Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Siku zote ukifika kwenye ofisi za umma usijishushe na kujifanya mnyoooonge...
Wewe ungelifika pale na kutaka kuonana na meneja wa kituo, najua wangeanza longolongo kwamba hayupo n.k
Then ungewajibu tu basi ajiandae kupokea simu ya waziri, then unasepa zako...
Short and clear...
Wewe ungelifika pale na kutaka kuonana na meneja wa kituo, najua wangeanza longolongo kwamba hayupo n.k
Then ungewajibu tu basi ajiandae kupokea simu ya waziri, then unasepa zako...
Short and clear...