Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Acheni kukaririshwa maneno ya KIJINGA ambayo Mwendazake aliwapandikiza. Huduma kwenye maofisi ya Serikali hazijawahi kubadikika. Ninaandika kwa UHAKIKA kabisa kuwa hata ungekinganisha kipindi cha Mkapa- Kikwette - Magufuli, HAKUNA jipya kwenye Huduma.Ofisi za Umma zimeanza kurudi enzi za Kikwete aisee, huduma mbovu majibu mabovu na wanajua huna pa kuwapeleka.
Dawasa Kimara kumbukeni mnafanya huduma jamani mtatuua 😂😂 yaani imefanya nimkumbuke marehemu Magufuli aisee, may he continue rest in heaven sasa namwelewa japo too late.
Huwezi kuwa na Serikali bila Urasimu. Ni sekta binafsi tu ndiyo Ina Huduma bora, tuwe wakweli
Tofauti ni kwamba Mwendazake alikuwa anapenda masifa ya uwongo