Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawewe unanishambulia???😅😅😅😅Machunusi usoni yanasababishwa na kuwa na nyege za kiwango cha lami!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unacheka nini, niroge basi kama nabetto nami nikupende mpk niwe chizi..Aiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],,
Akupm umfanyeje..??? Koma kutaka wenzio...
Nilishakumbana na hiyo adha nilihangaika zaidi ya miezi 4 nilipoenda hospitali nilipewa dawa za kunywa na tube ya kupaka nishasahau kabisaNi Tatizo la Hormones nenda hospital utapewa dawa za kumeza alafu na tube ya kupaka ndani ya week zitakuwa zimeisha kabisa. Hata mm nishawahi kuwa na tatizo linaloendana kama hilo.
Kuna bidhaa nzuri za kutibu tatizo lako kutoka ORIFLAME nione nkusaidieHabari zenu jamani,mwenzenu chunusi zinaharibu kabisa urembo wangu nimekua na machunusi mpaka naona aibu kuonana na watu nisaidieni jamani nitumie nini mi ni mweusi sitaki kuwa mweupe kabisa, msaada kwenu wadau