Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo

Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo

Au auze nyumba kimya kimya. Aache ajira yake aingie zake mkoani. Namba atafute mpya, akaanze life upya.
Ah wapi atatafutwa tuu. She is caught between a rock and hard place. Hapo nikukubali kuwa mtumwa tuu wa huyo mume wa mtu au kama vipi tumsaidie kupata mganga huyo mume mtu awe zezeta
 
Mimi pia na mke mdogo( enzi alikuwa mchepuko akisoma chuo nikampangia na kumpa gari na biashara alipomaliza chuo nikamjengea then et anataka aniache nilimfata mamake nikamwambia nitawaua ukoo mzima)
Wakat natoa hela mtoto anasoma na kuishi vzr dar why hawakumzuia sahiz ndo wanawaza aolewe? Never
Ilibid waongee nae vzr akakubali nikamuoa mke wa pili ndo kesi ikaisha
Safi kabisa haiwezekanai raha ule alafu baadae uanze kuleta somjo za kwenda kuolewa kwengine kuwa mke wa pili kwani shida sii ndio na huduma.
 
Tulia ww zamu yako yaja
Hata siumizwagi na upuuzi Kama huu wa mtoa mada,

Binafsi Mimi nazijua fitna, afu nna visasi Sana. Afu kuniacha hawezi hata kwa dawa.
Afu akileta upumbavu na uyo anayemletea mahaba ya nyuki nae nadili nae ipasavyo mpaka achakae.

Vinginevyo akiniletea huo upuuzi ajiandae kujinguliza ahera mapema Sana yeye mwenyewe Maana baada ya hapo ataishi Hii dunia kwa mateso Sana.

Hatofanya kitu kikafanikiwa, nitamuandama bampa to bampa mpk anaenda futi 6 kaburini.

Sitakagi upuuzi kabisa Mimi[emoji3525]
 
Ujengewe nyumba
Gari ununuliwe..
Kazi nzuri utafutiwe ..


Halafu unasema anaku suffocate?

Tukusaidie umuache vipi?

Huyo Kijana umemwambia kuhusu kodi?


Why usirudishe nyumba na gari kwanza uone huyo Kijana mpya atakupenda vipi?

Ukiuliwa wala usimlaumu mtu
Huna akili
kuna wanawake Ni wapumbavu Sana[emoji3525]
 
Habari wanajamii forum, ni matumaini yangu kuwa mko salama. Ama la, basi Mungu awafanyie wepesi.

Ndugu zangu nahitaji msaada wa mawazo yenu sana. Ninapitia sijui niseme ni wakati mgumu au ni ujinga wa kujitakia. Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu sasa yapata miaka mitatu. Imefikia hatua nimechoka na nahitaji kujing’atua ila nakosa njia nzuri ya kuachana nae. Am not even proud with what i did so if you judge me i’ll understand.

Huyu mtu tangu nafahamiana nae ameyabadilisha sana maisha yangu maana ana mchango mkubwa sana. Alinisaidia kupata kazi nzuri na kuachana na kakazi kangu nilikokuwa nafanya, alinihamisha na kunipangishia sehemu nzuri zaidi. Baadae alininunulia gari nami nikawa natembea nimekaa, pia amenijengea nyumba iliyo kwa jina langu ila kwakuwa ipo nje ya mji nimeipangisha nakula kodi ila bado analipia kodi hapa ninapoishi.

Mahusiano yalipoanza sikufikiria hata yangechukua miezi 6, ila sasa ni miaka mitatu+. Ni mwanaume anayejali sana ila ana wivu balaa. Ni mara kadhaa amekuwa akinitishia kuwa akigundua ninamsaliti atanikata shingo. Sasa huwa najiuliza huyu ni mume wa mtu, anatarajia kweli niwe na yeye tu ili iweje?

Sasa nimechoka jamani, natamani niwe na mpenzi wangu na sio mume wa mtu. Kuna huyu kijana nimeanza nae mahusiano sasa ni miezi 5, kusema kweli nampenda na ninaona kabisa nae ananipenda. Haya ndio aina ya mahusiano niyatakayo. Nimekuwa nikitafuta visingizio kuwa asije kwangu maana sio maadili ila ukweli ni kuwa naogopa mlipa kodi akijua atanitoa roho.

Huyu mume wa mtu nishamtafutia visingizio ili tuachane ila inashindikana. Natamani yeye ndio aanze ili asije kuwa na kinyongo. Ila kuna wakati najipa moyo kuwa nimwambie tu tuachane lakini nikikumbuka aliwahi kunikunja nusura anipige alipokuta msg asizozielewa kwenye simu nahisi kutetemeka. Aliwahi kunionyesha silaha anayomiliki, nilipomuuliza ni ya nini akasema hata mimi nikimletea ujinga ananifyatua. Japo ulikuwa utani ila niliogopa kusema kweli.

Balaa zaidi recently ameanza kung’ang’ania nimzalie. Nimekuwa nikijifanya mimba hazishiki ila kusema kweli natumia dawa zisishike maana siko tayari kuzaa nae. Kwanza nahisi kama suffocation maana ananibana sana. Kwangu anakuja tu muda wowote akijisikia, na ole wangu asinikute nyumbani ni tatizo kubwa. Kila ninachofanya anahitaji apate taarifa kwanza, yaani kama mkewe vile jamani.

Nimejaribu kuelezea haya ili angalau muelewe ni kwanini nahitaji msaada wa mawazo yenu ili nijikwamue kwenye hili shimo nililojichimbia. Nipeni ushauri naachanaje na huyu mwanaume bila kuleta madhara kwangu.
1: uko tiyari kuachia nyumba?
2: uko tiyari kuachia gari?
3: uko tiyari kuikosa hiyo kazi?
4;hako ka serengeti boy kana chochote au kamekupendea mali za jamaa?

Kama yote hayo uko tiyari muweke wazi ondoka bila chochote.

Ila nakuhakikishia hako ka serengeti baada ya miezi 2 tu katakuacha maana hutokuwa na chochote.

Kuanzia hapo utakuwa nagundu hata mme wa kukuoa hutompata.

Utaishia kulala na vitoto ambavyo unavizidi umri, na vitakuzalisha vikutekeleze.

Mimi nimekuelewa ila ujinga uloufanya ni kumruhusu akawekeza kwako wakati humpendi.

Dada kuna siku utapauka utakumbuka hii comment. Unakwenda kukosa kila kitu kisa hicho kivulana ulichokipata na wenda hakina kitu labda smartphone na laptop.

Dada duniani huwezi pata vyote, bora ukose upendo lakini unahudumiwa.

Nani kakudanganya hako kavulana katakupa raha kuliko huyo baba?

Ondoka ila jiandae kupauka, nimeona walofanya kama wewe wanatamani kurudisha siku nyuma.

Ukipenda jibu maswali hapo juu.
 
1: uko tiyari kuachia nyumba?
2: uko tiyari kuachia gari?
3: uko tiyari kuikosa hiyo kazi?
4;hako ka serengeti boy kana chochote au kamekupendea mali za jamaa?

Kama yote hayo uko tiyari muweke wazi ondoka bila chochote.

Ila nakuhakikishia hako ka aerengeti baada ya miezi 2 tu katakuacha maana hutokuwa na chochote.

Kuanzia hapo utakuwa nagundu hata mme wa kukuoa hutompata.

Hutoishia kulala na vitoto ambavyo unavizidi umri, na vitakuzalisha vikutekeleze.

Mimi nimekuekewa ila ujinga uloufanya ni kumruhusu akawekeza kwako wakati humpendi.

Dada kuna siku utapauka utakumbuka hii comment. Unakwenda kukosa kila kitu kisa hicho kivulana ulichokipata na wenda hakina kitu labda smartphone na laptop.

Dada duniani huwezi pata vyote, bora ukose upendo lakini unahudumiwa.

Nani kakudanganya hako kavulana katakupa raha kuliko huyo baba?

Ondoka ila jiandae kupauka, nimeona walofanya kama wewe wanatamani kurudisha siku nyuma.

Ukipenda jibu maswali hapo juu.
Maneno mazur Sana Ayo luckyline[emoji4][emoji106]
 
Habari wanajamii forum, ni matumaini yangu kuwa mko salama. Ama la, basi Mungu awafanyie wepesi.

Ndugu zangu nahitaji msaada wa mawazo yenu sana. Ninapitia sijui niseme ni wakati mgumu au ni ujinga wa kujitakia. Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu sasa yapata miaka mitatu. Imefikia hatua nimechoka na nahitaji kujing’atua ila nakosa njia nzuri ya kuachana nae. Am not even proud with what i did so if you judge me i’ll understand.

Huyu mtu tangu nafahamiana nae ameyabadilisha sana maisha yangu maana ana mchango mkubwa sana. Alinisaidia kupata kazi nzuri na kuachana na kakazi kangu nilikokuwa nafanya, alinihamisha na kunipangishia sehemu nzuri zaidi. Baadae alininunulia gari nami nikawa natembea nimekaa, pia amenijengea nyumba iliyo kwa jina langu ila kwakuwa ipo nje ya mji nimeipangisha nakula kodi ila bado analipia kodi hapa ninapoishi.

Mahusiano yalipoanza sikufikiria hata yangechukua miezi 6, ila sasa ni miaka mitatu+. Ni mwanaume anayejali sana ila ana wivu balaa. Ni mara kadhaa amekuwa akinitishia kuwa akigundua ninamsaliti atanikata shingo. Sasa huwa najiuliza huyu ni mume wa mtu, anatarajia kweli niwe na yeye tu ili iweje?

Sasa nimechoka jamani, natamani niwe na mpenzi wangu na sio mume wa mtu. Kuna huyu kijana nimeanza nae mahusiano sasa ni miezi 5, kusema kweli nampenda na ninaona kabisa nae ananipenda. Haya ndio aina ya mahusiano niyatakayo. Nimekuwa nikitafuta visingizio kuwa asije kwangu maana sio maadili ila ukweli ni kuwa naogopa mlipa kodi akijua atanitoa roho.

Huyu mume wa mtu nishamtafutia visingizio ili tuachane ila inashindikana. Natamani yeye ndio aanze ili asije kuwa na kinyongo. Ila kuna wakati najipa moyo kuwa nimwambie tu tuachane lakini nikikumbuka aliwahi kunikunja nusura anipige alipokuta msg asizozielewa kwenye simu nahisi kutetemeka. Aliwahi kunionyesha silaha anayomiliki, nilipomuuliza ni ya nini akasema hata mimi nikimletea ujinga ananifyatua. Japo ulikuwa utani ila niliogopa kusema kweli.

Balaa zaidi recently ameanza kung’ang’ania nimzalie. Nimekuwa nikijifanya mimba hazishiki ila kusema kweli natumia dawa zisishike maana siko tayari kuzaa nae. Kwanza nahisi kama suffocation maana ananibana sana. Kwangu anakuja tu muda wowote akijisikia, na ole wangu asinikute nyumbani ni tatizo kubwa. Kila ninachofanya anahitaji apate taarifa kwanza, yaani kama mkewe vile jamani.

Nimejaribu kuelezea haya ili angalau muelewe ni kwanini nahitaji msaada wa mawazo yenu ili nijikwamue kwenye hili shimo nililojichimbia. Nipeni ushauri naachanaje na huyu mwanaume bila kuleta madhara kwangu.
Rudisha vitu vyake vyoote rudi ulivyokuwa mwanzo then Mwambie kuwa unataka kuolewa umepata mchumba. Sio utake kung'ang'ania mali zake alizokufanyia halafu ujitie umepata mpenzi. Uchague moja tu
 
Kwa nini usiolewe mke wa pili? Hivi unaujua uchungu wa kumchuna vyote hivyo halafu umuache? Hivi hujawahi kusikia matukio ya watu kuuana kwa sababu ya wivu wa kimapenzi? Fikiria kabla ya kutenda. Huo ndio ushauri wangu.
Kuoa Ni mchakato mkuu,
Kama Anatabia mbovumbovu Ni mwanaume gani mpumbavu atathubutu kuweka ndani Moja kwa moja.
 
Rudisha vitu vyake vyoote rudi ulivyokuwa mwanzo then Mwambie kuwa unataka kuolewa umepata mchumba. Sio utake kung'ang'ania mali zake alizokufanyia halafu ujitie umepata mpenzi. Uchague moja tu
Kuna vitu havirudishiki mkuu,

Gharama za kumtunza na kumhudumia mwanamke kila kukikucha mpk kunazama, kwenye uzima, kwenye maradhi na kwenye starehe zake kwa miaka 3 mfulurizo Ni kubwa mno kuliko hizo gharama za gar na nyumba.

vinginevyo akauze asset zote za wanaukoo wao wote Au akachukue mkopo benki ndo amalizane na jamaa.

Vinginevyo,
Avumilie TU andelee na mahusiano yake, suala la yeye kua mchepuko sio dhambi as long as anahudumiwa effectively.

Kuna watu wamefunga ndoa na wake za watu official but they are unhappy in their marriages[emoji4]
 
Ningekuwa mimi ndo huyo jamaa ningekuua tuu
Ndo aina ya wanawake tulokua nao, shukran ya punda Ni mateke.

Ila Ni mwanaume mpumbavu pekee ndo atakayeruhusu huo upuuzi wake utokee[emoji4]
 
Hata siumizwagi na upuuzi Kama huu wa mtoa mada,

Binafsi Mimi nazijua fitna, afu nna visasi Sana. Afu kuniacha hawezi hata kwa dawa.
Afu akileta upumbavu na uyo anayemletea mahaba ya nyuki nae nadili nae ipasavyo mpaka achakae.

Vinginevyo akiniletea huo upuuzi ajiandae kujinguliza ahera mapema Sana yeye mwenyewe Maana baada ya hapo ataishi Hii dunia kwa mateso Sana.

Hatofanya kitu kikafanikiwa, nitamuandama bampa to bampa mpk anaenda futi 6 kaburini.

Sitakagi upuuzi kabisa Mimi[emoji3525]

mbona hutaki kumuoa sasa jmn si umuoe mke mdogo

Hutaki hata kuzaa nae mwenzio ni mwanamke anahiaji kuitwa mama mbona yeye hana kosa
 
Wapendwa badala mnipe ushauri mnaniongezea magazijuto kweli? Najua i messed up big time and an not proud. Nisaidieni najikwamuaje hapa.
Rudisha mali zake ili uwe na maisha ya amani.. vitu hutafutwa ila uhai once ukiondoka haurudi tena...

Hama alipokupangishia ikiwezekana tafuta kazi sehem nyingine maana bila hivyo ataendelea kukutafuta.. piga block kila sehem.. hayo ni madhara ya kudate mume wa mtu .. pole sana kwa hali hiyo ya kujitakia.. unahitaji nawe uwe na familia lakini uliendekeza kudanga kwako kwa kumtegemea kila kitu..

Hivi dada unajiskiaje kudate na mtu ambae akitoka kwako anaenda kulala na mwanamke mwingine? Mnawezaje jaman.. I don't judge you by the way

'Mwanaume ukimfanya danga lako nae atakufanya malaya wake..'

Cc: DeepPond
 
Habari wanajamii forum, ni matumaini yangu kuwa mko salama. Ama la, basi Mungu awafanyie wepesi.

Ndugu zangu nahitaji msaada wa mawazo yenu sana. Ninapitia sijui niseme ni wakati mgumu au ni ujinga wa kujitakia. Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu sasa yapata miaka mitatu. Imefikia hatua nimechoka na nahitaji kujing’atua ila nakosa njia nzuri ya kuachana nae. Am not even proud with what i did so if you judge me i’ll understand.

Huyu mtu tangu nafahamiana nae ameyabadilisha sana maisha yangu maana ana mchango mkubwa sana. Alinisaidia kupata kazi nzuri na kuachana na kakazi kangu nilikokuwa nafanya, alinihamisha na kunipangishia sehemu nzuri zaidi. Baadae alininunulia gari nami nikawa natembea nimekaa, pia amenijengea nyumba iliyo kwa jina langu ila kwakuwa ipo nje ya mji nimeipangisha nakula kodi ila bado analipia kodi hapa ninapoishi.

Mahusiano yalipoanza sikufikiria hata yangechukua miezi 6, ila sasa ni miaka mitatu+. Ni mwanaume anayejali sana ila ana wivu balaa. Ni mara kadhaa amekuwa akinitishia kuwa akigundua ninamsaliti atanikata shingo. Sasa huwa najiuliza huyu ni mume wa mtu, anatarajia kweli niwe na yeye tu ili iweje?

Sasa nimechoka jamani, natamani niwe na mpenzi wangu na sio mume wa mtu. Kuna huyu kijana nimeanza nae mahusiano sasa ni miezi 5, kusema kweli nampenda na ninaona kabisa nae ananipenda. Haya ndio aina ya mahusiano niyatakayo. Nimekuwa nikitafuta visingizio kuwa asije kwangu maana sio maadili ila ukweli ni kuwa naogopa mlipa kodi akijua atanitoa roho.

Huyu mume wa mtu nishamtafutia visingizio ili tuachane ila inashindikana. Natamani yeye ndio aanze ili asije kuwa na kinyongo. Ila kuna wakati najipa moyo kuwa nimwambie tu tuachane lakini nikikumbuka aliwahi kunikunja nusura anipige alipokuta msg asizozielewa kwenye simu nahisi kutetemeka. Aliwahi kunionyesha silaha anayomiliki, nilipomuuliza ni ya nini akasema hata mimi nikimletea ujinga ananifyatua. Japo ulikuwa utani ila niliogopa kusema kweli.

Balaa zaidi recently ameanza kung’ang’ania nimzalie. Nimekuwa nikijifanya mimba hazishiki ila kusema kweli natumia dawa zisishike maana siko tayari kuzaa nae. Kwanza nahisi kama suffocation maana ananibana sana. Kwangu anakuja tu muda wowote akijisikia, na ole wangu asinikute nyumbani ni tatizo kubwa. Kila ninachofanya anahitaji apate taarifa kwanza, yaani kama mkewe vile jamani.

Nimejaribu kuelezea haya ili angalau muelewe ni kwanini nahitaji msaada wa mawazo yenu ili nijikwamue kwenye hili shimo nililojichimbia. Nipeni ushauri naachanaje na huyu mwanaume bila kuleta madhara kwangu.
nakushauri kama umepata mpenzi mwingine rudisha walau nyumba na gari la huyo mume wa mtu ndo umuambie muachane, vinginevyo unajitafutia mikosi, balaa na laana kwa Mungu na kwa binadamu, hata huko unapoenda kwa huyo mpenzi mwingine yawezekana msifanikiwe kwa lolote lile na ikawa ndo chanzo cha kuharibikiwa maisha yako.

Pia usiporudisha mali za watu/mume wa mtu anauhalali wa kukufanya lolote kiimani na kibinaadamu na akafanikiwa.

TAMAA, DHULUMA NA UTAPELI havijawai kumwacha mwanadamu salama. JIAZARI SANA.
 
Sikuzote wamawake hua mtu kukufanyia hivo vyote simjinga wala upumbavu kiasi icho Kama uliona humpendi ungekataa vitu vyake na kazi yake kwa ujumla na ukimuacha ujue umeacha vyte hata kazi pia Kuna hatihati akakufanyia fitna usepeshwe na hata Huyo Mchumba mpya uliempata asikulevye inawezkana Kisa kakuona unakazi nzuri na Gari akaamua kujiweka Hapo Sasa ukose vyte utajua Kama anakupenda ama la
 
Back
Top Bottom