Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo


Ni heri kwake aachie vyote vya bwanaake, aondoke hana ki2. Muhimu uhai wake
 
Yaani ningekuwa na uhakika kuwa nikivirudusha basi tutaachana kwa amani ningevirudisha tangu jana. Ila kuna kauli zake tata amekuwa akiziongea tangu nilipoanza kumwambia wazazi wanataka niolewe ndizo zinanipa wasiwasi.
simamia msimamo wako ukimaliza kumrudishia vitu vyake nenda kituo cha polisi toa taarifa na hata siku moja asikuite muonane eti tuongee au kufanya urafiki maana haya ni maisha yako ukiendeea kuishi kama hivi mpaka lini??
 
Thread Tele Humu Watu Wanakufa Kisa Mapenzi Nawe Umeanza
Rudisha
Gari Alilokununulia
Nyumba Aliyokujengea
Kodi Anayolipa

Halafu Huyo Unayempenda Mkaanze Upya
Hapo Umenasa Mwenyewe, Huna Namna
Exactly niliwaza hvyo hvyo arudishe hvyo vitu vyote akaanze upya kuya jenga
 
Haya DeepPond uje utolee ufafanuzi tu mkuu naona yule malaya kaja kukuanzishia uzi!
 
bro kama ni hivo si utulie tu nahuyo ulienae kinachokupeleka nje ya ndoa ninini ? Baki njia kuu
 
mkuu ikumbukwe uliapa kumpenda mkeo kwa hali yoyote ile sasa iweje leo ukereke na hali yake utoke nje ya ndoa??
Naamiini unafuatilia Sana misingejanhaika ya dini sasa unakwama Wapi mpaka unamcheat mkeo na kupoteza resources kibao ambazo ungeipatia/ ungeihudumia familia yako unapoteza kwa hawara wa nje??
unafiki katika ndoa utatupeleka pabaya sana wanandoa!
 
Ni kweli wanatofautiana na mchepuko kiuwezo lakini yeye sio mnyonge kama mnavyomfikiria. Ni mtu namfahamu vizuri tu kwa muda sasa. Labda apretend kuhusu kunipenda ila kuhusu mali anazo zake na ni mpambanaji sana.
Kua na Mali Ni suala jingine, na moyo wa kuhudumia Ni suala jingine.

Kuna Watu wanamali Sana ila Ni mabahili Hadi kwenye afya zao wenyewe.

Muda always Ni mwamuz mzur[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…