Nimelala naye siku moja Tu, leo ananiambia ana Mimba!

Nimelala naye siku moja Tu, leo ananiambia ana Mimba!

Usihofu we nenda kamtafute muende mkafanye ultra sound ujue mimba ni muda gani. Hilo wala halitakupa shida kama ulichoandika hapa ni ukweli.
Lakini siku nyingine ukiona ukoko wa bleed tumia [emoji3549]
Itakuwa na muda huo huo wake. Unless awe alikuwa mjamzito kabla. Ila kama aliipata baada ya kusex na mtoa mada hapo itasoma mule mule hata kama alipewa na mwingine.
 
Mtoa mada kwani condoms zinakubana?,usichukulie vibaya swali langu ila ukinijibu in a honest way nita appreciate
In a honest way!! Mkuu Condom hazinibani, sema wajua Mihemko sometimes siyo mizuri.

However tulipitia Njia zote za Kupima tulitumia Sd bioline kwa Mara ya Kwanza , na Mara ya pili Tulitumia Sd bioline na Uni-Gold (hizi alishauri yeye kwa maana alikuwa hana imani na Mimi, as alikuwa anasema Men from Tz hatuko honesty.... sijui kama ni kweli.

Baada ya Kuona Tuko Okay, ndipo Tuliamua kuachana na Habari za Condom.

Japo Toka Tumekutana kimwili hiyo mara moj, Alirudi nchini kwao, then ndo jana ananicheki WhatsApp na kunambia Hizo habari.
 
In a honest way!! Mkuu Condom hazinibani, sema wajua Mihemko sometimes siyo mizuri.

However tulipitia Njia zote za Kupima tulitumia Sd bioline kwa Mara ya Kwanza , na Mara ya pili Tulitumia Sd bioline na Uni-Gold (hizi alishauri yeye kwa maana alikuwa hana imani na Mimi, as alikuwa anasema Men from Tz hatuko honesty.... sijui kama ni kweli.

Baada ya Kuona Tuko Okay, ndipo Tuliamua kuachana na Habari za Condom.

Japo Toka Tumekutana kimwili hiyo mara moj, Alirudi nchini kwao, then ndo jana ananicheki WhatsApp na kunambia Hizo habari.
Thanks mkuu,ninakuaminia na it's not all lost, tuna JF members who are honest kama wewe mkuu
 
Me naombeni mnisaidie nilishindwa kuelewa kabisa, inawezekana vipi msichana kupata mimba harafu wiki ikapita akatokwa na damu ya hedhi(yaani akaingia bleed) me pia nahisi nilipigwa na kitu kizito kichwani , nilihudumia but mimba ilipofikisha miezi 7 ikaharibika,
Ukweli mpaka sasa huwa sielewi, nilijaribu kuuliza humu Jfm, sikupata jib linaloeleweka
 
Me naombeni mnisaidie nilishindwa kuelewa kabisa, inawezekana vipi msichana kupata mimba harafu wiki ikapita akatokwa na damu ya hedhi(yaani akaingia bleed) me pia nahisi nilipigwa na kitu kizito kichwani , nilihudumia but mimba ilipofikisha miezi 7 ikaharibika,
Ukweli mpaka sasa huwa sielewi, nilijaribu kuuliza humu Jfm, sikupata jib linaloeleweka
Hio ni kawaida sana miezi/wiki za mwanzo mwanamke anaweza kubleed ila sio Kwa kiwango sawa na siku zingine
 
Habari wakuu, kiukweli kuna Jambo linanishangaza. Hivi ni kweli inawezekana??[emoji856]

Kuna dem mmoja, nilikutana naye katika mission zangu, baada ya Kukubariana aliniambia atanipa Tunda, ila akishamaliza period. 🩸
Sasa siku moja baada ya Kumaliza period tulikutana akanipa Tunda. Tena nakumbuka palikuwa na vi ukoko ukoko vya Bleed kwa mbali.

Lakini leo baada ya Mwezi kupita ananipigia simu ananmbia eti ana Ujauzito!![emoji1768] na ananihakikishia hajakunata na Mwanaume Mwengine toka siku ile.

Hivi hii inawezekana kweli? Au anataka kunipiga changa la macho?
Na ukizingatia Dem mwenyewe siyo mtanzania alikuja Tu kwa Issue zake za kibiashara. Au kuna kitu anajaribu kunitega?

Msaada Please.
Kujibu swali lako kwa kifupi tu, Inawezekana hasa kwa mwanamke mwenye mzunguko mfupi!
 
Mmmh Hilo ni Changa la macho..ni asilimia chache sn kusema kuwa ni kweli alipata mimba siku hiyo...suluhisho sahihi ni kwenda kumpima na ijulikane ni ya miezi mingapi. Kwa maana ni ngumu sn kupata mimba siku 1 baada ya period. Na km ulikuta vidam dam vya mwisho, si ajabu mtu kuwa mjamzito na akawa anaenda period km kawaida. Anatafuta wa kumbambikia huo mzigo. Tegemea kitu kizito kichwani.

Nb:. Halafu na ww, utamu wa kavu unautaka. Unashindwa kumwaga nje, unajimwagia tu hovyo hovyo?. Kuwa mwangalifu.
Yaani unavyoongelea hiyo ya kumwaga nje tafikiria rahisi vile....wanawake bwana🤣🤣🤣🤣
 
Kama ukutumia kwa msaada wa watu wa marekani ( mpira) yako hio
 
😂😂 Ngumu Kama kujifungua?😎😏
Ah wapi...kukojoa nje ni noma. Yaani nimepump nusu saa nzima alafu wadhungu wanataka kutoka ndio nichomoe...huku mchcuchu mwenyewe anakupiga kabali la maana akijua utamu wa wale wadhungu wakigusa kuta za uke.
 
Ah wapi...kukojoa nje ni noma. Yaani nimepump nusu saa nzima alafu wadhungu wanataka kutoka ndio nichomoe...huku mchcuchu mwenyewe anakupiga kabali la maana akijua utamu wa wale wadhungu wakigusa kuta za uke.
Kama huwezi, kwani ndom zimewekwa kwa ajili gani?.
 
Kama huwezi, kwani ndom zimewekwa kwa ajili gani?.
Wapinzani wakubwa wa condom kwanza ni nyie wenyewe warembo mara inanichubua.

Alafu kweli joana na urembo wote huo ulionao ukizingatia nimelipa hotel kupa nauli na hela ya kununua chupi mpya...gharama yote hiyo iende kwenye nylon jamani. Not to mention kuwa nakupunguzia wewe utamu wa de libolo kwa 30% kwa kumwagia nje
 
Unafanya mapenzi bila condom unategemea nini mkali?

Mungu aturehemu watu weusi😁
 
Umepeperusha bendera yetu kimataifa. Umetuwakilisha vyema mkuu.

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom