Nimekwenda DAWASCO Kimara, majibu nimepewa hadi nimemkumbuka mwenda zake

Nimekwenda DAWASCO Kimara, majibu nimepewa hadi nimemkumbuka mwenda zake

Ni wazembe tu hata wakati wa Magufuli. Jirani yangu tangu mwaka jana septemba hawajamfanyia savei na wanajua alipo. Na viashiria vyooote vya rushwa wamemwonyesha. Hana kitu maskini. Dawasa Segerea Mungu anawaona. Tutaelewana tu.
Mimi Tanesco wamenisumbua kunivutia umeme toka enzi za mwenda zake, wanleta nao viadhiria vya rushwa. Nikaamua kuwaacha tu nikanunua solar
 
😂😂😂😂😂😂😂 eti Mama by Nature hahahahahaha inapendeza hiyoooo

Hili la nyodo kwenye ofisi za umma awamu hii linakwenda kuwa baya hata kuliko wakati wa Kikwete. Huyu mama by nature hana haiba wala tabia ya ukali.
 
Ofisi za Umma zimeanza kurudi enzi za Kikwete aisee huduma mbovu majibu mabovu na wanajua huna pa kuwapeleka.
Dawasa Kimara kumbukeni mnafanya huduma jamani mtatuua 😂😂 yaani imefanya nimkumbuke marehemu Magufuli aisee may he continue rest in heaven sasa namwelewa japo too late.
Wacha umbea, angekuwepo huyo shetani wako ungefanyaje?
 
Ni safi

Wateja mna stupidity ya ku-think mnaweza ongelea mtoa huduma hovyo unavyotaka sababu ni "mteja"..

Watoa huduma ni wanadamu pia,huwezi waongelea us3ng3 wakuangalie eti sababu wewe ni "mteja mavi"...

Kafie huko

Jifunzeni kua na adabu kwenye maofisi ya watu...mteja gani unaedhani kila mhudumu ni mtumwa unaweza ongea utakacho?

"Wateja" hua ni wapumbavu sana....kwanza we dont need your little money,keep it for yourself and get the fvck outta there!
Hehehehe watolee povu hao hao,,ukikutana na mm nakuletea hell hutataman kuniona au kuniwaza your whole tiny worthless life


Mwalimu wako wa value and ethics in profession alifanya kazi zero au ulipata C hlo somo
 
Jiwe yuko mioyoni mwa push gang tu. Trust me.
Yuko moyoni wa Tanzania wanaojua maana ya kuwa watanzania sio kabila letu kwanza ,sio wavivu wa kutafuta mitaji hadi muibie serikali au waajirini wenu,majigambo ya bure kumbe mnataka kubebwa tuu,mpewe furasa za wizi ,hamtamtoa Magu kamwe kwenye mioyo ya watanzania ili mumreplace na yule mzee wenu gambe la konyagi Baba Freelady,mtapiga kelele kila siku za ukabila na chuki lakini uraisi msahau kwa kweli labda uraisi wa machalari mbege.
 
Unakumbuka Magufuli !!!

Hakukuuwia nduguyo?
Hakumteka nduguyo?
Hakubomoa nyumba yako ama ya nduguyo?
Hakumfukuza kazi nduguyo kwa husuda?
Hakumpora nduguyo fedha zake?
Hakumweka ndani nduguyo kwa uonevu?
Hakumtukana nduguyo hadharani?

Huyu mtu siyo wa kumkumbuka hata kidogo.
Hee! Hili nalo vip? Ebu kwenda kalale huko usiekuwa na jinsia...unazani wote tulikuwa wababaishaji kama ww hadi ukatwangwaa ba jpm kunako..tuondolee ujinga hapa..jpm atakumbukwa vzaz na vizaz..
 
Unakumbuka Magufuli !!!

Hakukuuwia nduguyo?
Hakumteka nduguyo?
Hakubomoa nyumba yako ama ya nduguyo?
Hakumfukuza kazi nduguyo kwa husuda?
Hakumpora nduguyo fedha zake?
Hakumweka ndani nduguyo kwa uonevu?
Hakumtukana nduguyo hadharani?

Huyu mtu siyo wa kumkumbuka hata kidogo.
Akili za kipimbavu kabisa hizi kwa hiyo hicho ndio kipimo cha uongozi bora?
 
Yuko moyoni wa Tanzania wanaojua maana ya kuwa watanzania sio kabila letu kwanza ,sio wavivu wa kutafuta mitaji hadi muibie serikali au waajirini wenu,majigambo ya bure kumbe mnataka kubebwa tuu,mpewe furasa za wizi ,hamtamtoa Magu kamwe kwenye mioyo ya watanzania ili mumreplace na yule mzee wenu gambe la konyagi Baba Freelady,mtapiga kelele kila siku za ukabila na chuki lakini uraisi msahau kwa kweli labda uraisi wa machalari mbege.
Kuandika kwenyewe mbona hujui.vip unatokea wapi ndugu usiyejua ata kiswaili au ndo wakimbizi wenyewe.alafu usisahau hii ni dunia.ya kesho huyajui.
 
Nyie watu na katiba mna matatizo Sana,katiba ndo itamfundisha mtu kuwa na lugha nzuri?

Uelewa wako ni mdogo sana juu ya katiba,Mbowe na wachaga wenzie wanawaharibu Sana vijana.
Wewe mbona mjinga sana.endelea kuzeeka na ujinga wako.
 
Back
Top Bottom