Ndo inay
Ndo inaitwa hivo hivo
Naipata pharmacy??
Pole sana mimi Chunusi hazikunipata hata kwenye balehe ilikuwa ikija tu naitia kucha Inatoka.Mmmmmm๐๐๐๐
Huwenda ume-renew Balehe.Mi Mzee Nina miaka zaidi ya 50,,nilibalehe miaka ya 70 huko
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Huwenda ume-renew Balehe.
Pole sana, jaribu kutumia bidhaa asili lakini nakushauri utumie african black soap uwa inasafisha ngozi na kupunguza au kumaliza kabisa chunusi, zipo njia nyingi tofauti. Kuna facial wash za asili kuna face scrubs. Karibu nikuhudumie whatsaap 0657170398Habari zenu jamani,,mwenzenu chunusi zinaharibu kabisa urembo wangu. Nimekua na machunusi mpaka naona aibu kuonana na watu. Nisaidieni jamani nitumie nini mi ni mweusi sitaki kuwa mweupe kabisa, msaada kwenu wadau