Uchaguzi 2020 Nimelazimika kusafiri takriban kilometa 1000 kumzuia Robert Amsterdam na CHADEMA

!
!
Biashara Ya Mamilioni Wapi Wewe Mmachinga Mwenye Kitambulisho Cha Sisiem Matako Wewe? Hebu Tupishe Bwana
 
Mleta mada kwani wewe nani?

Unawezaje kumzuia huyu mzungu kuchukua hatua za kisheria?

Unaweza kuwalipa wanasheria mahiri kama yeye kumpinga?

Kama unaweza hayo hapo juu wewe ni kidume, lakini kama unaleta blah-blah kafie jalalani!
Hatuhitaji wanasheria.
Kisanduku cha kupigia kura na vikaratasi vyake vinatosha sana
 
Hongera Sana

 
Kwa bahati mbaya kura yako haiamui. If u know whar amiin
 
Hatuwezi kuongozwa na mtu mwenye risasi kwenye kalio
 
Tanzania soon we are going to celebrate landmark referendum victory after voters threw out the constitution left by ccm 1977 regime of dictator Nyerere
Now u see ......what the https://jamii.app/JFUserGuide u doing........shame on u idiot
 
Yuel mpuuzi,Mimi huwa nampasua huko kwenye Tweeter aache kuifuata Tanzania sisi in nchi huru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…