Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo

Hivi wanaume wanajifunza nini kupitia huu uzi ?

Ndio mjue Umalaya ni ubatili mtupu [emoji108][emoji108]

Mnaibiwa bure tu [emoji57][emoji57]
 
Hivi wanaume wanajifunza nini kupitia huu uzi ?

Ndio mjue Umalaya ni ubatili mtupu [emoji108][emoji108]

Mnaibiwa bure tu [emoji57][emoji57]
Sasa tunaibiwa nini tena wakati tunagegeda mwa starehe yetu na wanawake walishasema mbususu haiuzwi wala sio bure
 
Aisee...hindsight is 20/20
 
Big boy hawezi kubali kirahisi rahisi hivyo kwa solution ya kumrudishia vitu vyake, maana jamaa kashawekeza kwa dada hapo kwahiyo kashatune mind ni wake..

Hata wakiachana atamfanyia visasi tu, kinachowatesa watu ni attachment
Big boy😀😀
 
Kuja haina tatizo ila basi atoe taarifa. Kuna wakati unastukia tu saa sita ya usiku katoka safari badala aende kwa mkewe anakuja kwangu!
Kwako au kwake? Si Analipa kodi yeye ni kwake hapo!
 
Aliyeleta uzi mbona yuko kimya au kashapigwa risasi ya ubongo😃
 
Rudisha mali zake ndio uendelee na huyo unaempenda
 
"Tako na Mbususu [emoji1787]" ntakutafuta unifungulie haya mabano maana isijekuwa nimetumia kanuni tofauti
 
Mi ntakupa ushauri ambao ni very risky lakini Una chances kubwa za kukusaidia kuondokana na hili.

Mwambie Una mazungumzo naye ya muhimu so mpange date, kakaeni kwenye sehemu ambayo ina watu wengine msiongelee chumbani.

Mwambie unapata shinikizo la familia pamoja na nafsi yako Kwa ajili ya kuanzisha familia yako kama ilivyo kwake yeye na mkewe. Kwahiyo imekuchukua Muda mrefu Sana kuwaza namna gani ya kutimiza lengo lako Hilo (Sisitiza Hilo ni tamanio lako)

Then mwambie kuwa unampenda Sana lakini Kwa status yake hawezi kukutimizia Hilo tamanio lako, na ili kutimiza tamanio lako huwezi kuendelea na style ya maisha mnayoishi sasa. Sasa kwakuwa amekufanyia mambo mengi Kwa kipindi mlichokuwa pamoja mwambie uko tayari kumrudishia gari aliyokununulia, nyumba na viwanja ili aone hukuwa na Nia ovu Ila situation inakufanya ufanye maamuzi haya (Hapa unamfanya yeye ndio ajione tatizo/kikwazo) then ndio umwambie unataka kuanza maisha mapya na Mungu akikujalia upate mtu ambaye atatimiza ndoto yako ya kuwa na familia.

Sasa hapa ndio kwenye gamble na risk yenyewe. Kwakuwa anakupenda hatakubaliana na wewe atatoa option ya Kwanza kuwa atafanya mpango WA kuachana na mke wake (uongo na hata kama ni kweli never accept it) atatoa options nyingi lakini usikubali zote simama kwenye malengo yako ya kuanzisha familia yako ambayo yeye hawezi kuitimiza.

Kama ni Gentleman hatakubali urudishe hivyo vitu, Ila atasema basi either tuendelee kuwa marafiki Kwa maana kwamba atajua ataweza kuwa anapata mbususu mara moja moja au atasema miendelee mpaka utakapopata mtu (This is tricky atakufuatilia kuliko mwanzo maana atataka kuua mahusiano yako kabla hayajaanza ili aendelee kuwa mwenyewe) na katika mazungumzo never tell him tayari uko kwenye mahusiano itaharibu maana atajua huyo ndio anakupa kiburi.

Accept friendship, accept kuendelea mpaka utakapopata mtu mwingine lakini on your terms. Wewe ndio utaamua lini aje kwako au lini mionane yeye aombe then we uangalie availability yako (Put this clear) then taratibu Anza kumpunguzia umiliki wake kwako ambao ndio unampa kiburi, upunguza utegemezi wako kwake, Anza kupunguza mawasiliano yako na yeye and with time atakubaliana na matokeo.

It's risky but it could pay
 
Mi ntakupa ushauri ambao ni very risky lakini Una chances kubwa za kukusaidia kuondokana na hili.

Mwambie Una mazungumzo naye ya muhimu so mpange date, kakaeni kwenye sehemu ambayo ina watu wengine msiongelee chumbani.

Exactly what i was thinking to do too. Thank you.
 
Hahahaaa! Not yet nafikiria cha kufanya but its like jamaa nae ashashtuka kuwa am not okay.
Nikuulize tu je humpendi huyo jamaa, hisia zimekata kabisa?

Twende kwa haki kabisa sababu zako kutotaka kuendelea nae.

1. Mume wa mtu, nikweli lakini imeathiri vipi mahusiano yenu wawili, alishindwa kuwajibika kwa lipi?, na kama unamwonea huruma mkewe kwanini yeye humuonei huruma kwa uwekezaji wa hali, mali na hisia kwako? Kwa kipindi chote hicho.

2. Anakuja kwako muda anaotaka, 🤔🤔
Jameni kuna mwanamke asiependa kuspend muda mwingi na mwanaume wake, ndio nasikia leo, kitendo cha kuja kwako mara kwa mara na muda wowote ilipaswa iwe advantage kubwa kwenye kuimarisha penzi lenu, lakini kwako ni mateso🤔🤔.

SABABU ZA KUTAKA KUACHANA NA MWENZIO.

Fahamu ya kuwa penzi kwa mwanamke haligawanyiki hata siku moja mwanamke hawezi hudumu na mabwana wawili hajaumbwa na uwezo huo, na hii ndio changamoto kubwa inayokusumbua kwasasa.

Kitendo cha kuanzisha mahusiano mapya automatically unahamisha kilakitu kwa mwanaume mpya, utatengeneza sababu nyingi za kusingizia ooh ni mme wa mtu oohh anakuja kwangu ooh hiki na kile, ila sababu kubwa nakwambia tena ni huyo mwanaume mpya ndio unataka umkabidhi yale unayoyapokonya kwa bwana wako wa awali.

NINI CHA KUFANYA
Nakushauri na kukusihi kaa chini fikiria kwa kina tumia akili hisia ziweke kando, angalia mazuri yote na mabaya yote ya huyo mwanume wako unaetaka kumwacha na ujipime kwelikweli bila kujipendelea je anastahili hicho unachotaka kufanya, na katika hilo fanya tathmini ya kutosha, kuhusu impact ya maamuzi yako.
Ukituliza kichwa unaweza kuta ni mihemko tu ya penzi jipya ila kiuhalisia kuna mengi ya manufaa kwako kabla ya hilo jipya.

Mwisho nikukumbushe kitu.
Kurudisha nyumba, gari na pesa havitasaidia kitu vinginevyo kama umepanga kufanya maamuzi yako kwa kujiaminisha ukirudisha hivyonvitu utakua salama ni kujidanganya.

Hizo nyumba magari na fedha alikua hakuhongi alifanya hivyo kwa mapenzi ya dhati kabisa, ni kama vile unavyomnunulia kitu mama yako, au baba yako zawadi au chochote dhumuni la ununuzi linatangulizwa na upendo kwanza.

Ili urudishe hizo mali sasa inabidi umfanye asikupende kabisa ndio atazipokea vinginevyo fanya maamuzi yako ukijua lolote baya au zuri linaweza kukukumba.

Mwisho.
 
Thread Tele Humu Watu Wanakufa Kisa Mapenzi Nawe Umeanza
Rudisha
Gari Alilokununulia
Nyumba Aliyokujengea
Kodi Anayolipa

Halafu Huyo Unayempenda Mkaanze Upya
Hapo Umenasa Mwenyewe, Huna Namna
Point.Huwezi kuchukua vitu vyote hivyo alafu mtu akuache tu lazima akuue tu
 
Point.Huwezi kuchukua vitu vyote hivyo alafu mtu akuache tu lazima akuue tu
Mimi Nilimwambia Toka mwanzo...!! Atafanyiwa kitu ambacho Hakitaacha alama wapi yupo na wapi alienda... Wadada wanadhani kila mtu wakumchezea na kumuona boyaaa.

Achague Uhai wake na Amani kwa kuacha Mali au Atangaze vita kwa kumgeuka mwana.
 
Nikuulize tu je humpendi huyo jamaa, hisia zimekata kabisa?

Twende kwa haki kabisa sababu zako kutotaka kuendelea nae.
Hakuna Upendo wa kumnunulia gari na nyumba mwanamke alafu kesho akikuacha Ukubali tu ulifanya kwa upendo...!! Na hakuna watu wenye visasi vibaya kama wale ambao upendo ulitangulia kwanza yani Vita yake huwa ni kubwa sana. Usimdanganye mwenzio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…