Nimekuwa nikikumbwa na usingizi mzito wakati wa vikao na wakati nikiwa katika nyumba za ibada. Shida yangu nini?

Kitambi huwa kinaleta mabadiliko unakua Kama mama mjamzito kasoro kutapika na kichefchef, uzembe uzembe unakua mwingi
Punguza kitambi
 

Pole sana, shetani amedhamiria kukulaza kwelikweli

Wanadamu Mungu alitupenda sana, akagawa giza na nuru sababu mchana lazima mwili uwe kazini either kijamii au kiibada lakini usiku miili yetu inapopumzika roho zetu huwa macho zikifanya mawasliano na roho wa Mungu na kama Mungu hatunae basi roho za shetani

Kwa maana hiyo wewe wakati wa kujenga maisha, kufanya maamuzi ya kikazi/kiofisi, na wakati wa kuwasiliana na Mungu wako unakua haupo, unakua umetwaliwa kupitia mwili kulala!

Usiku huwa unafanya nini? Kama unayaona ya usiku kupitia ndoto yatakusaidia kujua kinachokulaza
 
Mkuu umetoa msaada Kwa wengi. Ninayo unga wa habbat soda nikiletewa toka Zanzibar March 2020 Ila upo tu sikutumia. Je huwa umaharibika? Naweza kuutumia? Ila uko chengachenga hivi. Mafuta yake ninayo ninakunywa asubuhi na jioni mara nyingi Sana. Nimejua sasa nipake usoni kidogo. Shukrani Kwa Elimu.
 
Amina, Inshallah
 
Duuuhh, nimeshutuka
 
Nitajitahidi kufanyia kazi ushauri huu, kumbe dawa zipo za kawaida tu.
 
Jaribu Bar kwenye viti virefu pale counter huku totoz zikikatisha karibu, ukilala hapo umerogwa!!
 
Pole sana, huyo shetani yupo kazini usiku atakuwa anakufanyisha kazi bila wewe kujijua kwahiyo mchana ndiyo unakuwa na nafasi yakupumzika, ikatae hiyo hali fanya maombi kabla yakulala fuatilia ndoto unazoota
 
MKUU NYIE NDO HUWA MNAANGUSHA MAGARI MTARONI KWA USINGIZI USIOISHA
 
Hivi SHEYTWAN NA SHYTOWN NI NDUGU???
 
Hii hali kuna kipindi inanishika pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…