Nimekuwa na machunusi mpaka naona aibu kuonana na watu

Nimekuwa na machunusi mpaka naona aibu kuonana na watu

Habari zenu jamani,,mwenzenu chunusi zinaharibu kabisa urembo wangu. Nimekua na machunusi mpaka naona aibu kuonana na watu. Nisaidieni jamani nitumie nini mi ni mweusi sitaki kuwa mweupe kabisa, msaada kwenu wadau

Nakushauri tumia hii product hapo chini. Hutojuta. Ni Aloevera Gel Moisturizier.... Ambayo haina kemikali. Utajipenda bure. Haichubui. All the best mrembo.
 

Attachments

  • 825147837.g_400-w_g.jpg
    825147837.g_400-w_g.jpg
    16.2 KB · Views: 81
  • Best-Face-Care-concentrated-Aloe-Vera-99-Soothing-Gel-Cream-300ml-0-56-fl-oz-After.jpg_640x640.jpg
    Best-Face-Care-concentrated-Aloe-Vera-99-Soothing-Gel-Cream-300ml-0-56-fl-oz-After.jpg_640x640.jpg
    33 KB · Views: 72
Nakushauri tumia hii product hapo chini. Hutojuta. Ni Aloevera Gel Moisturizier.... Ambayo haina kemikali. Utajipenda bure. Haichubui. All the best mrembo.
Ahsante sana sana,,,inauzwa shilling ngapi?
 
Kuna dawa ya vidonge inauzwa Nakiete Pharmacy. Kidonge kimoja 1400 kama sijakosea. Nenda kawaulize hiyo dawa ni nzuri niliona mtu anatumia week tu akapona.

Sent using Jamii Forums mobile app

Inaitwa Acnotin
 
Persol...u ll find it pharmacy..... Secure it ...utaona maajabu

Side effects
Major & minor side effects for Persol AC 5 % Gel
  • Skin irritationSEVERE
  • Skin rashSEVERE
  • Burning sensation at the application site
  • Swelling of face RARE
SEVERE
Contact your doctor immediately if any of these symptoms are experienced on a regular basis.

RARE
Observed in a small fraction of population.

This is not an exhaustive list of side effects. Please inform your doctor if you experience any adverse reaction to the medication.

Persol AC 5 % Gel - Uses, Dosage, Side Effects, Price, Composition | Practo
 
Chunusi mi huwa nazisikia tu. Sijawahi kuzipata na kwenye familia yetu hakuna aliyekuwa nazo.
 
Habari zenu jamani,mwenzenu chunusi zinaharibu kabisa urembo wangu nimekua na machunusi mpaka naona aibu kuonana na watu nisaidieni jamani nitumie nini mi ni mweusi sitaki kuwa mweupe kabisa, msaada kwenu wadau
Hiyo ni minyege tu, hamna kitu kingine..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom