Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo

Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo

Hakuna Upendo wa kumnunulia gari na nyumba mwanamke alafu kesho akikuacha Ukubali tu ulifanya kwa upendo...!! Na hakuna watu wenye visasi vibaya kama wale ambao upendo ulitangulia kwanza yani Vita yake huwa ni kubwa sana. Usimdanganye mwenzio
Soma tena unachokisema ndicho nilichoandika
 
Kuna mawili mzalie au mrudishie vyote alivyokupa. Umejiingiza kwenye mtego wa shetani, Hakunaga cha bure tangia ulimwengu umeubwa
 
Nikuulize tu je humpendi huyo jamaa, hisia zimekata kabisa?

Twende kwa haki kabisa sababu zako kutotaka kuendelea nae.

1. Mume wa mtu, nikweli lakini imeathiri vipi mahusiano yenu wawili, alishindwa kuwajibika kwa lipi?, na kama unamwonea huruma mkewe

Mwisho.
Ndugu yangu, ushauri wako ndio unaotakiwa kwa huyu dada,

Mimi mpaka leo kesi ipo mahakamani niachane na mtu kama huyu dada na story zake, hawa watu mnapoanza mahusiano huwa wanajua kila kitu kuhusu wewe na familia yako

Na wewe kwa upendo, huruma, na uungwana, unaamua kumjengea maisha mazuri,

Baada ya muda anaona alipotea, lakini kinachomwijia kuchwani muda huo ni dhambi kwamba kwa nini yeye ni nyumba ndogo,

Sasa mali anaitaka, na kuwa nyumba ndogo hataki, jibu hapo ni kurudisha mali za mtu na yeye asepe.

Mimi imenitokea nini?,

Wangu kafanya kila njia ili mimi nisepe, kaniweka, ndani, kaondoka kwangu miezi sita mala ya kwanza, akarudi kwa nguvu ili nimjeruhi anifunge,

Mala ya pili tena baada ya miaka miwili kupita kaaondoka tena karudi baada ya miezi nane, nimeamua kutokwenda kwake ( kwangu) na kufungua kesi ya kuachana,

Kesi sasa hivi ina miezi minne tunapigwa kalenda tu,

Jana kamleta mtoto makusudi nyumbani kwangu kwa mke wangu, ili kutest zari kwa mke wangu, bahati nzuri mke wangu anajua nini kinachoendelea, kamfukuzia mbali yule mtoto.

Mpomshauri kuwaamwambie mke wa jamaa wakati mwingine haisaidii sana.

Hawa viunmbe wakiishaanzisha mahusiano mengine ni rahisi sana kuchukua maamuzi ambayo wanaweza kuja kujutia
 
Ujengewe nyumba
Gari ununuliwe..
Kazi nzuri utafutiwe ..


Halafu unasema anaku suffocate?

Tukusaidie umuache vipi?

Huyo Kijana umemwambia kuhusu kodi?


Why usirudishe nyumba na gari kwanza uone huyo Kijana mpya atakupenda vipi?

Ukiuliwa wala usimlaumu mtu
Huna akili
Kwakweli hana akili[emoji119]
Ndo wanaopigwa risasi hawa
 
Mbona simple tu. Mrudishie gari. Mrudishie nyumba. Anza upya tu na huyo bwege wako ndio utakapokuja kujua kwamba kumbe ulikuwa unamuacha ksbb tayari amekupa ujanja mjini. Ukajua utaendelea kuwa navyo hata usipokuwa nae
 
Indeed,hata km mi mwanaume nakuua
Bora useme wewe mwanamke labda wataelewa....tatizo ya warembo wanatamaa ya mali lakini wanashindwa tambua kuwa kila kitu kina oppportunity cost....alafu hapo hapo mwanamke anakwambia nikiwezeshwa na weza sasa kwa nini usitumie elimu uliyopata kupata hizo mali ambazo sponsor anakupa
 
Ujengewe nyumba
Gari ununuliwe..
Kazi nzuri utafutiwe ..


Halafu unasema anaku suffocate?

Tukusaidie umuache vipi?

Huyo Kijana umemwambia kuhusu kodi?


Why usirudishe nyumba na gari kwanza uone huyo Kijana mpya atakupenda vipi?

Ukiuliwa wala usimlaumu mtu
Huna akili
Kabisa
 
Wanawake mko na roho mbaya sana, asilimia kubwa ya comments mpaka sasa zinatoka kwa wakina dada, lakini vile wanvyomkandia mleta mada badala ya kumsaidia wana msuta.
Kwa jinsi hawa wanaume wenye pesa wanavyoua wanawake waliowekeza kwao wakawaacha uanfikiri watamshauri nn?

Ye anataka ndoa ss,unafikiri itakuaje? Na alishamwambia atamfyatua akimzingua unategemea ashauriwe nn
 
Rudisha vitu vyake alivyokupa, afu muachane uone atafanya nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi pia na mke mdogo( enzi alikuwa mchepuko akisoma chuo nikampangia na kumpa gari na biashara alipomaliza chuo nikamjengea then et anataka aniache nilimfata mamake nikamwambia nitawaua ukoo mzima)
Wakat natoa hela mtoto anasoma na kuishi vzr dar why hawakumzuia sahiz ndo wanawaza aolewe? Never
Ilibid waongee nae vzr akakubali nikamuoa mke wa pili ndo kesi ikaisha
[emoji848][emoji849]aisee mambo ni motooo ila umetisha aisee[emoji119]
 
Hata siumizwagi na upuuzi Kama huu wa mtoa mada,

Binafsi Mimi nazijua fitna, afu nna visasi Sana. Afu kuniacha hawezi hata kwa dawa.
Afu akileta upumbavu na uyo anayemletea mahaba ya nyuki nae nadili nae ipasavyo mpaka achakae.

Vinginevyo akiniletea huo upuuzi ajiandae kujinguliza ahera mapema Sana yeye mwenyewe Maana baada ya hapo ataishi Hii dunia kwa mateso Sana.

Hatofanya kitu kikafanikiwa, nitamuandama bampa to bampa mpk anaenda futi 6 kaburini.

Sitakagi upuuzi kabisa Mimi[emoji3525]
[emoji87][emoji849][emoji848]wanawake wenzangu si mnayaona haya?!
Mhh kweli hakuna cha bure
 
Back
Top Bottom