Nimekwenda DAWASCO Kimara, majibu nimepewa hadi nimemkumbuka mwenda zake

Nimekwenda DAWASCO Kimara, majibu nimepewa hadi nimemkumbuka mwenda zake

Siku zote ukifika kwenye ofisi za umma usijishushe na kujifanya mnyoooonge...

Wewe ungelifika pale na kutaka kuonana na meneja wa kituo, najua wangeanza longolongo kwamba hayupo n.k

Then ungewajibu tu basi ajiandae kupokea simu ya waziri, then unasepa zako...

Short and clear...
 
Magufuli ndio aliharibu kabisa kwa sababu alitengeneza nidhamu ya woga ambayo ilikuwa ni suala la muda tu hali inarudi kama ilivyo,ilipaswa aimarishe mifumo na sio kuamini kwamba watu wanamuogopa,hii ilipelekea hata washauri wake wa karibu kama mawaziri kumuogopoa na kushindwa kumweleza ukweli pale ilipotakiwa

Aliaminisha watu yeye ndio kilakitu na anajua yanayotendeka kila mahali kitu ambacho si kweli na akafanya watendaji wa chini wadharauliwe na wananchi ndio maana kila alikoenda alisimamishwa na mabango juu kwa kesi za kijinga ambazo sio size yake

Ndio maana idara nyingi baada ya kifo chake zimegundulika kufanya madudu mengi lakini yalifichwa kwakuwa waliogopa kuharibu vibarua vyao,ndio maana hata hizo nidhamu unazosema wewe zilikuwa nidhamu bandia tu
Kuna vibwengo wengi sana hawawezi kukuelewa.
 
Walikujibu nn ?
Ofisi za Umma zimeanza kurudi enzi za Kikwete aisee, huduma mbovu majibu mabovu na wanajua huna pa kuwapeleka.

Dawasa Kimara kumbukeni mnafanya huduma jamani mtatuua 😂😂 yaani imefanya nimkumbuke marehemu Magufuli aisee, may he continue rest in heaven sasa namwelewa japo too late.
Walikujibu nini
 
Na mimi nakubaliana na wewe. Ila kujenga hizo system lazima uwe na kianzio. Na kianzio ni kuwa na kiongozi asiyependa uzembe. Magufuli kwenye hili eneo alikuwa hana simile lakini kosa lake ni kutokuweka system kama ulivyosema. Na kingine: watanzania tuna utamaduni wa uzembe na uvivu. Hili ni janga kuu na lipo kila mahali. Mtanzania hatimizi wajibu wake bila ya vitisho. Dawa ni waliye juu kuwa mkali, aweke system inayoeleweka ya kupokea na kushughulikia uzembe kama huu.
Jamani, Mimi naomba kuuliza, aulizae sio mjinga, hivi hizo system huwa ni zipi ambazo inatakiwa ziwepo au zijengwe, hivi toka nchi hii tangu imepata uhuru hutawahiga kuwa na mifumo ambayo inaongoza nchi?

mimi najua hiyo mifumo au system ipo, kama haipo basi tungekuwa tunaishi kama wanyama tu, tatizo la nchi hii ni hiyo mifumo au system kama inafanya kweli kazi jinsi inavyotakiwa, na Magufuli ndio alitaka au alifanya hiyo mifumo ifanye kazi,

ila watanzania mifumo ikifanya kazi wanachukia wanaita ni ubabe na udikteta, wanataka mifumo yao ambayo wala haipo.

ukienda Marekani ambapo hiyo mifumo inafanya kazi utakaa na kuisifia tena utapongeza jinsi wenzetu wanavyopeleka mambo yao, lakini yale yale yanayofanyika kule yakiletwa hapa, basi kila mtu atalalamika?!!!

naomba mnipe jibu ni mifumo gani au hizo institution mnazitaka ambazo hapa kwetu hazipo.

ni hayo tu
 
Hilo nalo neno asee,kama kamwili chako kadogodogo lazma uambulie mipasho
Haha na hata kama una mwili mdogo unatakiwa uwe na roho kubwa. Unamtamkia maneno mazito hadi anakupa huduma kwa heshima.

Mimi ofisi ya majunior officer kama hiyo naingia casual tu ila ili nipate concentration yake na nimfundishe uoga nikifika hapo huwa naanza kwa kujitambulisha kwa majina yote mawili, alafu namuuliza mtoa huduma jila lake akinitajia naliandika kwenye note book akiwa anaona alafu ndiyo naendelea kumwelezea shida iliyonileta kwenye ofisi yao.

Sasa hapo akili kichwani kwake, afanye kazi au afanye blanda.
 
Yuko moyoni wa Tanzania wanaojua maana ya kuwa watanzania sio kabila letu kwanza ,sio wavivu wa kutafuta mitaji hadi muibie serikali au waajirini wenu,majigambo ya bure kumbe mnataka kubebwa tuu,mpewe furasa za wizi ,hamtamtoa Magu kamwe kwenye mioyo ya watanzania ili mumreplace na yule mzee wenu gambe la konyagi Baba Freelady,mtapiga kelele kila siku za ukabila na chuki lakini uraisi msahau kwa kweli labda uraisi wa machalari mbege.
Kweli yule shetani mtu, muuaji na jambazi la kupora mali za watu anaweza kuwa miyoni mwa Watanzania! Labda mwehu kama wewe!
 
Miaka sita hawaongezewa mishahara hata wakikujibu vibaya sawa tu.
 
Hee! Hili nalo vip? Ebu kwenda kalale huko usiekuwa na jinsia...unazani wote tulikuwa wababaishaji kama ww hadi ukatwangwaa ba jpm kunako..tuondolee ujinga hapa..jpm atakumbukwa vzaz na vizaz..
Labda shetani atamkumbuka lakini binadamu hawezi kumkumbuka!
 
Ofisi za Umma zimeanza kurudi enzi za Kikwete aisee, huduma mbovu majibu mabovu na wanajua huna pa kuwapeleka.

Dawasa Kimara kumbukeni mnafanya huduma jamani mtatuua [emoji23][emoji23] yaani imefanya nimkumbuke marehemu Magufuli aisee, may he continue rest in heaven sasa namwelewa japo too late.
Jiwe asilani hawezi kupumzika kwa Amani
 
Hili la nyodo kwenye ofisi za umma awamu hii linakwenda kuwa baya hata kuliko wakati wa Kikwete. Huyu mama by nature hana haiba wala tabia ya ukali.
Kamuulize Sabaya na Chalamila ndio wanajua endapo ana hasira au hana
 
Kweli yule shetani mtu, muuaji na jambazi la kupora mali za watu anaweza kuwa miyoni mwa Watanzania! Labda mwehu kama wewe!
Tunawajua Bwashee ndio maana nyinyi ndio mnaongoza kwa chuki na umimi na kubebana bebana na ufisadi na ukabila,endelea kuimba mwamba wenu mzee wa konyagi aliyeshughulikiwa na Sabaya hadi akahama nchi awavushe huku nyinyi mkimpa michango tuu huku ruzuku akiitafuna yeye na ukoo wake,Magufuli yuko ndani ya damu na mioyo ya watanzania milele na milele nyinyi pigeni kelele tu ila musahau kwa nchi mliyoijenga kwa watanzania na ukabila wenu basi uraisi mtausikia kwa wengine tuu.
 
Mmeanza kummiss hata miezi sita haijaisha?na bado
 
Siku mfanyakazi wa Umma akinijibu vibaya mjiandae kuja kunitoa mahabusu. Washenzi sana tena sana. Kuna dada mmoja alinijibu huku anakula chakula nilichompa najua hatokaa anisahau kbs maishani mwake.
Mimi ningetemea mate chakula nyambafu
 
Back
Top Bottom