Nimelala naye siku moja Tu, leo ananiambia ana Mimba!


Umepigwa
 
Kama nisiku moja baada ya kupata period ni ngumu. Apo umepigwa
 
Kakupima.kakuona wewe zoba

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Siku moja baada ya period hupati mimba

Kumbuka vizuri,hujakutana nae tena?manake wanaume ndio viumbe mnaojua kukataa hata kama mmefanya
Inawezekana kupata ujauzito sema ni mara chache kutokea, Sperm zinakaa hadi 72 hrs, ikitokea mwanamke akaachia yai imeisha hiyo.
 
Kwa maelezo hayo si kweli kuwa mimba ni yako
Huyo manzi anapenda uraia wa Tz ?
 
Tatizo ambalo lipo kpnz changu ni hv,wewe sijui Una nyota ya chips! Maana tunaokupenda tupo wengi sasa hzo siku zenyewe daah,tusije logana bure 🀣🀣🀣
🀣🀣🀣 Hakuna upendo wa kweli humu ni kufurahishana tu.Relax
 
Kwahiyo mwanangu ulipita iviii
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220713-092457_Twitter.jpg
    35.2 KB · Views: 8
....
 
Ni mtu wa nchi gani? Maana kuna nchi naijua ni vinara wa kubambikia mimba [emoji848]
 
Karim Mandonga kapigwa tenna huko [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…