Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo

Loh watu wamekazana rudisha rudisha...kwani vinahusiana nini wajameni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mrudishie gari na nyumba kwanza halafu mengine yafuate, ili huyo mpya nae ajitolee
 
Kwanza nikwambie Hapo huwezi kutoka kwenye kifungo icho ulichokuwepo labda aamue mwenyew kukupotezea au Mungu amchukue, Si rahisi yeye kukuelewa kwa chchte kwa sababu ashawekeza vitu vingi kwako Ila all in all ulisema alikuonesha bastola kimasihara hio ilikua masihara Ila alifanya vile very serious so Kua makini Kama unataka umuache anza na kurejesha vitu vyake
 
Mwambie wazazi wako wamekutafutia mchumba na unataka uolewe wamekushinikiza...

Ikiwa vipi hizo mali mlizowekeza mnaweza mkagawana nae ili aende salama na wewe uende kivyako..., usipoangalia utakosa vyote...

Fanya haya jana na sio kesho..
 
Au auze nyumba kimya kimya. Aache ajira yake aingie zake mkoani. Namba atafute mpya, akaanze life upya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…