Uchaguzi 2020 Nimelazimika kusafiri takriban kilometa 1000 kumzuia Robert Amsterdam na CHADEMA

Uchaguzi 2020 Nimelazimika kusafiri takriban kilometa 1000 kumzuia Robert Amsterdam na CHADEMA

Mimi ni Mtanzania, sitaruhusu bwanyenye kuisemea nchi yangu
Mleta mada kwani wewe nani?
Unawezaje kumzuia huyu mzungu kuchukua hatua za kisheria?
Unaweza kuwalipa wanasheria mahiri kama yeye kumpinga?
Kama unaweza hayo hapo juu wewe ni kidume, lkn kama unaleta blah-blah kafie jalalani!
 
Tuangalie namna ya kuilinda hii nchi dhidi ya wale wainyemeleao. Laiti mngejua vita iliyopo dhidi ya hii nchi mngemwombea sana Rais wetu maana dhamira yake ni halisi ila mabeberu wamekasirika sana. Kwa namna ambavyo mioyo yenu imejaa chuki kwa sasa hamuwezi kuelewa haya mambo. Ila tujifunze zaidi kwa wenzetu waliotuzunguka, anzeni hapo Libya muone uhalisia.
 
Maalim seif kahamasisha vijana kuwapiga mawe police halafu yeye na wanawe wanajifungia ndani wakitii sheria bila shurti.
Vijana amkeni kataeni kutumika

Ni vizuri kujiridhisha na jambo kabla ya kulileta mbele za watu hasa hizi zama za utandawazi.
Haujasikia Maalim amekamatwa na yuko mikononi mwa polisi?

Huyo alyejifungia na watoto wake ni yupi unamuongelea?
 
Haya, sasa wewe nenda ukaibebe familia ya maalim seif, watoto na wajukuu zake muwahi barabarani

Acheni kutumia watoto wa wenzenu
Kama ambavyo CCM inawatumia nyie "askari wa akiba na wacheza mdundiko" kuvuruga amani ya Mama Tanzania
 
Hata sisi tumesafiri kutoka mbali kuja kumuwezesha Tundu Lissu achukue nafasi ya kuwafariji Watanzania baada ya mateso ya muda mrefu utumwani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hakika ndugu mzalendo
Tuangalie namna ya kuilinda hii nchi dhidi ya wale wainyemeleao. Laiti mngejua vita iliyopo dhidi ya hii nchi mngemwombea sana Rais wetu maana dhamira yake ni halisi ila mabeberu wamekasirika sana. Kwa namna ambavyo mioyo yenu imejaa chuki kwa sasa hamuwezi kuelewa haya mambo. Ila tujifunze zaidi kwa wenzetu waliotuzunguka, anzeni hapo Libya muone uhalisia.
 
Ukombozi wa taifa letu unakribia ... makucha ya wakoloni weusi tunakwenda kuyanyofoa....Asante Mungu kwa msaada wako !!
 
Back
Top Bottom