Hii kitu tangu Jana haijanipa utulivu, but tuombe mungu asiwe Ni mama j.Mkuu naona mada imechoma penyewe!!! Hatari nanusu hii!!![emoji1787][emoji1787][emoji12][emoji12]
Wee Jamaa nae mchochezi Sana[emoji4][emoji16][emoji16]
Ana akili za kitoto uto, haoni mbele kabisa[emoji4]Tell me you are joking lady
Atakua sio yeye si unajua mama J hana gari, au ushamnunulia😅Hii kitu tangu Jana haijanipa utulivu, but tuombe mungu asiwe Ni mama j.
Ila Kama Ni yeye kaja kuanzishia Uzi huku, na Nia yake Ni Kama iyo ya mtoa mada
Nakuhakikishia,
Ntamshikisha adabu atasimulia vizazi vyake vyote[emoji4]
Ndo Yale Yale ya mamaj wangu[emoji4]Umasikini na hali ngumu za maisha sikuzote utatufanya wanawake tuendelee kuwa watumwa katika mapenzi ona sasa mtu ana familia yake still hataki wewe uwe na mwanaume mwingine wala kukuona na mwanaume mwingine!
haya imefika Wakati unahitaji kuwa na familia yako anakukatalia haaaaah! So sad
Huo ni ubinafsi na ukatili na unyanyasaji pia ujue na umesema wazi ni waruwaru hawazi hata kuwekeza walau.. kama unampenda kwa nia nzuri mwambie awekeze!Kwenye Uzi wangu,
Mchepuko wangu Ni kweli ananipenda, ila suala la kuoa nmesema mpk ajirekebishe tabia.
kwaSasa Ni najitoa kwake coz namtumia kutimiza haja zangu
Duuuu!!.....wanaushauri mkuje hukuuuu!!!Habari wanajamii forum, ni matumaini yangu kuwa mko salama. Ama la, basi Mungu awafanyie wepesi.
Ndugu zangu nahitaji msaada wa mawazo yenu sana. Ninapitia sijui niseme ni wakati mgumu au ni ujinga wa kujitakia. Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu sasa yapata miaka mitatu. Imefikia hatua nimechoka na nahitaji kujing’atua ila nakosa njia nzuri ya kuachana nae. Am not even proud with what i did so if you judge me i’ll understand.
Jiandae kulogwaHabari wanajamii forum, ni matumaini yangu kuwa mko salama. Ama la, basi Mungu awafanyie wepesi.
Ndugu zangu nahitaji msaada wa mawazo yenu sana. Ninapitia sijui niseme ni wakati mgumu au ni ujinga wa kujitakia. Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu sasa yapata miaka mitatu. Imefikia hatua nimechoka na nahitaji kujing’atua ila nakosa njia nzuri ya kuachana nae. Am not even
[emoji16][emoji16][emoji16] wewe sindiye role modelWee Jamaa nae mchochezi Sana[emoji4]
Hapana, sijamnunulia.Atakua sio yeye si unajua mama J hana gari, au ushamnunulia[emoji28]
yanii... Mungu atusaidie na ututetea tu wanawake tunapitia magumu 🤣🤣🤣😜!!!Ndo Yale Yale ya mamaj wangu[emoji4]
Acha hizo wewe[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16] wewe sindiye role model
kabisa awe tayari kuanza sifuri hayupo mwanaume mpya dadeki ataweezaaaa????