Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
- Thread starter
-
- #241
Wewe bwabwaja sisi tumeisha maliza.Lissu mpango mzima.
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
We umetoka 1000, sisi tuliotoka 8,500km
Kumpigia Lissu kura
Maumivu yanakuja, jiandae kisaikolojia!
!Ndugu zangu,
Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.
Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome, apate fundisho yeye na mawakala wake.
Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.
Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?" hapana, sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa. Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.
Tanzania ni nchi huru, tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa. Tanzania kwanza!
Hatuhitaji wanasheria.Mleta mada kwani wewe nani?
Unawezaje kumzuia huyu mzungu kuchukua hatua za kisheria?
Unaweza kuwalipa wanasheria mahiri kama yeye kumpinga?
Kama unaweza hayo hapo juu wewe ni kidume, lakini kama unaleta blah-blah kafie jalalani!
Hongera SanaNdugu zangu,
Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.
Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome, apate fundisho yeye na mawakala wake.
Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.
Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?" hapana, sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa. Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.
Tanzania ni nchi huru, tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa. Tanzania kwanza!
Kwa bahati mbaya kura yako haiamui. If u know whar amiinNdugu zangu,
Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.
Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome, apate fundisho yeye na mawakala wake.
Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.
Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?" hapana, sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa. Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.
Tanzania ni nchi huru, tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa. Tanzania kwanza!
Hakika; leo lazima tuwashikishe adabu ili iwe fundisho kwa wote wenye tabia kama zao!
Now u see ......what the https://jamii.app/JFUserGuide u doing........shame on u idiotTanzania soon we are going to celebrate landmark referendum victory after voters threw out the constitution left by ccm 1977 regime of dictator Nyerere
Sisi ni wana chama wapya wa CCM tuna Muungano mkono kiongozi wa chama na kiongozi wa malaikaKamanda wachache mpo
Nyie wa 8500 ndo vibaraka wenyewe. Tumewakomesha, halafu tukiamua hatuwaruhusu mrudi huko mlikotoka.We umetoka 1000, sisi tuliotoka 8,500km
Kumpigia Lissu kura
Subutu subutu sasa hivi mnafuraha mpo majizi na wajinga nyumba mojaNyie wa 8500 ndo vibaraka wenyewe. Tumewakomesha, halafu tukiamua hatuwaruhusu mrudi huko mlikotoka.
Subutu subutu sasa hivi mnafuraha mpo majizi na wajinga nyumba moja
Ndugu zangu,
Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.
Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome, apate fundisho yeye na mawakala wake.
Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.
Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?" hapana, sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa. Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.
Tanzania ni nchi huru, tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa. Tanzania kwanza!
Majambazi sasa subirini mta uwana wenye kwa wenyeAndika vizuri
Tunafuraha ndiyo. Tumewazuia majizi nyie. Wajinga ni wale waliodhani Tundu Lisu atashinda wakiwa 8500 KM. Think about it.Subutu subutu sasa hivi mnafuraha mpo majizi na wajinga nyumba moja