Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo


Ahsante kwa kuniita mkuu,
Iyo Aya ya mwisho ndo umemaliza kila kitu[emoji4]

Mwanaume ukimfanya danga lako nae atakufanya malaya wake..' [emoji3578]
 
Mtu anipe kahawa kwenye hiki kijiwe wazee tumshauri huyu aende milembe udsm au central pol
 
kwahiyo unamshauri dada wa watu kufa sio. Akifanya hivo ajue wazi kabisa anakufa muda wowote afanye na maandalizi tuu. Na sasaivi watu wanavouana ni hatare.
Anampotosha mwenzie,
Iyo ndoa labda akaifungie kaburini apotee kabisa Kwny uso wa dunia[emoji4]
 
Na Hawa vijana wakujiremba wanapenda wanawake finished product.

Hawajui wakiona mwanamke anapendeza, Kuna jasho la mwanaume limevuja

Dawa ya hao barobaro nae unawatia adabu[emoji4]
 
Daah unakwama wapi limwage fanya namna wambea wamwambie mkewe kisanuke, Ila pia huo usaliti wa ubwete uvuke daraja kisha utukane mamba ujipange, mimi ni kama huyo nakufyatua kweli na risasi, jipange yote yatakuhusu, dadadadeki... huyo ukimponyoka atakuwa fala sana. Mchuma janga hula na wa kwao.! Karma is real and equally a butch.
 
Wapendwa badala mnipe ushauri mnaniongezea magazijuto kweli? Najua i messed up big time and an not proud. Nisaidieni najikwamuaje hapa.
Nataka nikusaidie ila kura ya mwanaume siwezi kuisaliti ninayo njia tena ya hakika wote mnaendelea na maisha yenu, ila sio kwa dhambi hio unastahili adhabu kali kuliko kusaidiwa, nyie ndiomnatakiwa kuliwa kabsa nyama zenu hadi mifupa ya kongolo.
 
We call it trade-off in economics
 
Ila buda huu ukali wa ujumbe haufanani na tone ya simulizi, you were too lenient to let it go kwenye simulizi zaidi tu kuwe umelewa mbunyende mbunyende ya huyo manzi ambae hakupenda anapenda kivuko cha matunzo yako.
 
Tatizo umaskini,acha kazi, mrudishie nyumba yake, gari na nyumba aliyokupangishia halafu katafute mume wako ambaye pia atakuwa na michepuko yake….
Ukijifanya mjuaji utasomwa kweny taarifa za habari
 
kitu unachokitamani sasa badae utakuja ukijutie vivo hivyo.......kama umtaki sugar daddy mwambie njoo ijia mali zako uniache salama.....Alf uendelee na huyo kijana ulomsema....Ila kaa ukijua kuna wanaume pia ma gold digger kama ulivokua ww..... kua makini sana na uamuzi wowote utakaochukua

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…