Nikuulize tu je humpendi huyo jamaa, hisia zimekata kabisa?
Twende kwa haki kabisa sababu zako kutotaka kuendelea nae.
1. Mume wa mtu, nikweli lakini imeathiri vipi mahusiano yenu wawili, alishindwa kuwajibika kwa lipi?, na kama unamwonea huruma mkewe
Mwisho.
Ndugu yangu, ushauri wako ndio unaotakiwa kwa huyu dada,
Mimi mpaka leo kesi ipo mahakamani niachane na mtu kama huyu dada na story zake, hawa watu mnapoanza mahusiano huwa wanajua kila kitu kuhusu wewe na familia yako
Na wewe kwa upendo, huruma, na uungwana, unaamua kumjengea maisha mazuri,
Baada ya muda anaona alipotea, lakini kinachomwijia kuchwani muda huo ni dhambi kwamba kwa nini yeye ni nyumba ndogo,
Sasa mali anaitaka, na kuwa nyumba ndogo hataki, jibu hapo ni kurudisha mali za mtu na yeye asepe.
Mimi imenitokea nini?,
Wangu kafanya kila njia ili mimi nisepe, kaniweka, ndani, kaondoka kwangu miezi sita mala ya kwanza, akarudi kwa nguvu ili nimjeruhi anifunge,
Mala ya pili tena baada ya miaka miwili kupita kaaondoka tena karudi baada ya miezi nane, nimeamua kutokwenda kwake ( kwangu) na kufungua kesi ya kuachana,
Kesi sasa hivi ina miezi minne tunapigwa kalenda tu,
Jana kamleta mtoto makusudi nyumbani kwangu kwa mke wangu, ili kutest zari kwa mke wangu, bahati nzuri mke wangu anajua nini kinachoendelea, kamfukuzia mbali yule mtoto.
Mpomshauri kuwaamwambie mke wa jamaa wakati mwingine haisaidii sana.
Hawa viunmbe wakiishaanzisha mahusiano mengine ni rahisi sana kuchukua maamuzi ambayo wanaweza kuja kujutia