Nimekuwa na machunusi mpaka naona aibu kuonana na watu

Nashukuru dear
 
Mi chunusi hua zinatoka moja moja ila inakua mfumo wa jipu. Linauma halafu nalipasua linauma kinoma halafu uso unakua clean
 
Nawa mkojo wako kabla hujakoga uache takrbani dk 3 hv an utakua soft had ujishangae
 
Ah
Ni Tatizo la Hormones nenda hospital utapewa dawa za kumeza alafu na tube ya kupaka ndani ya week zitakuwa zimeisha kabisa. Hata mm nishawahi kuwa na tatizo linaloendana kama hilo.
Ahsante mpenzi,,tube gani ulitumia?
 
Jaribu kufanya scrub za kienyeji... kiazi ivi vya chips kisage kwenye sagio la carot them ule uji wake paka taratiiibu na sugua taratibu kwa dakika tank then wacha ikauke huku ukiendelea kufanya shughuli zako baada ya mda OSHA USO wako......

Pia waweza kujaribu scrub ya liwa na manjano na asali.....
 
Habari zenu jamani,,mwenzenu chunusi zinaharibu kabisa urembo wangu. Nimekua na machunusi mpaka naona aibu kuonana na watu. Nisaidieni jamani nitumie nini mi ni mweusi sitaki kuwa mweupe kabisa, msaada kwenu wadau
Punguza stress
That’s all
 
Habari zenu jamani,,mwenzenu chunusi zinaharibu kabisa urembo wangu. Nimekua na machunusi mpaka naona aibu kuonana na watu. Nisaidieni jamani nitumie nini mi ni mweusi sitaki kuwa mweupe kabisa, msaada kwenu wadau
Tafuta dawa inaitwa Benzoyl Peroxide (Persol 5).
 
Nitumie pic PM then i will advice you on best way to assist you bila madhara

KAABAD THE GREATEST
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…