Nimekuwa nikikumbwa na usingizi mzito wakati wa vikao na wakati nikiwa katika nyumba za ibada. Shida yangu nini?

Nimekuwa nikikumbwa na usingizi mzito wakati wa vikao na wakati nikiwa katika nyumba za ibada. Shida yangu nini?

Kongole mkuu.

Ukisha tambulika kuwa umehudhuria kikao, una wasiwasi gani tena....hizo agenda, mada, hoja, maswali&majibu, mitazamo, maoni, mapendekezo ni taarabu tu,,,PIGA USINGIZI KWA KWENDA MBELE MPAKA WAKUAMSHE WENYEWE
 
ila binadamu aisee sijui tuoewe nini,kuna kipindi nilikua silali hata siku mbili nimekodoa tu,hadi natamani kulia,nikawa nakunywa pombe angalau nisinzie wapi nakuta asubuhi hii hapa kodo jicho natakiwa niende mzigoni basi hizo hasira naingia nazo huko ni kufoka tu hata mtu akikusalimia.
mungu saisia ile hali imeondoka sasa nalala vizuri tu ingawa kwa vipindi japo masaa ma3 ma3 mpk kunakucha.
 
Uko wapi nikuje nikubebe nikupeleke kwenye maombi??
Hapa lazima pepo litakuzuia kuniambia ulipo
 
Habari wadau wa JF.

Kwa miaka takriban minne Sasa, napitia nyakati ngumu. Nikiwa kwenye vikao mbalimbali vya kijamii, kikazi au hata Imani napatwa na usingizi wa ghafula.

Pia niwpo ktk nyumba ya ibada, mawaidha na mahubiri yakiendelea najikuta nimesinzia tena usingizi mzito. Ninapata muda mwingi wa kulala na kazi zangu sio nzito.

Kuna kikao fulani mwaka juzi nilisinzia hadi mwisho nashutuka, kikao kinafungwa.

Je tatizo langu ni nini?
Ninachofikiili mimi ni kuwa haupo interested na kinachozungumzwa kwenye vikao au mahubili
 
Habari wadau wa JF.

Kwa miaka takriban minne Sasa, napitia nyakati ngumu. Nikiwa kwenye vikao mbalimbali vya kijamii, kikazi au hata Imani napatwa na usingizi wa ghafula.

Pia niwpo ktk nyumba ya ibada, mawaidha na mahubiri yakiendelea najikuta nimesinzia tena usingizi mzito. Ninapata muda mwingi wa kulala na kazi zangu sio nzito.

Kuna kikao fulani mwaka juzi nilisinzia hadi mwisho nashutuka, kikao kinafungwa.

Je tatizo langu ni nini?
Sio shida ni njia ya jutafakari hoja zinazotolewa subconsciously 😂
 
Fanya mazoezi.

Inaonekana mishipa yako ya damu imejawa na Mafuta kiasi kwamba damu haipiti vizuri Hali iñayopelekea upate usingizi ukiwa umekaa.

Mazoezi yatayeyusha hayo Mafuta,
 
Habari wadau wa JF.

Kwa miaka takriban minne Sasa, napitia nyakati ngumu. Nikiwa kwenye vikao mbalimbali vya kijamii, kikazi au hata Imani napatwa na usingizi wa ghafula.

Pia niwpo ktk nyumba ya ibada, mawaidha na mahubiri yakiendelea najikuta nimesinzia tena usingizi mzito. Ninapata muda mwingi wa kulala na kazi zangu sio nzito.

Kuna kikao fulani mwaka juzi nilisinzia hadi mwisho nashutuka, kikao kinafungwa.

Je tatizo langu ni nini?
Vipi uzito wa mwili, umeongezeka?
 
Fanya mazoezi.

Inaonekana mishipa yako ya damu imejawa na Mafuta kiasi kwamba damu haipiti vizuri Hali iñayopelekea upate usingizi ukiwa umekaa.

Mazoezi yatayeyusha hayo Mafuta,
Mimi sio mnene, ni wa wastani
 
ila binadamu aisee sijui tuoewe nini,kuna kipindi nilikua silali hata siku mbili nimekodoa tu,hadi natamani kulia,nikawa nakunywa pombe angalau nisinzie wapi nakuta asubuhi hii hapa kodo jicho natakiwa niende mzigoni basi hizo hasira naingia nazo huko ni kufoka tu hata mtu akikusalimia.
mungu saisia ile hali imeondoka sasa nalala vizuri tu ingawa kwa vipindi japo masaa ma3 ma3 mpk kunakucha.
Pole sana
 
Back
Top Bottom