Wapendwa badala mnipe ushauri mnaniongezea magazijuto kweli? Najua i messed up big time and an not proud. Nisaidieni najikwamuaje hapa.
kabisa awe tayari kuanza sifuri nahuyo mwanaume mpya dadeki ataweezaaaa????Ni heri kwake aachie vyote vya bwanaake, aondoke hana ki2. Muhimu uhai wake
Sidhani kama nimesimeka vizuri kwako lakini poa sijali.si umesema hapo kuwa unampenda mwanamke wa nje na kumjali hata kufikia kumhudumia pasi na kumtamani???
pia kuna sehemu umesema wewe ni muhanga wahii mada???
Kwamba?Siwezi mpa ushauri huyo mpuuzi kapost swala la kitoto
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]Married men have accomplished greater things in this country than all the NGOs combined.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii "Haya bwana" huwa naipenda sana. Hahahahaaaaa
Next time uniulize sasa hapo mimi sibeti lakini mpira naujua hahahaah.Ningejua kama Barca angefanya aliyofanya ningekutumia tu asee
Khaaa!Yani mtu hajifunzi kutokana na story zote zilizopo kila sehem..
Mkuu chakata mpaka watakapojielewa..
Kwani kikwazo ni nini???Mpendwa wangu kama huna kikwazo cha kuolewa mke wa pili olewa tu maana huyo bwana anaonekana anakujali, unaweza kwenda kutafuta wa peke yako naye akawa na mambo yake ya ajabu au akakuletea wenzio yakawa yaleyale
Kwenye Uzi wangu,Yeah uko sahihi mkuu. Huenda jamaa anatamani amuoe ila anashindwa kutokana na tabia zake.
Ndio utamu, faraja, ukute kampikia, kampa kampan, ukizingatia pia jamaa hataki kusalitiwa hivyo na muda unahusika. Vipo vingi jamani tunavyooffer ila kwakuwa havionekani mnavichukulia poa sanaa sijui kwanini?Arudishiwe utamu wake au???
Hajatuambia yeye katoa nini cha kurudishiwa
Tell me you are joking ladyMali zake na kazi niko tayari kumuachia maana i can manage without him. Tatizo nawaza hatokuwa na kinyongo au hata kunidhuru maana ana wivu balaa. Halafu mpenzi wangu sio serengeti boy ananizidi umri, elimu hadi mali. Kiufupi yuko vizuri na anayamudu maisha vizuri tu.
Pole,huo ni mshahara wa dhambi,zinaa haijawahi kumuacha mtu salama hata siku moja...Habari wanajamii forum, ni matumaini yangu kuwa mko salama. Ama la, basi Mungu awafanyie wepesi.
Ndugu zangu nahitaji msaada wa mawazo yenu sana. Ninapitia sijui niseme ni wakati mgumu au ni ujinga wa kujitakia. Niko kwenye mahusiano na isi
[emoji16]Afu mambo haya ya mapenz yamekaa kinoko kweli yaan,,watu wanapoanza kupeana mahaba ni full raha zao yakianza kuwashinda ndo uanza kushirikisha,aisee
kwakweli tutafika tumechoka sana! kwahiyo uliyoyaongea hapo umesharudi tu ausio??Sidhani kama nimesimeka vizuri kwako lakini poa sijali.