Mjomba Fujo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,438
- 6,313
Soma tena unachokisema ndicho nilichoandikaHakuna Upendo wa kumnunulia gari na nyumba mwanamke alafu kesho akikuacha Ukubali tu ulifanya kwa upendo...!! Na hakuna watu wenye visasi vibaya kama wale ambao upendo ulitangulia kwanza yani Vita yake huwa ni kubwa sana. Usimdanganye mwenzio
Nikuulize tu je humpendi huyo jamaa, hisia zimekata kabisa?
Twende kwa haki kabisa sababu zako kutotaka kuendelea nae.
Ndugu yangu, ushauri wako ndio unaotakiwa kwa huyu dada,Nikuulize tu je humpendi huyo jamaa, hisia zimekata kabisa?
Twende kwa haki kabisa sababu zako kutotaka kuendelea nae.
1. Mume wa mtu, nikweli lakini imeathiri vipi mahusiano yenu wawili, alishindwa kuwajibika kwa lipi?, na kama unamwonea huruma mkewe
Mwisho.
Kula anataka ila kuliwa hataki etiThread Tele Humu Watu Wanakufa Kisa Mapenzi Nawe Umeanza
Rudisha
Gari Alilokununulia
Nyumba Aliyokujengea
Kodi Anayolipa
Halafu Huyo Unayempenda Mkaanze Upya
Hapo Umenasa Mwenyewe, Huna Namna
Kwakweli hana akili[emoji119]Ujengewe nyumba
Gari ununuliwe..
Kazi nzuri utafutiwe ..
Halafu unasema anaku suffocate?
Tukusaidie umuache vipi?
Huyo Kijana umemwambia kuhusu kodi?
Why usirudishe nyumba na gari kwanza uone huyo Kijana mpya atakupenda vipi?
Ukiuliwa wala usimlaumu mtu
Huna akili
Rudisha hivyo vitu ,achana nae,usijitoe ufahamuWapendwa badala mnipe ushauri mnaniongezea magazijuto kweli? Najua i messed up big time and an not proud. Nisaidieni najikwamuaje hapa.
Indeed, hata km mi mwanaume nakuuaLadies and gentlemen this is why women get killed
Bora useme wewe mwanamke labda wataelewa....tatizo ya warembo wanatamaa ya mali lakini wanashindwa tambua kuwa kila kitu kina oppportunity cost....alafu hapo hapo mwanamke anakwambia nikiwezeshwa na weza sasa kwa nini usitumie elimu uliyopata kupata hizo mali ambazo sponsor anakupaIndeed,hata km mi mwanaume nakuua
Ushauri mzuri huu. [emoji23][emoji23][emoji23]Mrudishie vitu vyake muombe muachane.
Akianza kuwa mkorofi na hapo atakuwa anayatafuta.
KabisaUjengewe nyumba
Gari ununuliwe..
Kazi nzuri utafutiwe ..
Halafu unasema anaku suffocate?
Tukusaidie umuache vipi?
Huyo Kijana umemwambia kuhusu kodi?
Why usirudishe nyumba na gari kwanza uone huyo Kijana mpya atakupenda vipi?
Ukiuliwa wala usimlaumu mtu
Huna akili
Kwa jinsi hawa wanaume wenye pesa wanavyoua wanawake waliowekeza kwao wakawaacha uanfikiri watamshauri nn?Wanawake mko na roho mbaya sana, asilimia kubwa ya comments mpaka sasa zinatoka kwa wakina dada, lakini vile wanvyomkandia mleta mada badala ya kumsaidia wana msuta.
[emoji23][emoji23]Mchepuko wa Deep Pond
[emoji23][emoji23]Kuna codes sizielewi kabisa KWENYE huu Uzi, unanivurugia mood yang kabisa[emoji3525]
[emoji848][emoji849]aisee mambo ni motooo ila umetisha aisee[emoji119]Mimi pia na mke mdogo( enzi alikuwa mchepuko akisoma chuo nikampangia na kumpa gari na biashara alipomaliza chuo nikamjengea then et anataka aniache nilimfata mamake nikamwambia nitawaua ukoo mzima)
Wakat natoa hela mtoto anasoma na kuishi vzr dar why hawakumzuia sahiz ndo wanawaza aolewe? Never
Ilibid waongee nae vzr akakubali nikamuoa mke wa pili ndo kesi ikaisha
[emoji87][emoji849][emoji848]wanawake wenzangu si mnayaona haya?!Hata siumizwagi na upuuzi Kama huu wa mtoa mada,
Binafsi Mimi nazijua fitna, afu nna visasi Sana. Afu kuniacha hawezi hata kwa dawa.
Afu akileta upumbavu na uyo anayemletea mahaba ya nyuki nae nadili nae ipasavyo mpaka achakae.
Vinginevyo akiniletea huo upuuzi ajiandae kujinguliza ahera mapema Sana yeye mwenyewe Maana baada ya hapo ataishi Hii dunia kwa mateso Sana.
Hatofanya kitu kikafanikiwa, nitamuandama bampa to bampa mpk anaenda futi 6 kaburini.
Sitakagi upuuzi kabisa Mimi[emoji3525]
Kamsemee kwa mke wake
I don't think soUsirudishe kitu utajuta wengi huku wanawivuu