kuwa,MSAFI akizidi ndio anaitwa MTANASHATI,kwahiyo watu wananishangaa kwa usafi uliopitiliza (UTANASHATI) Ndipo nikauliza nifanyeje,ili usafi wangu uliopitiliza(utanashati) usionekane kero kwa wengine .......Sasa cha kushangaza wewe unaniuliza mimi,ambaye nataka muniambie nifanye nini ili wasinishangae kwa usafi wangu uliopitiliza (utanashati)
 
Back
Top Bottom