Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi iendeshwe kimfumo siyo mtu mmoja binadamu tunapita mfumo utabaki mpaka mwisho wa dunia, endelea kumkumbuka ila alianzisha utaratibu mbaya wa yeye kuwa kila kitu, mf mawaziri na watendaji kumsifia kutoa hela za miradi wakati ni za watanzania woteOfisi za Umma zimeanza kurudi enzi za Kikwete aisee huduma mbovu majibu mabovu na wanajua huna pa kuwapeleka.
Dawasa Kimara kumbukeni mnafanya huduma jamani mtatuua 😂😂😂😂 yaani imefanya nimkumbuke marehemu Magufuli aisee may he continue rest in heaven sasa namwelewa japo too late
Upuuzi kwenye maofisi ya serikali hayajawahi kwisha hata wakati wa Magufuli hali iliendelea hivyo hivyo labda wajue una uhusiano na mkubwa au wewe mwenyewe ni mtu fulani acheni kutoa sifa za uongo
Hakukua na sababu ya kumtaja kikwete,ulipaswa kuzungumzia ulichokutana nacho.Wafanyakazi uliowakuta huenda hawakuwapo kikwete akiwa madarakani.Kuna uongozi mpya Muundo mpya.Yako mazuri mengi yalifanyika wakati wa kikwete na kikwete alishatoka madarakani miaka 6 iliyopita kama mambo yamekua mabaya ulaumu uongozi uliopo na sio kikwete ambaye mbele yake wameshakuja marais wawili.Ofisi za Umma zimeanza kurudi enzi za Kikwete aisee huduma mbovu majibu mabovu na wanajua huna pa kuwapeleka.
Dawasa Kimara kumbukeni mnafanya huduma jamani mtatuua 😂😂😂😂 yaani imefanya nimkumbuke marehemu Magufuli aisee may he continue rest in heaven sasa namwelewa japo too late
mimi hawajapita kusoma mita na tarehe 26/6 nikaona mwezi unaisha hawajaja nikapigia simu waje wasome mita ili nilipe namehangaika kila siku unawaomba ndio leo wamekuja 30/6
hapana kwa makufuli walikuwa na adabu sana
Unamkumbuka aliyekujibu ovyo?Ofisi za Umma zimeanza kurudi enzi za Kikwete aisee huduma mbovu majibu mabovu na wanajua huna pa kuwapeleka.
Dawasa Kimara kumbukeni mnafanya huduma jamani mtatuua 😂😂😂😂 yaani imefanya nimkumbuke marehemu Magufuli aisee may he continue rest in heaven sasa namwelewa japo too late
Nyie watu na katiba mna matatizo Sana,katiba ndo itamfundisha mtu kuwa na lugha nzuri?Tena zimerudi kule kwa kasi.
Tatizo ni katiba
Uhuru wa kujieleza haufanyi kazi ofisi za umma mkuu???Unamkumbuka aliyekujibu ovyo?
Njoo pm nikupe namba ya WhatsApp ya DAWASA huyo mbwa ashughulikiwe kabla ya weekend.
Vile vile Kama unaweza kunipa jina au cheo tuzae naye leo leo
Sawa Bwashee wewe ni wa Uru Kishimundu au Machame ?manake haya maandishi tunayajua wazee wa kanda yetu ya uchoyo,wizi na ufisadi kubebana,ukabila na malalamiko na chuki kwa kiongozi yoyote atakaye wanyima fursa za kuiba na kubebana. Bwashee mnazidi kujitengezea chuki na watu wengine, Magu yuko ndani ya mioyo ya watu hata iweje hamuwezi kumfuta.Unakumbuka Magufuli !!!
Hakukuuwia nduguyo?
Hakumteka nduguyo?
Hakubomoa nyumba yako ama ya nduguyo?
Hakumfukuza kazi nduguyo kwa husuda?
Hakumpora nduguyo fedha zake?
Hakumweka ndani nduguyo kwa uonevu?
Hakumtukana nduguyo hadharani?
Huyu mtu siyo wa kumkumbuka hata kidogo.
Jiwe yuko mioyoni mwa push gang tu. Trust me.Magu yuko ndani ya mioyo ya watu hata iweje hamuwezi kumfuta.
Huna akiliNyie watu na katiba mna matatizo Sana,katiba ndo itamfundisha mtu kuwa na lugha nzuri?
Uelewa wako ni mdogo sana juu ya katiba,Mbowe na wachaga wenzie wanawaharibu Sana vijana.
Wewe ni mwongo, kuna ofisi haina boss? Ma DC,RC wanafanya nini?Ofisi za Umma zimeanza kurudi enzi za Kikwete aisee huduma mbovu majibu mabovu na wanajua huna pa kuwapeleka.
Dawasa Kimara kumbukeni mnafanya huduma jamani mtatuua 😂😂😂😂 yaani imefanya nimkumbuke marehemu Magufuli aisee may he continue rest in heaven sasa namwelewa japo too late
Dawasa kimara hii Ni mwezi wa Sasa watu wamefanyiwa survey na kufanya malipo na Risit zipo ila hawaji kuunga maji.Unamkumbuka aliyekujibu ovyo?
Njoo pm nikupe namba ya WhatsApp ya DAWASA huyo mbwa ashughulikiwe kabla ya weekend.
Vile vile Kama unaweza kunipa jina au cheo tuzae naye leo leo
Kuna mahali wameletewa bili wakati maji hayatoki.Halafu hawa idara ya maji ni wezi sana wa hela za bili ya maji hasa ARUSHA
Wanawabambikizia watu bili ya hovyo hovyo
Serikali ilitazame hili
ingawa wakati wa mwendazake ulipungua kwakwel, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!Upuuzi kwenye maofisi ya serikali hayajawahi kwisha hata wakati wa Magufuli hali iliendelea hivyo hivyo labda wajue una uhusiano na mkubwa au wewe mwenyewe ni mtu fulani acheni kutoa sifa za uongo