Nimekwenda DAWASCO Kimara, majibu nimepewa hadi nimemkumbuka mwenda zake

Acheni kukaririshwa maneno ya KIJINGA ambayo Mwendazake aliwapandikiza. Huduma kwenye maofisi ya Serikali hazijawahi kubadikika. Ninaandika kwa UHAKIKA kabisa kuwa hata ungekinganisha kipindi cha Mkapa- Kikwette - Magufuli, HAKUNA jipya kwenye Huduma.

Huwezi kuwa na Serikali bila Urasimu. Ni sekta binafsi tu ndiyo Ina Huduma bora, tuwe wakweli

Tofauti ni kwamba Mwendazake alikuwa anapenda masifa ya uwongo
 
Watu wangapi waliuliwa ndugu zao na Magufuli? Una hakika huyo ndugu aliyeuawa aliuawa kwa mkono wa Magufuli?

Utekaji hapa nchini ulianza lini? Ulimboka, alipofanywa alifanywa na Magufuli?


Hapa napo alifanya Magufuli??

Aliyemteka, kumtoboa jicho na kumg'oa kucha ni Magufuli?

Hawa waliwekwa ndani na Magufuli? Je waliwekwa kwa uonevu? Kutolewa kwao ni kwa kuwa hawana hatia?


Nani aliyefukuzwa kazi ma Magufuli pasipo sababu?
Mtu anayependa upumbavu wa kuwa na wafanyakazi hewa kwenye payroll, unaweza kusema ana akili gani mtu jinsi hiyo?

Nyumba ipi iliyobomolewa na Magufuli kinyume cha sheria?

Wewe umetukana watu wangapi hadharani?

NI upumbavu wa kishetani dio huongoza watu kusahau mema yote na hukumbuka mabaya tu, kujihesabia haki hata anapotendewa haki, kuwalaumu wengine kwa makosa yao, ama ni mtu mjinga asiyeona thamani ya mazuir watu wanayfanya. Ustitupotezee muda .
 
Ungetufahamisha ulikwenda kutaka huduma gani, na ulijibiwa nini ingekuwa vizuri zaidi.

Nitag akijibu! Limekatiwa Maji Halikulipa eti linataka likishalipa libebe mafundi na toyo likaunganishiwe Maji!
 
Hili la nyodo kwenye ofisi za umma awamu hii linakwenda kuwa baya hata kuliko wakati wa Kikwete. Huyu mama by nature hana haiba wala tabia ya ukali.
Anayejua mama anakotupeleka anyooshe mkono tafadhali.
 
Mimi hawajapita kusoma mita na tarehe 26/6 nikaona mwezi unaisha hawajaja nikapigia simu waje wasome mita ili nilipe namehangaika kila siku unawaomba ndio leo wamekuja 30/6
Soma mita mwenyewe wajulishe wakutolee bili na wakupe control number ya kulipia.

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
ofisi za umma karibia zote zilikuwa na huduma mbovu.
suala la customer care mbovu limekuwepo tokea enzi za mkapa.
 
Kajenge sanamu kwenye kaburi lake!
 
Ungetufahamisha ulikwenda kutaka huduma gani, na ulijibiwa nini ingekuwa vizuri zaidi.
Business as usual haisaidii hata nikisema nilifata huduma gani ila mshukuru hii nchi haturuhusiwi risasi lakini pale nikikuta wanaliwa Simba nasaidia Simba iwale iwamalize
 
haya mabaya kila mtu anayo yake yamezidiana tu we mwenyewe unayo na UNAYAJUA basi tu acha mazuri yake tuseme narudia "NIMEMKUMBUKA SANA"
 
Sasa wewe umeenda Dawasa ili wakukopeshe pesa ukalipe ada ya wanao jumatatu, afu ulitegemea wakupe majibu yapo?
Kina Edo shida ni majina yenu , hivi mikopo wanatoa Dawasa ? kule tunafata huduma za maji mzee hii bangi unavuta tafuta iliyokauka
 
Niliwahi kumuweka kwenye wakati mgumu mdada mmoja kwenye halmashauri moja baada ya kunipamba kichwani, mpaka mkuu wake alikuja kuomba msamaha huku mdada machozi yakimtoka.
Tupe mbinu uliyotumia mkuu maana na mimi kuna dada mmoja NHIF mbeya hakunitendea haki nilipotaka huduma
 
kwa biti hilo la kuandika jina lazma awe mpole kidogo,itabidi nikuige ndugu
 
Mtanyooka tu
 

Usiwatengenezee watu chuki kwa lazima!! Mi hajafanya hata moja apo
 
Nchi iendeshwe kimfumo siyo mtu mmoja binadamu tunapita mfumo utabaki mpaka mwisho wa dunia, endelea kumkumbuka ila alianzisha utaratibu mbaya wa yeye kuwa kila kitu, mf mawaziri na watendaji kumsifia kutoa hela za miradi wakati ni za watanzania wote

Ni za watanzania sawa!! Mbona hazipiti kwako?
Kazichukue bas


Ye ndo mwenye dhamana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…