Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Niliwahi kumuweka kwenye wakati mgumu mdada mmoja kwenye halmashauri moja baada ya kunipamba kichwani, mpaka mkuu wake alikuja kuomba msamaha huku mdada machozi yakimtoka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee jamaa acha usenge.Unakumbuka Magufuli !!!
Hakukuuwia nduguyo?
Hakumteka nduguyo?
Hakubomoa nyumba yako ama ya nduguyo?
Hakumfukuza kazi nduguyo kwa husuda?
Hakumpora nduguyo fedha zake?
Hakumweka ndani nduguyo kwa uonevu?
Hakumtukana nduguyo hadharani?
Huyu mtu siyo wa kumkumbuka hata kidogo.
Mkumbuke wewe na familia yakoOfisi za Umma zimeanza kurudi enzi za Kikwete aisee huduma mbovu majibu mabovu na wanajua huna pa kuwapeleka.
Dawasa Kimara kumbukeni mnafanya huduma jamani mtatuua 😂😂😂😂 yaani imefanya nimkumbuke marehemu Magufuli aisee may he continue rest in heaven sasa namwelewa japo too late
Hili ni tatizo kubwa snHalafu hawa idara ya maji ni wezi sana wa hela za bili ya maji hasa ARUSHA
Wanawabambikizia watu bili ya hovyo hovyo
Serikali ilitazame hili
Hamnazo ni yule aliyekuwa akiwazulumuKumbe na ww ni hamnazo....
Hahaha ulimfanyajeSiku mfanyakazi wa Umma akinijibu vibaya mjiandae kuja kunitoa mahabusu. Washenzi sana tena sana. Kuna dada mmoja alinijibu huku anakula chakula nilichompa najua hatokaa anisahau kbs maishani mwake.
Hayo majibu uliyopewa ni yepi?,na je ni nani aliyekupa hayo majibu?,kwanini usiende kwa mkubwa wao?Ofisi za Umma zimeanza kurudi enzi za Kikwete aisee huduma mbovu majibu mabovu na wanajua huna pa kuwapeleka.
Dawasa Kimara kumbukeni mnafanya huduma jamani mtatuua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani imefanya nimkumbuke marehemu Magufuli aisee may he continue rest in heaven sasa namwelewa japo too late
Kama unataka kumsifia dhalimu we msifie tu kwa namna yako, lakini hakuwa anaogopwa kihivyo. Kama angekuwa anaogopwa hivyo tusingeona watu kuchimba na kujiunganishia bomba la mafuta.Ofisi za Umma zimeanza kurudi enzi za Kikwete aisee huduma mbovu majibu mabovu na wanajua huna pa kuwapeleka.
Dawasa Kimara kumbukeni mnafanya huduma jamani mtatuua 😂😂😂😂 yaani imefanya nimkumbuke marehemu Magufuli aisee may he continue rest in heaven sasa namwelewa japo too late
Umejibiwa nini? Hebu funguka ili great thinkers tupime kama ni tusi, lugha ya kuudhi au ni wewe uliingia cha kike!Ofisi za Umma zimeanza kurudi enzi za Kikwete aisee huduma mbovu majibu mabovu na wanajua huna pa kuwapeleka.
Dawasa Kimara kumbukeni mnafanya huduma jamani mtatuua 😂😂 yaani imefanya nimkumbuke marehemu Magufuli aisee may he continue rest in heaven sasa namwelewa japo too late.
"Nikifa najua mtanikumbuka kwa mazuri tu" JPM...Nimejitoa maisha yangu kwa ajili ya watanzania maskini...
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Kwanini usimfate Chato?Ofisi za Umma zimeanza kurudi enzi za Kikwete aisee huduma mbovu majibu mabovu na wanajua huna pa kuwapeleka.
Dawasa Kimara kumbukeni mnafanya huduma jamani mtatuua 😂😂 yaani imefanya nimkumbuke marehemu Magufuli aisee may he continue rest in heaven sasa namwelewa japo too late.
Sio rushwa mkuu, ni "mzunguko wa pesa" waliokuwa wanaulilia ndio dalili zake kuwa umerudi, mama amefungua nchi!Rushwa zimeanza kurindima kama kawaida hatari sana.
Magufuli angekua kila ndugu zetu si tungekua tumeisha?Unakumbuka Magufuli !!!
Hakukuuwia nduguyo?
Hakumteka nduguyo?
Hakubomoa nyumba yako ama ya nduguyo?
Hakumfukuza kazi nduguyo kwa husuda?
Hakumpora nduguyo fedha zake?
Hakumweka ndani nduguyo kwa uonevu?
Hakumtukana nduguyo hadharani?
Huyu mtu siyo wa kumkumbuka hata kidogo.
Ok tunafungua nchi.Sio rushwa mkuu, ni "mzunguko wa pesa" waliokuwa wanaulilia ndio dalili zake kuwa umerudi, mama amefungua nchi!
Hapana, kuna nyumba ni self mwanzoni ilikuwa na wapangaji na mmojawapo alikuwa ni engineer wa hii minara ya simu.Kuna mahali wameletewa bili wakati maji hayatoki.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Wezi, wanatuletea bili ya kijinga wakati hakuna mtumiaji wa maji yaoHili ni tatizo kubwa sn
Magufuli alikuwa ni meneja hapo dawasa kimaraOfisi za Umma zimeanza kurudi enzi za Kikwete aisee huduma mbovu majibu mabovu na wanajua huna pa kuwapeleka.
Dawasa Kimara kumbukeni mnafanya huduma jamani mtatuua 😂😂 yaani imefanya nimkumbuke marehemu Magufuli aisee may he continue rest in heaven sasa namwelewa japo too late.